Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Vitisho baridi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mkopo .samahani sijaelewa kwani zile chanjo na zile hela za madarasa ya uvico ni mkopo tunatakiwa kulipa au ni msaada uliotolewa bure?
Rashid mkono wa baunsaMch. Josephat Gwajima, a man of God and integrity.
ndugai alikuwa sahiiNi mkopo .
Vp Dr Laur.....?Dr Ndugu.. alichanja covid?
Nan uy?Vp Dr Laur.....?
Mafu....Nan uy?
hakika Gwajima alipambana sanaSalaam, Shalom!
Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,
Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.
Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.
Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.
Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿
Karibuni🙏
Source: The Telegraph Newspaper UK.
Kinachosikitisha ni deni litokanalo na chanjo fake, tutalipia wote, waliochanja na wasochanja.sikuchanja sitochanja na uzuri serikali haikulazimisha mtu kuchanja, hakuna kulaumu
Kiongozi mzuri ni mwongoza njia. Abarikiwehakika Gwajima alipambana sana
Ndio tatizo habari ukiisikia vijiweni, unaileta kimbulula kama ulivyoisikia ......Salaam, Shalom!
Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,
Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.
Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.
Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.
Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿
Karibuni🙏
Source: The Telegraph Newspaper UK.
Nawe ulichanja?Ndio tatizo habari ukiisikia vijiweni, unaileta kimbulula kama ulivyoisikia ......
Kama unahitaji tafsiri hii lugha niambie nitafute kukuletea kimatumbi
![]()
AstraZeneca to withdraw Covid vaccine
The firm said the decision was taken because of a decline in demand for the vaccine.www.bbc.com
Mtatulipia tuliochanja 🙏Kinachosikitisha ni deni litokanalo na chanjo fake, tutalipia wote, waliochanja na wasochanja.
Mimi chanjo yeyote ikija nitaendelea kuchanja tu !Hawa ni matapeli na wanafiki waliojifanya kupinga chanjo kumfurahisha mwenzake. Sa100 aliongoza kutovaa barakoa. Ila ilipotangazwa kuwa mwendazake sasa hayupo, wanafiki wote walikimbilia barakoa na chanjo. Hakuna tapeli kama Gwajima aliyetundanganya angemfufua Amina Chifupa asimfufue.
Au wanaweza kuweka kwenye Coca-Cola. Nilichanja na nitachanja as long as WHO wakisema kuna pandemicMimi chanjo yeyote ikija nitaendelea kuchanja tu !
Hapa nilipo nina alama ya chanjo ya Ndui ambayo hata sijui nilichanjwa mwaka gani nikiwa bado mdogo !
Wazungu wakitaka kutufanyia jambo lao wanalolitaka watatufanyia kwenye chochote kile tunachokipenda kukitumia na kukiamini !
Na kimoja wapo ni hiyo Simu yako iliyopo mkononi mwako hivi sasa 😂😂😅
Wazungu wakitutaka hawawezi kutusubiri kwenye Pandemic ya Corona au homa ya ndege 😂😅😅
Simu zetu tu zinatosha kutufanya wanavyotaka !
Bandugu hamjawahi kusikia simu imeingia Virus 🦠 ???!!
Acha mchezo na walioendelea kwa sayansi !! 🙏