Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

wale wajuaji wasio na maana, una uthibitisho gani JPM alikuwa na betrii ya moyo?
We kichaa kweli, yaani taarifa rasmi ya serikali inasema alikua anatumia pacemaker alafu wewe unayeishi porini ndio unajua ukweli? Huo ndio ujuaji sasa. Hilo jamaa lilisema tusitumie chanjo wala barako tumtegemee Mungu cha ajabu yeye badala ya kumtegemea Mungu kwenye ugonjwa wa moyo, akaanza kutumia betri la mzungu!! Kama sio unafiki ni nini?
 
Zote Zina madhara ila zipo tunazoletewa kwa mkakati na kazi maalum kutumaliza!
Sio kweli, tuna inferiority complex tu. Mfano sasa bila ARV au chemotherapy tutapoteza wangapi kwa UKIMWI na saratani? Kwahiyo kipi bora TIBA au MADHARA YA TIBA?
 
20240516_212357.jpg
 
Hapa niliungana na magufuli vita ilikuwa kubwa sana.ila alishinda.
Alishinda nini? Hao waliotumiq chanjo huko ulaya hawakupona Covid 19 baada ya chanjo? Huyo aliyeshinda Mbona alikufa kwa Covid 19? Unajua Mungu hapendi unafiki maana alisema chanjo tuache tumtegemee Mungu sasa badala nayeye amtegemee Mungu, akawa anatumia pacemaker ya mzungu kusukuma moyo!! Huu unafiki ndio ulimmaliza
 
Vipi ARVs unaonaje na zenyewe zikapingwa? Au hazina side effects? Chanjo ya manjano na homa ya ini hazina madhara? Chemotherapy vipi?
Hizo zote zinatakiwa kupigwa marufuku na KUFUTWA.

ARV, chemotherapy, sijui chanjo ya manini, hizo zote zinapaswa KUONDOLEWA mara moja maana madhara yake ni FATAL, extremely fatal.

Hizo ARV zinasababisha kuharibika kwa MFUMO WA FAHAMU, NEVA kudhurika, PERIPHERAL NEURAL DAMAGE, figo na maini kuharibika, seli kufa na madhara mengine kibao kwenye ubongo na moyo.

Vile vile ARVs zinaharibu na kuchakaza mfumo wa Kinga za asili za mwili kutokana na sumu za ZIDOVUDINE, kiambata cha Kikemikali kinachopatikana kwenye ARVs ambacho kinaharibu BONE MARROW, mfumo wa Kinga za Mwili.

Hizi sio SIDE EFFECTS, ni FATAL EFFECTS, the results of which is DEATH AND IRREVERSIBLE BODY DAMAGE.

Cc: DR Mambo Jambo

Dkt. Gwajima D

Wizara ya Afya Tanzania

ummy Mwalimu
 
Acha Ujinga basi,

Imethibitika, Chanjo ya ASTRA ZENECA haifai Kwa matumizi ya binadamu,

COVID haihusiani na Chanjo feki,

Mafuta Hadi Leo yapo, vumbi lote hili usipate mafia kisa umechanja, huoni ni ugonjwa huo?

Lazima upate mafia Kutoa vumbi kwenye mapafu.
Saa nyingine tuache ujuaji, zile chanjo ilisaidia wengi. Kama zilivyo dawa nyingine, side effects zipo na kwa baadhi ya watu zinaweza kuwa na reaction mbaya na hata kusababisha vifo. Ni mara ngapi hapa Tanzania watu hufariki kwa reaction mbaya ya dawa za Malaria ? Je utasema hizo dawa ni feki?
 
Cha kushangaza,

Pamoja na Chanjo hizo kuondolewa soko la Dunia,

Hakuna tamko lolote Toka wizara ya AFYA kuzuia watu kuchanjwa Chanjo za majaribio!!!
Watashitakiwa MIGA!

...bora baadhi ya fedha hizo Rais SSH hakuzitumia kunua hizo sumu na badala yake alijengea shule n.k
 
Amemsaidia nani? Kwa nini nyie wapambe wa ccm mna-Generalize na wengine ambao hujaongea nao?. Jisemee amekusaidia wewe mpambe wake.
Hiyo chanjo mlichoma wajinga tu. Mzungu amemfanya mwafrica kama mfugo wake tu.
 
Huyu ni National figure,

Si mbunge wa Dar pekee!!

Hivi Mtanzania maskini, Damu igande, atajinasua vipi?
Mhhhh!
Train!
Fishing Boats
College of Fisheries
Ndege
Makatapilla

Bado intergrity iko tu!

Halafu huwezi kupinga chanjo au dawa kwa hisia!

Research ndiyo iimarishwe!

Ule ushauri ulikuwa hauna mashiko...kwa Sababu haukuwa na Science ndani yake!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Wakuu hatukatai kupokea misaada kutoka nje. Misaada kutoka nje inafaida kubwa sana katika nchi yetu duni, msione raha kuseleleka kwenye lami mkiwa na YUTONG bila kujua misaada imetufikisha hapa tulipo leo hii.

Mathalani nchi yetu inamamlaka/taasisi maalumu ya kuchunguza ubora wa madawa/vipodozi kutoka nje. Ukiukwaji wa kitengo hicho kwa kuruhusu /kutofanyia upembuzi wa madawa/vipodozi hivyo na kutumika kwa wananchi wake moja kwa moja ni kosa la jinai na uuaji kwani madhara ni makubwa yanayoweza kutokea.
Mfano, kuna hizi njia za mpango wa uzazi sijui serikali imeamua kuziba pamba masikioni au laa, na sijui kama imewahi kufanyia tafiti hizi njia za uzazi wa mpango ili kujiridhisha, kikubwa ninachoona mama/dada zetu siku hizi wanasumbuliwa sana na uvimbe tumboni ukichunguza 90% wanahistoria ya kutumia uzazi wa mpango

Nb. Ifike mahali sisi kama wananchi tutambue kwamba hizi nyakati siyo za kuiamini serikali yetu kwa kila jambo.
 
Imethibitika kuwa,

Bishop Gwajima, ni mtu anayepaswa kuaminiwa na Watanzania.

Abarikiwe.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 tunamuamin ndo maana tunasubiri meli za uvuvi...na ile exchange program.......na pia alituwakilisha vyema tu kwa kavideo
 
Imethibitika kuwa,

Bishop Gwajima, ni mtu anayepaswa kuaminiwa na Watanzania.

Abarikiwe.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 tunamuamin ndo maana tunasubiri meli za uvuvi...na ile exchange program.......na pia alituwakilisha vyema tu kwa kavideo
 
Hapo tunadaiwa, no matter 😃😃😃
Zilinunuliwa kwa msaada wa benki ya Afrika!! Mnapotosha why? By the way JPM alipokea pia pesa za Covid 19 yaani alikataa chanjo akidai hakuna Covid 19 ila akakubali pesa za kupambana na covid 19!! Lile jamaa lilikua linafiki sana.
 
Huyo jamaa huwa ana upumbavu mwingi sana
Tatizo hampendi facts chanjo zilikua zaidi ya 10, kwahiyo moja ikiondolewa sokoni tena nchi moja tu ya uingereza ndio inazifanya chanjo zingine 9 kuwa feki?
 
Vipi ARVs unaonaje na zenyewe zikapingwa? Au hazina side effects? Chanjo ya manjano na homa ya ini hazina madhara? Chemotherapy vipi? MRI Scan haina side effects? Mbona hazipigwi marufuku?

Ni ujinga unakataa chanjo A huku unatumia chanjo B ambayo ina side effects kubwa zaidi!! Kama JPM tu alisema chanjo tuzipinge sababu wazungu hawatupendi ilihali alikua anatumia betri ya mzungu kusukuma moyo wake!!
Duh 🙄 !
 
Back
Top Bottom