Binti yangu yupo darasa la 6 tu lakini maziwa yameshalala na yanaendelea kukua kwa kasi ya ajabu!

Binti yangu yupo darasa la 6 tu lakini maziwa yameshalala na yanaendelea kukua kwa kasi ya ajabu!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Mada hapo juu yahusika.
Ni binti mwenye miaka 12 tu lakini hii kasi ya ukuaji wake inanistua mno.

Nilizungumza na mama yake ili amchunguze kama ameshaanza haya mambo, mama yake amemchunguza vya kutosha tu na amejiridhisha pasipo na shaka kuwa hata hajaanza.

Sikumuamini mama yake, nikamtuma kwa siri shangazi yake anichunguzie huyu binti na majibu yakawa kama awali, hajaanza. Kitabia pia ukimchunguza, ni mtoto kabisa....haonekani kuwa anajua lolote na jitihaxa zangu za kumfuatilia zimeishia patupu.....ni nyumbani, shule na watoto wenzie, nyumbani tena!

Namhurumia binti yangu;

1. Atakuwa kichekesho cha namna gani kwa dunia hii yenye kila aina ya utani kwa wenye ulemavu?

2. Sijui ataathirika vipi kisaikolojia atakapopata akili rasmi sasa na kujijua kuwa hayupo sawa!

Namsaidiaje huyu wadau?!!!!

Ahsanteni
 
Kama unaamini kuwa Maziwa makubwa yanamfanya mtu anakua mbaya pole pengine hujakutana na wenye Maziwa na wanaoweza kuyavisha yakakaa poa.
Tumia nafasi hiyo kumfanya ajione kuwa ni special na umfanye ajiamini kwa Hali hiyo Mana ni maumbile yake.
Akiwa na confidence tu inatisha kwanza nyie Kama familia muhakikishe haoni utofauti hasa pale Rafiki na majirani wanapo mtania
 
Mkuu umepata wapi ujasiri wa kumchunguza binti haya mambo yote? Achana na mtoto wa kike aisee,me huwa sihangaiki kabisa na binti yangu.Ila miongozo ya maisha nimempa
Samahani mdau Ila sikuoni Kama baba Bora kabisa.
watoto wa kike huwa wanajengeka vyema hasa kwa kujiamini wanapokua karibu zaidi na wazazi wao wa kiume
 
zama za sasa si kama zamani, wala usiogope ni kawaida tu atafika muda maziwa hayataendelea kukua, na ukumbuke tupo tofauti kuna wale mpaka wanafikia miaka 16 kifuani hawana kitu na kuna wanaoanza kuota mazwa mapema tu,

mi nnavotamani ningekua na maziwa makubwa zaidi ya haya woii, wala usijpe presha
 
Mkuu umepata wapi ujasiri wa kumchunguza binti haya mambo yote? Achana na mtoto wa kike aisee,me huwa sihangaiki kabisa na binti yangu.Ila miongozo ya maisha nimempa
huna akili.
nyinyi ndio wale wazazi wajinga ambao huwa hamfatilii mienendo ya watoto wenu, siku mnakuja kushtuka mnakuta tayari mtoto kashaharibiwa "malinda yake" na kijana wa nyumba ya jirani.
 
Back
Top Bottom