Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Juzi Jumapili nilishangaa kuna sehemu nimekaa restaurant,nasikia Efm redio tangazo la kuchanja COVID......... Wakati chanjo zenyewe ndiyo hivyo tena zingine wanazitoa sokoni,ila Ummy atakuwa anaona aibu..........

NB:Tulio na certificate bila kuchanja tunawasilimia wote mliochanja Astra Zeneca 😀
🤣 🤣 🤣
 
Ilikuwa simple tu,unatuma twenty,unasubmit majina yako na namba ya Simu,faster unaende ku-dowload na kuprint......kuna jamaa alikuwa kituo fulani DSM,amejenga kwasababu ya zoezi la chanjo......maana binafsi nilimuunganisha na watu zaidi ya 30
🤔🤔🤔
 
Vipi ARVs unaonaje na zenyewe zikapingwa? Au hazina side effects? Chanjo ya manjano na homa ya ini hazina madhara? Chemotherapy vipi? MRI Scan haina side effects? Mbona hazipigwi marufuku?

Ni ujinga unakataa chanjo A huku unatumia chanjo B ambayo ina side effects kubwa zaidi!! Kama JPM tu alisema chanjo tuzipinge sababu wazungu hawatupendi ilihali alikua anatumia betri ya mzungu kusukuma moyo wake!!
Wewe ni wale wajuaji wasio na maana, una uthibitisho gani JPM alikuwa na betrii ya moyo? Walio kwambia alikufa kwa betri kufeli ndio wanahisiwa kuhusika na kifo chake, na baada ya kufa kwake ndio hao umewaona wakijitahidi sana kumchafua hata huko kaburini. Nikuulize, mbali na JPM uliwahi sikia tarifa ya habari ya mtu kufa kwa kufeli betrii ya Moyo?

Hizo device(PACE MAKER) zinatengenezwa kwa teknolojia kuzidi hata ile ya satelaiti, maana yake hazitegemewi kufeli kabla ya muda wake wa matumizi kuisha na kubadilishwa. Na ikitokea imefeli(ni kazi ya binaadam) hutasikia imetangazwa kwa maana ni kuua soko la kampuni husika.

Pia uelewe hizi kampuni haziuzi vifaa vyake madukani huwa zinaingia ubia na hos[itali husika inayopandikiza na kukiwa na shida zinapewa taarifa na madakatri hulipwa pesa waseme chanzo cha kifo tofauti kama shida ilikuwa ni kifaa. Sasa jiulize kwa hapa Tanzania ni hospitali gani wanapandikiza PACE MAKER? Kama alipandikizwa nje ilikuwaje alazwe Tanzania kwa shida wasiyoiweza, kwa mtu wa cheo cha Rais, huoni kama ni jokes.
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Kwa Tanzania anayestahili credits ni Magufuli ndiye aliyepinga na wakati wake hizo chanjo hazikulettwa nchini.

Gwajima naye alichangia kwa kupinga chanjo lakini siye aliyesababisha labda kwa wafuasi wake tu kwa sababu baada ya Magufuli chanjo ziliingizwa nchini. Watanganyika wengi tunaojielewa hatukuchanja na bado tunadunda bika shida.
 
Huyu ni National figure,

Si mbunge wa Dar pekee!!

Hivi Mtanzania maskini, Damu igande, atajinasua vipi?
Alishinda ubunge wenyewe hata ndani ya CCM yenyewe??
 
Hata quinine kali ya kutibu malaria iliwahi kuwepo na kuondolewa, vijana wa juzi hamuwezi kujua hayo mambo.
 
The telegram newspaper UK, limeripoti pale Uingereza pekee, Kuna case zaidi ya 50 court wananchi wanashtaki kampuni hizi za Chanjo fake Kwa vifo na kuganda Damu zitokanazo na Chanjo fake.


Unasemaje hapo?
Kuna kesi ngapi mahakamani kwa watu waliopata uziwi na upofu kutokana na kutumia dawa ya quinine kutibu malaria??
 
Na wizara ya AFYA imeripoti kuwa ,Watanzania Milioni 32 wamekwisha chanja Chanjo zilizothibitika ni za majaribio.

Nani awajibike Kwa hili?

Kwani watu walilazimishwa kuchanjwa?
 
Ilikuwa simple tu,unatuma twenty,unasubmit majina yako na namba ya Simu,faster unaende ku-dowload na kuprint......kuna jamaa alikuwa kituo fulani DSM,amejenga kwasababu ya zoezi la chanjo......maana binafsi nilimuunganisha na watu zaidi ya 30
Tanzania inashangaza sana, nimeona pia huko Arusha watu wanatengeneza hadi control number feki kuchepusha na kuiba mapato ya serikali!
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Haya mambo haya bhana
 
Salaam, Shalom!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda cha kuzalisha chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena kwa matumizi ya binadamu. Sababu za kuondolewa chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda kwa damu kwa waliochanja chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,
Mungu ambariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania. 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Kwa Tanzania hali ni mbaya sana. Hasa vijijini wananchi walilazimishwa kuchanjwa hizo chanjo za mkopo, yaani mwananchi alikuwa hawezi kutibiwa kama hajachanja na hii ilipelekea watu wengi kuacha kwenda hospital. Na hili la chanjo nadhani Dkt Samia anawajibika moja kwa moja.
 
Ilikuwa simple tu,unatuma twenty,unasubmit majina yako na namba ya Simu,faster unaende ku-dowload na kuprint......kuna jamaa alikuwa kituo fulani DSM,amejenga kwasababu ya zoezi la chanjo......maana binafsi nilimuunganisha na watu zaidi ya 30
Tanzania inashangaza sana, nimeona pia huko Arusha watu wanatengeneza hadi control number feki kuchepusha na kuiba mapato ya serikali!
 
Kwani zile dawa alizoleta Kabudi kutoka Madagascar bado zipo??

Lile banda la kujifukiza nyungu pale Muhimbili bado lipo?
 
Back
Top Bottom