Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Huna hata ndugu yeyote aliyepo serikalini au hata usalama wa taifa wa kuwa anakupa hints za kinachoendelea nchini!?,kumbe ndo maana bado watu wanapigwa style ya DECI, nilikuwa siamini kama kuna mtanzania mpaka leo hajui kama Magufuli aliuawa. Kumbe mpo wengi?!?
Ndugu kwenye usalama wa taifa au serikali tena? Alaa, sikujua. Kumbe watu wote walioko serikalini na usalama wa taifa wanajua kuwa siri za nchi? Hili limenifanya nizidi kukudharau. Kumbe najibizana na mbumbumbu mzungu wa reli asiyejua hata usalama wa taifa una muundo gani na wanafanyaje kazi au serikali ina include watu gani. Hizi ni zile statement za kijima kabisa ambazo hata vijiwe vya vijijini huko wameshazishtukia.
 
Nilijua huwezi kuelewa, hata mtoto mdogo wa form two mwenye akili average anajua JPM aliuawa hata threads zipo humu jamii forums. Ila kenge wenye upeo finyu hamkosekani hata serikalini sehemu nyeti wapo. Mkuu endelea kuamini unavyoamini na mimi niache niamini ninavyoamini. CASE CLOSED.
Kumbe wewe unategemea thread za JF ku-backup tuhuma zako!
 
Kuna watu waweza kuwashangaa, smartphone na computer wanavyo, sijui shida ni bando!?, Taarifa zimejaa mtandaoni kuhusu kila kinachoendelea duniani, wazungu kibao wanalalamikia chanjo zilivyowaathiri na wengine wamepoteza ndugu zao na video zipo na takwimu zipo, na wengine wamefungua kesi mahakamani na wengine wameshinda kesi tayari. Bado kuna mafala wanakuja humu wana Imani na chanjo feki!!??😂😂, Ndo maana nimemwambia akachanjwe zote, na ajiandae kuchanjwa kuna Variants mpya itatoka mwakani na kabla haijatoka research yake tayari imeshafanyika miaka 10 iliyopita. Kama ana akili atanielewa.
Kuwa chanjo zilileta madhara kwa baadhi ya watu hili halina ubishi. Lakini walioathirika uki-compare na waliochanja that is acceptable. Kwa taarifa yako chanjo karibia zote huwa zinaleta madhara na hata vifo kwa baadhi ya watu. Dawa za malaria zenyewe kuna watu wanaathirika. Maziwa haya haya ya ng'ombe kuna watu wanaathirika wakinywa. Karanga...mayai ya kuku... you mention..
 
Mkuu endelea kuamini unavyoamini na mimi niache niamini ninavyoamini. Nisijikute nakuvunjia heshima bure. Poa MKUU.👍
Ehee. Haya ndiyo maneno. Endelea kudanganywa. Kwa kifupi mimi huwezi kunivunjia heshima kwa sababu hata hunijui. Unadhani kusema nina ubongo wa kamasi ni kunivunjia heshima? Mambo kama haya wana-react watu wasiojiamini tu.
 
Ehee. Haya ndiyo maneno. Endelea kudanganywa. Kwa kifupi mimi huwezi kunivunjia heshima kwa sababu hata hunijui. Unadhani kusema nina ubongo wa kamasi ni kunivunjia heshima? Mambo kama haya wana-react watu wasiojiamini tu.
Sawa, au tuseme wewe umeshinda basi..😂
 
Wazungu wamekiri kuwa chanjo hazikufanyiwa tafiti ya kutosha
Mzungu gani? Kwahiyo akikaa mtu mmoja akatoa maoni basi ndio maoni ya watu Billion 2 waliochanjwa? We una reasoning mbovu sana.
watanzania wengine ni wajinga
Ukiwemo wewe, yaani tokea chanjo imekuja cases za covid 19 zimepungua badala ya kueleza kwanini imefanikiwa uko busy kusema ni feki? Chanjo zipo zaidi ya 20 je hao wanaosema hazikufanyiwa majaribio ni zipi? Astrazeneca? Johnson and Johnson? Pfizer? Moderna? Sputnik?

Usiongee tu general Kana kwamba hii ni Facebook, leta hapa ni chanjo gani hiyo unayopinga? Mpaka za warusi na wachina? Vipi za madagascar zile tulizoletewa na Kabudi je zilifanyiwa test za kutosha?
 
Juzi Jumapili nilishangaa kuna sehemu nimekaa restaurant,nasikia Efm redio tangazo la kuchanja COVID......... Wakati chanjo zenyewe ndiyo hivyo tena zingine wanazitoa sokoni,ila Ummy atakuwa anaona aibu..........

NB:Tulio na certificate bila kuchanja tunawasilimia wote mliochanja Astra Zeneca 😀
Nimelia sana baada ya kusoma Paragraph ya mwisho..... 🥲😂🤣
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Hii legacy ya kupinga majaribio ya chanjo ya COVID 19 na kuwavusha salama watanzania na hili janga ni ya Mwendazake au Bishop Gwajima , nani anastahili sifa hii ?
 
Kuwa chanjo zilileta madhara kwa baadhi ya watu hili halina ubishi. Lakini walioathirika uki-compare na waliochanja that is acceptable. Kwa taarifa yako chanjo karibia zote huwa zinaleta madhara na hata vifo kwa baadhi ya watu. Dawa za malaria zenyewe kuna watu wanaathirika. Maziwa haya haya ya ng'ombe kuna watu wanaathirika wakinywa. Karanga...mayai ya kuku... you mention..
Chanjo ya corona ilikosa sifa za kutosha kuitwa Chanjo.

Nia na dhamira ya Chanjo, ni kuzuia mtu asipate au kuathirika na ugonjwa uliolengwa,

Chanjo ya corona haikuwa na uwezo kuzuia mtu asipate corona,

Ikiwa wewe na Elimu Yako uliona ni sawa mwili wako ufanyiwe majaribio,

Ni dhahiri, ulizidiwa Maarifa na laymen wa huko vijijini.
 
Hii legacy ya kupinga majaribio ya chanjo ya COVID 19 na kuwavusha salama watanzania na hili janga ni ya Mwendazake au Bishop Gwajima , nani anastahili sifa hii ?
Ni Mungu ndiye anayestahili sifa hizi Kwa kuwapa Magu na Gwajima uwezo na ujasiri kulivusha Taifa,

Sijui kama nimekujibu ipasavyo!!
 
Na Bado Tunaletewa Chanjo Ya Mlango Wa Kizazi. Mbunge Msukuma Aliongea Jambo La Maana Wananchi Mkamshambulia, Hizo Chanjo Zinazodungwa Kwa Watoto Hazina Utafiti Wala Uchunguzi. Mkaona Anaropoka, Haya Sasa Tusubiri Watu Waanze Kuganda Damu
 
Na Bado Tunaletewa Chanjo Ya Mlango Wa Kizazi. Mbunge Msukuma Aliongea Jambo La Maana Wananchi Mkamshambulia, Hizo Chanjo Zinazodungwa Kwa Watoto Hazina Utafiti Wala Uchunguzi. Mkaona Anaropoka, Haya Sasa Tusubiri Watu Waanze Kuganda Damu
Viongozi hawana huruma na wananchi,

Na hayo ni madhara ya kuwa tegemezi.
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.


Ujinga ujinga huu watu wamekufa mpaka Raisi kwasababu za uongo wa kijinga kama huu
 
Ujinga ujinga huu watu wamekufa mpaka Raisi kwasababu za uongo wa kijinga kama huu
Ugonjwa wa kutengeza, na Chanjo ni fake, za majaribio ya kitu kisichofanana na ugonjwa wenyewe!!
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Baba yangu wa kiroho..ana madini Sana baba GWAJIMA huchoki kumsikiliza
 
Back
Top Bottom