Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
hakika Gwajima alipambana sana
 
sikuchanja sitochanja na uzuri serikali haikulazimisha mtu kuchanja, hakuna kulaumu
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Ndio tatizo habari ukiisikia vijiweni, unaileta kimbulula kama ulivyoisikia ......
Kama unahitaji tafsiri hii lugha niambie nitafute kukuletea kimatumbi

 
Hawa ni matapeli na wanafiki waliojifanya kupinga chanjo kumfurahisha mwenzake. Sa100 aliongoza kutovaa barakoa. Ila ilipotangazwa kuwa mwendazake sasa hayupo, wanafiki wote walikimbilia barakoa na chanjo. Hakuna tapeli kama Gwajima aliyetundanganya angemfufua Amina Chifupa asimfufue.
 
Hawa ni matapeli na wanafiki waliojifanya kupinga chanjo kumfurahisha mwenzake. Sa100 aliongoza kutovaa barakoa. Ila ilipotangazwa kuwa mwendazake sasa hayupo, wanafiki wote walikimbilia barakoa na chanjo. Hakuna tapeli kama Gwajima aliyetundanganya angemfufua Amina Chifupa asimfufue.
Mimi chanjo yeyote ikija nitaendelea kuchanja tu !
Hapa nilipo nina alama ya chanjo ya Ndui ambayo hata sijui nilichanjwa mwaka gani nikiwa bado mdogo !

Wazungu wakitaka kutufanyia jambo lao wanalolitaka watatufanyia kwenye chochote kile tunachokipenda kukitumia na kukiamini !
Na kimoja wapo ni hiyo Simu yako iliyopo mkononi mwako hivi sasa 😂😂😅

Wazungu wakitutaka hawawezi kutusubiri kwenye Pandemic ya Corona au homa ya ndege 😂😅😅

Simu zetu tu zinatosha kutufanya wanavyotaka !
Bandugu hamjawahi kusikia simu imeingia Virus 🦠 ???!!
Acha mchezo na walioendelea kwa sayansi !! 🙏
 
Mimi chanjo yeyote ikija nitaendelea kuchanja tu !
Hapa nilipo nina alama ya chanjo ya Ndui ambayo hata sijui nilichanjwa mwaka gani nikiwa bado mdogo !

Wazungu wakitaka kutufanyia jambo lao wanalolitaka watatufanyia kwenye chochote kile tunachokipenda kukitumia na kukiamini !
Na kimoja wapo ni hiyo Simu yako iliyopo mkononi mwako hivi sasa 😂😂😅

Wazungu wakitutaka hawawezi kutusubiri kwenye Pandemic ya Corona au homa ya ndege 😂😅😅

Simu zetu tu zinatosha kutufanya wanavyotaka !
Bandugu hamjawahi kusikia simu imeingia Virus 🦠 ???!!
Acha mchezo na walioendelea kwa sayansi !! 🙏
Au wanaweza kuweka kwenye Coca-Cola. Nilichanja na nitachanja as long as WHO wakisema kuna pandemic
 
Back
Top Bottom