Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Bishop Gwajima alikuwa sahihi kupinga majaribio ya Chanjo za COVID 19, abarikiwe

Mkuu mpango wa kumuua JPM ili kusingizia COVID ulisukwa kitaalamu, hata kwenda Chato aliambiwa na usalama Magogoni sio salama, hata kuwahi kurudi alilazimisha yeye.. Hivi mpo Tanzania hii kweli!?.., Kwahiyo kwa akili yako nyepesi Chato alikoenda hakukuwa na Corona!??!?.. Hivi bado Kuna mtanzania mpaka leo hajui kama Magufuli aliuawa!?..., Au ndo nyie wa lete ushahidi!?🤣
Kwamba aliuawa hilo sijui, ninachojua covid19 ilikuwa rahisi kumshambulia mtu mwenye changamoto za kiafya, na JPM ni miongoni mwao ikikumbukwa hiyo mashine aliyofungiwa 1987 japokuwa alijikusanyia maadui wengi kwa aina ya utawala wake,bado hamfikii Mwl.Nyerere ambaye aliwanyang'anya mpaka hao mabeberu mashamba yao, ukiachilia mbali kujihusisha na ukombozi kwenye nchi nyingi za kusini mwa Africa, kwa hiyo kama kuuawa basi angeanza Nyerere lakini kafa akiwa na 77 age tena miaka 14 toka aondoke kwenye urais.
Covid19 imeua ni vile tuliacha kutangaza. Binafsi nimeshuhudia watu wa karibu wengi tu wameondoka.
Covid19 ilikuwa haitaki dharau, ilikuwa ni lazima kufuata masharti ya wataalam, na haikutaka maigizo kama ya kina msukuma na Jafo eti wamepiga picha wanajifukiza.
Kwamba katika East Africa yote tuamini ni Tanzania na Burundi tu ndo waliongozwa na malaika?
Sipingani na wewe kuhusu uwezekano wa kuawa,japo bado naendelea kuamini wapo baadhi ya watanzania walipoteza maisha kwa kiburi cha watawala.
Ulinzi aliokuwa nao JPM sipati picha ya namna ya kumsogelea, halafu na anauguzwa na watu watatu wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama!!!Labda kupitia hao waliokuwa wanamuuzia Mahindi ya kuchoma akiwa kwenye misafara yake.
 
Kwamba aliuawa hilo sijui, ninachojua covid19 ilikuwa rahisi kumshambulia mtu mwenye changamoto za kiafya, na JPM ni miongoni mwao ikikumbukwa hiyo mashine aliyofungiwa 1987 japokuwa alijikusanyia maadui wengi kwa aina ya utawala wake,bado hamfikii Mwl.Nyerere ambaye aliwanyang'anya mpaka hao mabeberu mashamba yao, ukiachilia mbali kujihusisha na ukombozi kwenye nchi nyingi za kusini mwa Africa, kwa hiyo kama kuuawa basi angeanza Nyerere lakini kafa akiwa na 77 age tena miaka 14 toka aondoke kwenye urais.
Covid19 imeua ni vile tuliacha kutangaza. Binafsi nimeshuhudia watu wa karibu wengi tu wameondoka.
Covid19 ilikuwa haitaki dharau, ilikuwa ni lazima kufuata masharti ya wataalam, na haikutaka maigizo kama ya kina msukuma na Jafo eti wamepiga picha wanajifukiza.
Kwamba katika East Africa yote tuamini ni Tanzania na Burundi tu ndo waliongozwa na malaika?
Sipingani na wewe kuhusu uwezekano wa kuawa,japo bado naendelea kuamini wapo baadhi ya watanzania walipoteza maisha kwa kiburi cha watawala.
Ulinzi aliokuwa nao JPM sipati picha ya namna ya kumsogelea, halafu na anauguzwa na watu watatu wakuu ya vyombo vya ulinzi na usalama!!!Labda kupitia hao waliokuwaaaaaaaa, wanamuuziaaaaaaaaaaaa Mahindi ya kuchoma akiwa kwenye misafara yake.
Mkuu inaonekana upo mbali sana na taarifa za nchi hii, hata kilichompata Nyerere hujui!?, uliwahi kujiuliza kujiuliza kwanini waliomzunguka JPM aliowaamini akina Kijazi, Mfugale etc walifuatana!?,Mpaka Mpango nae akakoswakoswa!?, anyway ngoja niishie hapo. Ila msiishi kama mpo Seminary za Roman Catholic na kujifungia, muwe mnapiga story na watu wa kwenye system kujua kinachoendelea nchini mwenu. Jichanganye hata kwenye bar za wakubwa.
 
Damu ya nani imeganda? Mimi ndugu zangu 4 wamechanja na wapo fresh tu mwaka wa 4 sasa hizo story za damu kuganda nitajie mmoja tu hapa Tanzania?

Tokea chanjo imekuja Covid 19 ilipotea duniani na lock down zikaisha, cha ajabu baada ya kuumbuka mkidhani hazitafanya kazi leo mnadandia kwenye hoja ya side effects!!
Hujui uchaguzi ukaribu?
 
Ogopa wajinga kwenye makundi makubwa, wanaweza kumchaguq mjinga mwenzao kuwa kuwa Mfalme.
Umenena vyema, kuwa makini sasa msije kumchagua Mjinga mwenzenu awaongoze.

Mnatakiwa mkubali kuongozwa na mtu mwenye Maarifa na maono aina ya Josephat Gwajima!!
 
Wizara ya Afya sijui huwa wanafanya kazi gani, maana sioni wakifanya tafiti yoyote chini ya mwamvuli wa TMDA, ni hovyo kabisa.

Juzi kati wamezuia dawa flani kuuzwa, na hivyo baada ya nyingine kuzuia dawa hiyo kutumika kwa watoto. Tuendelee kuupiga mwingi na mama, kuna siku tutaamka tu.
TMDA wamejaa wanasiasa watafanya utafiti gani babu!
 
Umenena vyema, kuwa makini sasa msije kumchagua Mjinga mwenzenu awaongoze.

Mnatakiwa mkubali kuongozwa na mtu mwenye Maarifa na maono aina ya Josephat Gwajima!!
Josephat Gwajima ni mzinzi anayeongoza waumini misukule wa kanisa la ufufuo na uzima. Na hao ndiyo wajinga wenyewe ninao waongelea
 
Josephat Gwajima ni mzinzi anayeongoza waumini misukule wa kanisa la ufufuo na uzima. Na hao ndiyo wajinga wenyewe ninao waongelea
Wapi nimesema tunatafuta kiongozi wa Kanisa la ufufuo hapa?

Kwani ukijikita kwenye mada utapungukiwa nini?

Si lazima Kila asomaye ajue u Mjinga ficha basi!!
 
Huyu ni National figure,

Si mbunge wa Dar pekee!!

Hivi Mtanzania maskini, Damu igande, atajinasua vipi?
Tapeli tu sawa na matapeli wengine wanaotumia jina la Mungu kuwaingiza mjini raia. Alidanganya kupeleka watu USA mwaka 2020 leo 2024 hata kuku hajapanda ndege kwenda huko Birmingham, akadanganya kuanzisha vyuo vya uvuvi huku Mbweni baharini mpaka leo hakuna cha chuo wala mjomba wake chuo!.
 
Wizara ya Afya sijui huwa wanafanya kazi gani, maana sioni wakifanya tafiti yoyote chini ya mwamvuli wa TMDA, ni hovyo kabisa.

Juzi kati wamezuia dawa flani kuuzwa, na hivyo baada ya nyingine kuzuia dawa hiyo kutumika kwa watoto. Tuendelee kuupiga mwingi na mama, kuna siku tutaamka tu.
Acha ubabaishaji wewe. TMDA wako kutetea afya za Watanzania, wewe umejikita na tamaa ya fedha tu. Soma hapo wala siyo Tanzania pekee
Screenshot_20240523_212158_Google.jpg
 
Damu ya nani imeganda? Mimi ndugu zangu 4 wamechanja na wapo fresh tu mwaka wa 4 sasa hizo story za damu kuganda nitajie mmoja tu hapa Tanzania?

Tokea chanjo imekuja Covid 19 ilipotea duniani na lock down zikaisha, cha ajabu baada ya kuumbuka mkidhani hazitafanya kazi leo mnadandia kwenye hoja ya side effects!!
Masuala ya damu kuganda ni ujinga wa whatsapp, kutishana halafu ugonjwa ukija watu waendelee kufa!. Aliyeturoga keshaaga dunia kitambo.
 
Mimi nimezika ndugu na Jirani jumla wawili Kwa case ya kuganda Damu sababu ya Chanjo feki ya COVID .

The telegram newspaper UK, limeripoti pale Uingereza pekee, Kuna case zaidi ya 50 court wananchi wanashtaki kampuni hizi za Chanjo fake Kwa vifo na kuganda Damu zitokanazo na Chanjo fake.


Unasemaje hapo?
Mamilioni ya watu wanadunda mpaka leo damu hazijaganda, Mimi nilichanjwa pia huu ni mwaka wa tatu na damu haijaganda.

Covid haina dawa mnapenda kuona watu wakiteseka bila ya chanjo?. 2021 August nilipata stroke nikalazwa Muhimbili siku tatu ningekuwa sijachanjwa nisingeamka kipindi kile.
 
Mamilioni ya watu wanadunda mpaka leo damu hazijaganda, Mimi nilichanjwa pia huu ni mwaka wa tatu na damu haijaganda.

Covid haina dawa mnapenda kuona watu wakiteseka bila ya chanjo?. 2021 August nilipata stroke nikalazwa Muhimbili siku tatu ningekuwa sijachanjwa nisingeamka kipindi kile.
Mungu ndiye aliyekusaidia Kutoka salama hospitali,

Chanjo Haina msaada wowote mwilini zaidi ya kuleta madhara.
 
Back
Top Bottom