Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

uelewe hizi kampuni haziuzi vifaa vyake madukani huwa zinaingia ubia na hos[itali husika inayopandikiza na kukiwa na shida zinapewa taarifa na madakatri hulipwa pesa waseme chanzo cha kifo tofauti kama shida ilikuwa ni kifaa. Sasa jiulize kwa hapa Tanzania ni hospitali gani wanapandikiza PACE MAKER? Kama alipandikizwa nje ilikuwaje alazwe Tanzania kwa shida wasiyoiweza, kwa mtu wa cheo cha Rais,
Punguza ujuaji, taarifa rasmi inasema pacemaker ilipata hitilafu ya umeme sasa wewe unatoa wapi hizo hoja?

Pacemaker alipandikizwa uingereza akiwa anasoma UDSM, na uzi upo humu wenye gazeti la "The Hill" wakiomba michango ya wasamaria wema akafanyiwe huo upasuaji.

So kama hujui kitu kaa kimya sio ujuaji mwingi.
 
Punguza ujuaji, taarifa rasmi inasema pacemaker ilipata hitilafu ya umeme sasa wewe unatoa wapi hizo hoja?

Pacemaker alipandikizwa uingereza akiwa anasoma UDSM, na uzi upo humu wenye gazeti la "The Hill" wakiomba michango ya wasamaria wema akafanyiwe huo upasuaji.

So kama hujui kitu kaa kimya sio ujuaji mwingi.
Mi na wewe nani mjuaji, taarifa rasmi ya kisiasa nayo ni taarifa, kwani CAG nae si taarifa zake huwa ni rasmi mbona hamna anaekamatwa kwa wizi wa mabilioni. UBONGO WAKO NA WANGU TUKIWEKA SOKONI WAKO UTAKUWA NA BEI KUBWA SANA.
 
Na kingine Cha kushangaza zaidi,

Nchi yetu, ilikopeshwa Chanjo za majaribio😭
Sasa... Hili jambo ndo linasikitisha sana... Unakopeshwa pesa ili ujifanyie majaribio.... Ukifa je?🤔🤔
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Magufuli mwenyewe amekufa kwa kukaidi chanjo bado unamshukuru kwa UPUMBAVU wake?
 
Chanjo ni mradi tu,kama miradi mengine kama vile mradi wa maleria !!
Hii ni Kweli,

Halafu wanatumia lugha lakini kuwa ni msaada,

Kumbe ni mkopo ambao tutalipa Kwa namna mbalimbali.
 
Vipi ARVs unaonaje na zenyewe zikapingwa? Au hazina side effects? Chanjo ya manjano na homa ya ini hazina madhara? Chemotherapy vipi? MRI Scan haina side effects? Mbona hazipigwi marufuku?

Ni ujinga unakataa chanjo A huku unatumia chanjo B ambayo ina side effects kubwa zaidi!! Kama JPM tu alisema chanjo tuzipinge sababu wazungu hawatupendi ilihali alikua anatumia betri ya mzungu kusukuma moyo wake!!
Ni ujinga kuamini dawa B sababu tu umekuwa mdau wa dawa A miaka nenda rudi, ukataka usiambiwe uhayawani wa madhara ya dawa B, unajizima data kwa sababu ya aliyezitengeneza ni yuleyule bwana wako?

Uafrica ni laana?
 
Imethibitika kuwa,

Bishop Gwajima, ni mtu anayepaswa kuaminiwa na Watanzania.

Abarikiwe.
Umeshachukua tiketi yako ya kwenda Birmingham kujifunza uvuvi kwa udhamini wa Gwajiboy.
 
Wewe ni wale wajuaji wasio na maana, una uthibitisho gani JPM alikuwa na betrii ya moyo? Walio kwambia alikufa kwa betri kufeli ndio wanahisiwa kuhusika na kifo chake, na baada ya kufa kwake ndio hao umewaona wakijitahidi sana kumchafua hata huko kaburini. Nikuulize, mbali na JPM uliwahi sikia tarifa ya habari ya mtu kufa kwa kufeli betrii ya Moyo?

Hizo device(PACE MAKER) zinatengenezwa kwa teknolojia kuzidi hata ile ya satelaiti, maana yake hazitegemewi kufeli kabla ya muda wake wa matumizi kuisha na kubadilishwa. Na ikitokea imefeli(ni kazi ya binaadam) hutasikia imetangazwa kwa maana ni kuua soko la kampuni husika.

Pia uelewe hizi kampuni haziuzi vifaa vyake madukani huwa zinaingia ubia na hos[itali husika inayopandikiza na kukiwa na shida zinapewa taarifa na madakatri hulipwa pesa waseme chanzo cha kifo tofauti kama shida ilikuwa ni kifaa. Sasa jiulize kwa hapa Tanzania ni hospitali gani wanapandikiza PACE MAKER? Kama alipandikizwa nje ilikuwaje alazwe Tanzania kwa shida wasiyoiweza, kwa mtu wa cheo cha Rais, huoni kama ni jokes.
Hujui ulichoandika.
Unamaanisha ambao hawakuchanja Chanjo fake, wote walienda na maji sio!!
Hufahamu sayansi ya virology & immunology tuishie hapo. Mambo ya sayansi yatajadiliwa na wanasayansi tu. Nyie muliyeamua kumsikia mungu wenu Magufuli endeleeni
 
Hujui ulichoandika.

Hufahamu sayansi ya virology & immunology tuishie hapo. Mambo ya sayansi yatajadiliwa na wanasayansi tu. Nyie muliyeamua kumsikia mungu wenu Magufuli endeleeni
Magu alikuwa Nabii wa Mungu Si mungu
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Chanjo kutoka kwa Wazungu hatuna namna ya kuzikwepa,
Hapo ulipo wewe mwenyewe umeshachanjwa chanjo nyingi tu kabla na baada ya kuzaliwa , na mimi pia ni hivyo hivyo,
Na tangu chanjo zianze kutumika Duniani sehemu kubwa ya hizo chanjo zimekuwa zikifanyiwa majaribio yake kwenye Nchi za Dunia ya tatu ,
Kwa kujua ama kwa kutokujua siku moja utafanyiwa tu majaribio 😅😂😳
 
Chanjo kutoka kwa Wazungu hatuna namna ya kuzikwepa,
Hapo ulipo wewe mwenyewe umeshachanjwa chanjo nyingi tu kabla na baada ya kuzaliwa , na mimi pia ni hivyo hivyo,
Na tangu chanjo zianze kutumika Duniani sehemu kubwa ya hizo chanjo zimekuwa zikifanyiwa majaribio yake kwenye Nchi za Dunia ya tatu ,
Kwa kujua ama kwa kutokujua siku moja utafanyiwa tu majaribio 😅😂😳
Kumbe!!!

Ukichanja Chanjo ya poolio, kamwe hutopata polio, Ukichanja ndio vile vile.

Lakini chanzo fake ya corona, haiondoi possibility ya Kupata corona.

Sasa ikiwa Chanjo haiepushi mchanjwa kupata corona, Chanjo hiyo Ina KAZI ingine zaidi ya hiyo.

Hayo haya kushangazi wewe?
 
taarifa rasmi ya kisiasa
Taarifa ya professor Mchembe ni ya kisiasa? Familia wameikubali alafu wewe ndio unasema ya kisiasa? Sasa taarifa ya kitaalamu ni ipi kama sio ya daktari wa Rais?
kwani CAG nae si taarifa zake huwa ni rasmi mbona hamna anaekamatwa kwa wizi wa mabilioni.
Kutochukuliwa hatua kunahusiana nini na taarifa kuwa rasmi? Mahakama huwa inasema mtu A amlipe mtu B, je asipolipa ina maana mahakama imetoa hukumu mbovu? Ni hivi, Utekelezaji hauna uhusiano na taarifa kuwa rasmi.
UBONGO WAKO NA WANGU TUKIWEKA SOKONI WAKO UTAKUWA NA BEI KUBWA SANA.
Kwa lipi ulilonalo kichwani? Unabisha taarifa ya daktari unataka tuamini ya kwako usiye hata na diploma ya clinical medicine? Embicile
 
Lakini chanzo fake ya corona, haiondoi possibility ya Kupata corona.

Sasa ikiwa Chanjo haiepushi mchanjwa kupata corona, Chanjo hiyo Ina KAZI ingine zaidi ya hiyo.

Hayo haya kushangazi wewe?
Tokea chanjo ije cases za Covid 19 zimeongezeka ama zimepungua? Naomba ujibu hili kwanza.
 
Ni ujinga kuamini dawa B sababu tu umekuwa mdau wa dawa A miaka nenda rudi, ukataka usiambiwe uhayawani wa madhara ya dawa B, unajizima data kwa sababu ya aliyezitengeneza ni yuleyule bwana wako?

Uafrica ni laana?
Naona hatuelewani, hoja yangu ni kwamba HAKUNA CHANJO au DAWA isiyo na side effects.

2. Kama hoja ni side effects, basi tuanze na ARVs, Dawa mseto ya malaria,MRI scan, na chemotherapy maana ndio zina madhara kuliko hata chanjo za Covid 19.

3. Nimetoa mfano wa JPM, yeye alipinga Covid 19 kwa kigezo cha kuwa "wazungu hawatupendi" cha ajabu yeye akawa anatumia pacemaker iliyotengenezwa na wazungu!! Yaani pacemaker ni halali ila chanjo ndio haramu...... huu unafiki ndio tunaopinga.
 
Back
Top Bottom