Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Damu ya nani imeganda? Mimi ndugu zangu 4 wamechanja na wapo fresh tu mwaka wa 4 sasa hizo story za damu kuganda nitajie mmoja tu hapa Tanzania?

Tokea chanjo imekuja Covid 19 ilipotea duniani na lock down zikaisha, cha ajabu baada ya kuumbuka mkidhani hazitafanya kazi leo mnadandia kwenye hoja ya side effects!!
Wewe unaamini Tanzania tulikiwa na covid na chanjo ndio imeitokomeza😃?
Mimi kwenye ukoo wangu sijawahi kusikia mwanaukoo kachanjwa, na sijawahi kusikia ameugua au kufa kutokana na covid na sidhani kama kuna hospitali nchini yenye mgonjwa wa covid.
mataifa mengi yaliingia kwenye mandamano ya kupinga lockdown kabla hata ya chanjo kuenea duniani.
No wonder Africa remain poor because of producing citizens with ireational thoughts like youšŸ˜Ž.
Bahati mbaya nimeshindwa ku upload vid ya Bill gates akijikanyaga wakati akihojiwa kuhusu hizi chanjo,kifupi ni biashara za watu, na JPM alishinda hii vita,wewe hukupelekwa lockdown na wala hujachanjwa na upo hapa kubwabwaja ukitetea chanjo?!pathetic.
 
Ana msimssamoosana yaan alilisema akarudia tena kwenye msafara wa rais alisimamisha gari kusalimia wananchi wewe nkasema jamaa chiboko
 
1718064074134.png
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. [emoji1241]

Karibuni[emoji120]

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Watz mtakuwa wajinga mpaka lini?Gwajima ni nani katika ulimwengu wasayansi ya tiba? What role has he played?
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. šŸ‡¹šŸ‡æ

KaribunišŸ™

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Hizo chanjo zinazoletwa na kulazimisha watu kuchanja malengo yao ni kuwafanya watu wawe MAZEZETA ILI WAWE WANASAINI MIKATABA YA AJABU NA MIBOVU ISIYOKUWA NA TIJA KWA TAIFA alisema Gwajima.

Hivi viongozi wa pale Tanganyika hasa wa juu kuna aliyegoma kuchanja kweli au walichanja wote na mikataba ndio hiyo ya DP na mikopo mingineyo?
 
unaamini Tanzania tulikiwa na covid na chanjo ndio imeitokomeza😃?
Wapi nimetaja Tanzania, nimesema duniani maana huko kwenye baridi ndio waliathirika zaidi.
Mimi kwenye ukoo wangu sijawahi kusikia mwanaukoo kachanjwa, na sijawahi kusikia ameugua au kufa kutokana na covid na sidhani kama kuna hospitali nchini yenye mgonjwa wa covid.
Kumbe ukoo? Mimi binafsi Mama na Baba yangu walilazwa Aga Khan na nilishuhudua miili mingi tu ikipitishwa pale baada ya kufariki kwa Covid 19. Sasa wewe upo nyumbani taarifa za hospitali unazipataje? Ni sawa na kusema kwenye ukoo wenu hakuna anayelala Uchi! As If unazunguka vyumbani kwa ndugu zako kujua kama analala na nguo au Uchi.
No wonder Africa remain poor because of producing citizens with ireational thoughts like youšŸ˜Ž.
Jibu hoja kisayansi, umesema chanjo ni feki je walivyokua wanakufa mamilion na ghafla baada ya chanjo kuja wakapona na lockdown zikaisha je ilikua suluhisho haikua suluhisho?
Bahati mbaya nimeshindwa ku upload vid ya Bill gates akijikanyaga wakati akihojiwa kuhusu hizi chanjo,kifupi ni biashara za watu,
Biashara kumbe? Kwani ARV sio biashara mbona tunatumia? Vipi JPM alikataa chanjo huku anatumia pacemaker kusukuma moyo vipi haikua biashara pia?
na JPM alishinda hii vita,wewe hukupelekwa lockdown na wala hujachanjwa na upo hapa kubwabwaja ukitetea chanjo?!pathetic.
Mzee wangu na Mama yangu walichanjwa baada ya kuponea ICU kwa Covid 19 so wewe unayebisha shukuru Mungu haukuexperience nilichopitia ndio maana una haki ya kubisha. Kingine huyo JPM alishinda nini? Mbona Covid 19 ilimfyeka? Alituambia tumtegemee Mungu tusivae barakoa cha ajabu yeye badala ya kumtegemea Mungu akawa anategemea pacemaker ya mzungu ndio isukume moyo wake!! Kama sio unafiki ni nini?
 
Wapi nimetaja Tanzania, nimesema duniani maana huko kwenye baridi ndio waliathirika zaidi.
Sasa kama virus walikuwa active kwenye nchi zenye baridi, inakuwaje sisi tukimbilie hizo chanjo tena kwa kuchukua fedha za mkopo ambazo sina hakika kama zimesalimika.
Hivi kwa maisha halisi ya mtanzania na miundombinu yetu, unaamini barakaoa ziliweza kusaidia kutokomeza corona ?
Kumbe ukoo? Mimi binafsi Mama na Baba yangu walilazwa Aga Khan na nilishuhudua miili mingi tu ikipitishwa pale baada ya kufariki kwa Covid 19. Sasa wewe upo nyumbani taarifa za hospitali unazipataje? Ni sawa na kusema kwenye ukoo wenu hakuna anayelala Uchi! As If unazunguka vyumbani kwa ndugu zako kujua kama analala na nguo au Uchi.
Una uthibitisho wa baba na mama yako kulazwa kutokana na covid au magonjwa mengine? Hizo maiti nyingi ulizozishuhudia,nani alikuthibitishia kuwa wamekufa kutokana na covid?
Hizi kampeni za chanjo zinazoendelea, ndiokusema covid bado ipo? kama ipo wagonjwa wapo wapi?
Jibu hoja kisayansi, umesema chanjo ni feki je walivyokua wanakufa mamilion na ghafla baada ya chanjo kuja wakapona na lockdown zikaisha je ilikua suluhisho haikua suluhisho?
Haikuwa suluhisho sababu ya kugundulika kuwa na side effects zilizopelekea kusitisha uzalishaji.
Huku Africa hatukuhitaji kabisa hizo chanjo,barakoa na hata lockdown kwani hazijaonyesha manufaa yoyote.
Niwendawazimu tu ndio anaweza kuamini chanjo,barakoa na lockdown ndio zimetoko.eza covid Africa.
Biashara kumbe? Kwani ARV sio biashara mbona tunatumia? Vipi JPM alikataa chanjo huku anatumia pacemaker kusukuma moyo vipi haikua biashara pia?
Mzee wangu na Mama yangu walichanjwa baada ya kuponea ICU kwa Covid 19 so wewe unayebisha shukuru Mungu haukuexperience nilichopitia ndio maana una haki ya kubisha. Kingine huyo JPM alishinda nini? Mbona Covid 19 ilimfyeka?
The government attributed his death to a heart condition accompanied by a decade-long chronic atrial fibrillation, although opposition figures and some media sources alleged that Magufuli had contracted COVID-19.
Nani mkweli hapa?
Alituambia tumtegemee Mungu tusivae barakoa cha ajabu yeye badala ya kumtegemea Mungu akawa anategemea pacemaker ya mzungu ndio isukume moyo wake!! Kama sio unafiki ni nini?
Africa na dunia nzima inajua kuwa JPM alishinda vita ya covid,Wakati nchi nyingi Africa na dunia zipo kwenye lockdown,sisi tuliendelea na shughuli zetu cha kushangaza madhara tuliyaona kwenye nchi zilizoenda lockdown badala ya sisi.
Watanzania wengi wamezikataa chanjo na bado hatujaona hayo madhara, huoni huo pia ni ushindi kwake?!
Ulichoshindwa kuelewa ni kwamba JPM hakukataa technology ya mzungu,alikataa waafrika kuendelea kuwa wapumbaf kama wewe na kuendelea kuruhu Africa kuwa jalala.
 
Happy sun's day wanajf,

Ninaumia sana kuona watu ambao hawakuchanjwa chanjo ya covid 19 kuwaona bado hawajafa .

Hii ina nipa mashaka na kudhani labda sisi tuliochanjwa ndio tutadhurika mapema na kuondoka duniani.

Kumekuwa na taarifa nyingi kwamba chanjo ya covid19 ilikuwa ni agenda wa kupunguza watu ulimwenguni (Mass depopulation).

Ila mimi nazidi kukemea hiyo dhana ya kukututishia watu ambao tumechanjwa chanjo ya covid19 kwa kusema kwamba
"Hakuna atakayeishi milele hapa duniani"
Uwe umechanjwa ama bado ,acheni kutuogopesha mzee
 

Attachments

  • Screenshot_20240809-100046_Chrome.jpg
    Screenshot_20240809-100046_Chrome.jpg
    59 KB · Views: 1
Happy sun's day wanajf,

Ninaumia sana kuona watu ambao hawakuchanjwa chanjo ya covid 19 kuwaona bado hawajafa .

Hii ina nipa mashaka na kudhani labda sisi tuliochanjwa ndio tutadhurika mapema na kuondoka duniani.

Kumekuwa na taarifa nyingi kwamba chanjo ya covid19 ilikuwa ni agenda wa kupunguza watu ulimwenguni (Mass depopulation).

Ila mimi nazidi kukemea hiyo dhana ya kukututishia watu ambao tumechanjwa chanjo ya covid19 kwa kusema kwamba
"Hakuna atakayeishi milele hapa duniani"
Uwe umechanjwa ama bado ,acheni kutuogopesha mzee
Haya wa kuchanjwa tumekusikia!
 
Hakuna anayekutisha, ila unajitisha ww kwa kujiaminisha kila kinachopostiwa huko mtandaoni..


Kuhusu hiyo chanjo, ni ukweli usiopingika kwamba ilikuwa na mapungufu mengi, mojawapo ni kwamba haikufanyiwa trial za kutosha ili kujiridhisha usalama wake kwenye mwili wa binadamu.

Hivyo, nyie mliochanjwa mnatumika kama "Trial Sample".
 
Happy sun's day wanajf,

Ninaumia sana kuona watu ambao hawakuchanjwa chanjo ya covid 19 kuwaona bado hawajafa .

Hii ina nipa mashaka na kudhani labda sisi tuliochanjwa ndio tutadhurika mapema na kuondoka duniani.

Kumekuwa na taarifa nyingi kwamba chanjo ya covid19 ilikuwa ni agenda wa kupunguza watu ulimwenguni (Mass depopulation).

Ila mimi nazidi kukemea hiyo dhana ya kukututishia watu ambao tumechanjwa chanjo ya covid19 kwa kusema kwamba
"Hakuna atakayeishi milele hapa duniani"
Uwe umechanjwa ama bado ,acheni kutuogopesha mzee
 
Kila jambo hufanyika kwa sababu maalum,naamini hata hiyo chanjo inasababu maalum kikubwa ni kusubiri tuone kipi kitatokea kwa wale wote waliochanjwa
 
Yani unaumia ukiona ambao hawajachanja ni wazima ,hiyo ni roho mbaya sana, kwahiyo watu wangekufa ndo ungepata amani ya moyo kwamba ulifanya maamuzi sahihi,
Una akili ya kijinga yenye mchanganyiko wa roho mbaya
 
Happy sun's day wanajf,

Ninaumia sana kuona watu ambao hawakuchanjwa chanjo ya covid 19 kuwaona bado hawajafa .

Hii ina nipa mashaka na kudhani labda sisi tuliochanjwa ndio tutadhurika mapema na kuondoka duniani.

Kumekuwa na taarifa nyingi kwamba chanjo ya covid19 ilikuwa ni agenda wa kupunguza watu ulimwenguni (Mass depopulation).

Ila mimi nazidi kukemea hiyo dhana ya kukututishia watu ambao tumechanjwa chanjo ya covid19 kwa kusema kwamba
"Hakuna atakayeishi milele hapa duniani"
Uwe umechanjwa ama bado ,acheni kutuogopesha mzee
Madhara ya chanjo tumeyapata katika familia zetu. We acha tu
 
Na kingine Cha kushangaza zaidi,

Nchi yetu, ilikopeshwa Chanjo za majaribio😭
samahani sijaelewa kwani zile chanjo na zile hela za madarasa ya uvico ni mkopo tunatakiwa kulipa au ni msaada uliotolewa bure?
 
Back
Top Bottom