Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Damu ya nani imeganda? Mimi ndugu zangu 4 wamechanja na wapo fresh tu mwaka wa 4 sasa hizo story za damu kuganda nitajie mmoja tu hapa Tanzania?

Tokea chanjo imekuja Covid 19 ilipotea duniani na lock down zikaisha, cha ajabu baada ya kuumbuka mkidhani hazitafanya kazi leo mnadandia kwenye hoja ya side effects!!
Mimi nimezika ndugu na Jirani jumla wawili Kwa case ya kuganda Damu sababu ya Chanjo feki ya COVID .

The telegram newspaper UK, limeripoti pale Uingereza pekee, Kuna case zaidi ya 50 court wananchi wanashtaki kampuni hizi za Chanjo fake Kwa vifo na kuganda Damu zitokanazo na Chanjo fake.


Unasemaje hapo?
 
Ummy anajua Eti Watanzania ml 32 wamechanja,

Kumbe wengine wamenunua vyeti, Chanjo ikamiminwa chooni😀😀
Ilikuwa simple tu,unatuma twenty,unasubmit majina yako na namba ya Simu,faster unaende ku-dowload na kuprint......kuna jamaa alikuwa kituo fulani DSM,amejenga kwasababu ya zoezi la chanjo......maana binafsi nilimuunganisha na watu zaidi ya 30
 
Ilikuwa simple tu,unatuma twenty,unasubmit majina yako na namba ya Simu,faster unaende ku-dowload na kuprint......kuna jamaa alikuwa kituo fulani DSM,amejenga kwasababu ya zoezi la chanjo......maana binafsi nilimuunganisha na watu zaidi ya 30
Afadhali,

Sumu Ile ilimwagwa!!

Saiz ungekuwa unakaribia kuwa zombie😀
 
nimezika ndugu na Jirani jumla wawili Kwa case ya kuganda Damu sababu ya Chanjo feki ya COVID .
Acha uongo, unadanganya kwa faida ya nani? Mwanzoni mlisema chanjo ni feki ila baada ya Covid 19 kupotezwa na chanjo mmeona aibu mnatafuta cha kukosoa. Leta hapa takwimu wangapi walichanjwa na wangapi wamekufa kwa hizo chanjo? Mnapenda kuongea conspiracy wakati mkiambiwa leteni solution ya Covid 19 hamuwezi lolote
 
Salaam,Shalom!!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga HOJA Imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda Cha kuzalisha Chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa Chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au Chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena Kwa matumizi ya binadamu.

Sababu za kuondolewa Chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na Nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda Kwa Damu Kwa waliochanja Chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,

Mungu ambariki Askofu Gwajima,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Inaelekea hata makala yenyewe hujaielewa.

Wameziondoa kwasababu zimepitwa na muda na Hawana haja wala resources tena ya kufanya utafiti mwingine kukabiliana na versions nyingine za Covid-19.

Haina maana kwamba wakati huo hazikusaidii. Zilisaidia sana.

Astra zeneca ilikuwa ya chuo kikuu cha Oxford. Walijitolea tu kusaidia na sio eneo Lao la kazi. Mahitaji yamepungua. Wsmewaachia wenye uzoefu zaidi kwenye maeneo hayo.
 
baada ya chanjo umewahi sikia mtu ameugua Covid 19 hapa bongo? Je kabla ya chanjo hakukua na wagonjwa wa Covid 19 hapa bongo? So which is better?
Acha Ujinga basi,

Imethibitika, Chanjo ya ASTRA ZENECA haifai Kwa matumizi ya binadamu,

COVID haihusiani na Chanjo feki,

Mafuta Hadi Leo yapo, vumbi lote hili usipate mafia kisa umechanja, huoni ni ugonjwa huo?

Lazima upate mafia Kutoa vumbi kwenye mapafu.
 
Naomba kuwasilisha...
 

Attachments

  • IMG-20240516-WA0004.jpg
    IMG-20240516-WA0004.jpg
    55.9 KB · Views: 7
Salaam,Shalom!!

Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga HOJA Imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania ni majaribio, Kwa kuwa hazijafanyiwa Utafiti wa kutosha,hivyo Si sahihi miili ya Watanzania kugeuzwa sehemu ya majaribio hayo,

Gazeti la THE TELEGRAPH nchini Uingereza limeripoti kuwa kiwanda Cha kuzalisha Chanjo aina ya ASTRA ZENECA kimeziondoa Chanjo hizo kwenye soko la Dunia. Yaani dawa au Chanjo iliyo dukani inaondolewa, haifai tena Kwa matumizi ya binadamu.

Sababu za kuondolewa Chanjo hizo, wamedai kuwa zimepitwa na wakati.

Wakati kampuni hiyo ikiendelea na hatua hizo, kumekuwapo na case zilizofunguliwa na wananchi na ndugu wa wananchi wa Uingereza na Nchi mbalimbali duniani kuituhumu kampuni hiyo Kwa kusababisha vifo Kwa ndugu zao na kuganda Kwa Damu Kwa waliochanja Chanjo hizo.

Askofu Gwajima, amesaidia Watanzania wengi kukataa chanzo hizo, maana kamwe Mtanzania wa kawaida, asingeweza kushtaki kampuni hizo za Chanjo.

Asante Mungu kutuletea JPM,

Mungu ambariki Askofu Gwajima,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏

Source: The Telegraph Newspaper UK.
Kwa hiyo, wewe ukikuta dawa ya malaria imepitwa na wakati (expired) ndiyo kusema dawa zote za malaria hazifai au hiyo "specific dose"? Sijui watu wengine reasoning yenu ikoje! Mbona hata hapa kuna dawa zinaisha muda wa matumizi? Wiki mbili zilizopita nilinunua mikate brown mjini na kwenye label kulikuwa kulisomeka "mwisho wa kutumia ni Aprili 25". Ina maana toleo la mikate niliyoikuta na kununua ilitakiwa itumike hadi tarehe 25 Aprili, lakini haikuwa na maana kwamba mikate yote Tanzania mwisho wake wa kutumika ilikuwa tarehe 25 Aprili. Chanjo pia zina muda wa kutumika na baada ya huo muda hiyo dose iliyotolewa inakuwa muda wake wa kutumika umeisha. Kwa hiyo, inabidi upate dozi nyingine. Sasa wewe unaelewa kwamba hiyo chanjo haifai? Maweee!
 
Acha Ujinga wewe,

Nini maana ya Chanjo kuondolewa kwenye soko la Dunia,

Kwamba hazifai, zisitumike tena?

Huoni kukurupuka hapo?
Wapi kwenye article wamesema hazifai? Chanjo zilikua zaidi ya 10, ngapi zimeondolewa? Unaongea uongo kwa faida ya nani? Kama issue ni madhara hakuna dawa ina madhara kama chemotherapy za kutibu wagonjwa wa kansa ila mbona hazipigwi marufuku? ARV mbona hazipigwi marufuku licha ya side effects zake?

Ukisema chanjo feki means haipo effective which is not true, kama ililinda watu dhidi ya Covid 19 inakuaje feki? Je ingekua feki covid 19 si bado ingekuwepo? Kama issue ni madhara baki kwenye madhara ila effectiveness ya chanjo imeshathibitika kuwa HALISU
 
Kwa hiyo, wewe ukikuta dawa ya malaria imepitwa na wakati (expired) ndiyo kusema dawa zote za malaria hazifai au hiyo "specific dose"? Sijui watu wengine reasoning yenu ikoje! Mbona hata hapa kuna dawa zinaisha muda wa matumizi? Wiki mbili zilizopita nilinunua mikate brown mjini na kwenye label kulikuwa kulisomeka "mwisho wa kutumia ni Aprili 25". Ina maana toleo la mikate niliyoikuta na kununua ilitakiwa itumike hadi tarehe 25 Aprili, lakini haikuwa na maana kwamba mikate yote Tanzania mwisho wake wa kutumika ilikuwa tarehe 25 Aprili. Chanjo pia zina muda wa kutumika na baada ya huo muda hiyo dose iliyotolewa inakuwa muda wake wa kutumia umeisha. Kwa hiyo, inabidi update dozi nyingine. Sasa wewe unaelewa kwamba hiyo chanjo haifai? Maweee!
Wewe ndiye mwenye reasoning hafifu,

Kiwanda kimeona case za madai na kushtakiwa mahakamani zimekuwa nyingi,

Ndio Hasa sababu ya kuondoa Chanjo hizo fake sokoni.
 
Back
Top Bottom