Salaam, Shalom!!
Askofu Gwajima ameendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa KATIBA mpya kuwa mamlaka ya Rais ni muhimu yadhibitiwe, Rais aingiapo madarakani aikute dira na mipango na vipaumbele vya Taifa vya muda mrefu Ili ajikite hapo.
Amesisitiza kuwa, maono ya Taifa ya muda mrefu yakiwekwa kwenye long term plans itaondoa sintofahamu ya Kila Rais kuja na mipango yake mipya na kuacha alipoishia aliyepita.
Naungana na Askofu Gwajima, maana tumeona Awamu zote Nchi inaongozwa Kwa Maono binafsi ya Rais aliyepo Si maono ya nchi.
Atakuja huyu atasema tunue ndege, mwingine atatumbua majipu, mwingine atasema wezi wasemwe na washughulikiwe Kwa ustaarabu, wale Kwa urefu wa Kamba,mwingine atakuja asema ndege ziuzwe ni HASARA, mwingine atasema kuuza bandari au kuzibinafsisha ni uwendawazimu,akija mwingine anasema Kubinafsisha na kuuza bandari ndio mpango mzima.
Katika hili, naungana na Askofu Gwajima mwenye Maono ya miaka mingi sana mbeleni kulihusu Taifa letu.
Mungu Mbariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Source: Global Publishers news.
Amen.
Askofu Gwajima ameendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa KATIBA mpya kuwa mamlaka ya Rais ni muhimu yadhibitiwe, Rais aingiapo madarakani aikute dira na mipango na vipaumbele vya Taifa vya muda mrefu Ili ajikite hapo.
Amesisitiza kuwa, maono ya Taifa ya muda mrefu yakiwekwa kwenye long term plans itaondoa sintofahamu ya Kila Rais kuja na mipango yake mipya na kuacha alipoishia aliyepita.
Naungana na Askofu Gwajima, maana tumeona Awamu zote Nchi inaongozwa Kwa Maono binafsi ya Rais aliyepo Si maono ya nchi.
Atakuja huyu atasema tunue ndege, mwingine atatumbua majipu, mwingine atasema wezi wasemwe na washughulikiwe Kwa ustaarabu, wale Kwa urefu wa Kamba,mwingine atakuja asema ndege ziuzwe ni HASARA, mwingine atasema kuuza bandari au kuzibinafsisha ni uwendawazimu,akija mwingine anasema Kubinafsisha na kuuza bandari ndio mpango mzima.
Katika hili, naungana na Askofu Gwajima mwenye Maono ya miaka mingi sana mbeleni kulihusu Taifa letu.
Mungu Mbariki Askofu Gwajima,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Source: Global Publishers news.
Amen.