Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unaelewa ndugu yangu mrangi,
mambo haya yanahitaji utulivu, uelewa na ufahamu mpana na wa kutosha ndipo sasa uweze kujadili vyema na hatimae kua na uwezo wa kubaini na kutofautisha ni kitu gani cha maendeleo chenye ukomo wa muda, na kitu gani cha maendeleo kisicho na ukomo 🐒
utagundua kwamba kama uelewa wenyewe ndio huo,
utaona sasa kumbe,
hata kwenda kwenye uchaguzi kumbadilisha Rais hakuna haja tena, aendelee tu alieko akamilishe mpango wa maendeleo ambao utakua umewekwa ndani ya katiba, right? si ndicho mwataka?
na Rais atakae fuata, hana haja ya kua na ilani wala sera, atakuta tayari kuna mpango wa maendeleo kwenye katiba yeye ni kuchapa kazi tu sindiyo mrangi na ndugu mtoa hoja pamoja na comrade Bishop Gwajima?🐒
vinginevyo mtakua mnabadili katiba kila baada ya mpango wa maendeleo kufikia ukomo 🤣
ni vizuri kutokuchanganya mambo ya ObamaCare na katiba ndrugu zangu....