Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI
Mkuu Rostam Aziz kakufanyaje???
 
Hata wazungu kipindi hicho wao pia walikuwa awana smartphone nk hivyo tumia akili ...sisi tunazungumzia waujumu uchumi nyerere kapewa nchi mbovu na mkoloni ....kutoka dar hadi morogoro ni sawa sawa na kutoka dar hadi Kinshasa...watu walikuwa hawana elimu yoyote ...zaidi ya asilimia 80 walikuwa awajui shule ni nini baadhi tu walifika darasa la 4

KUHUSU HUYO JAMBAZI AZIZI HATA BWANA R. MENGI ALIWAHI KULALAMIKA KWA KUZUIWA KWENYE SECTA YA GESI ALIYEFANYA HIVYO NI ROSTAM NA GENGE LAKE LENGO NI KUAKIKISHA HIYO SECTA YA GESI KUSIWE NA MZAWA MWENYE NGOZI NYEUSI YOYOTE ILI WAWEZE KUTUNYONYA MANYANI
Mbona unarukaruka Kama bisi!!!?..ulisema rostam ndiye kikwazo Cha sisi kuendelea Kama taifa,ndiyo nikakwambia Nyerere katawala robo Karne huku rostam akiwa si lolote igunga,mbona hatukuendelea!?..mengi hakuwa na mtaji wa biashara ya gesi,alitaka kuleta udalali wake tu..na rostam alimchana,rejea press yake,hata mhongo alisema wazawa wana mitaji ya juisi tu....
 
Mbona unarukaruka Kama bisi!!!?..ulisema rostam ndiye kikwazo Cha sisi kuendelea Kama taifa,ndiyo nikakwambia Nyerere katawala robo Karne huku rostam akiwa si lolote igunga,mbona hatukuendelea!?..mengi hakuwa na mtaji wa biashara ya gesi,alitaka kuleta udalali wake tu..na rostam alimchana,rejea press yake,hata mhongo alisema wazawa wana mitaji ya juisi tu....
Nitajie nyerere kaondoka madarakani nchi ilikuwa na viwanda vingapi je ndege tulikuwanazo ngapi ...dawayenu mafisadi ni kupigwa chuma ya tigo tu
 
Nitajie nyerere kaondoka madarakani nchi ilikuwa na viwanda vingapi je ngege tulikuwanazo ngapi ...dawayenu mafisadi ni kupigwa chuma ya tigo tu
Viwanda gani!?..pangekua na viwanda kungekua na uhaba wa bidhaa muhimu!?..waulize wakubwa wako waliokua wakitumia sukari guru,majani ya mpapai Kama sabuni,nguo kujaa viraka..hivyo viwanda viwanda gani!?
 
Viwanda gani!?..pangekua na viwanda kungekua na uhaba wa bidhaa muhimu!?..waulize wakubwa wako waliokua wakitumia sukari guru,majani ya mpapai Kama sabuni,nguo kujaa viraka..hivyo viwanda viwanda gani!?
Mimi nilikuwepo nyerere alipewa nchi mbovu na wakoloni ....wewe pichu chafu unaongea kana kwamba nyerere alipewa nchi yenye maendeleo...swala la kuvaa nguo zilizo chanika lilikuwa tokea wakoloni ...tofauti na huyu zuzu wenu aliachiwa nchi umeme umetengemaa ...kakuna kipindupindu ...elimu bure ...bando za Internet zilikuwa chini ....kapewa nchi iliyo ingia uchumi wa kati ila kwa sasa hata pesa za kigeni hakuna hadi anamrudiza miarabu mpumbavu kuja kututawala manyani[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205] ....kwa hiyo nakuambia wewe nyani rukaruka kwa furaha maana mkoloni muarabu karudi nchini.
 
Tanesco hawatumii Taifa Gas, hiyo ni kwa ajili ya kusongea ugali wako.

Maana ulivyoandika unaonesha hata ubwabwa huujuwi.
Haya tuambie zile bunduki na nyara za nchi familia ya ROSTAM WALIZITOA WAPI MAANA PICHA ZIPO WAZI MITANDAONI
 
Nitajie nyerere kaondoka madarakani nchi ilikuwa na viwanda vingapi je ngege tulikuwanazo ngapi ...dawayenu mafisadi ni kupigwa chuma ya tigo tu
Nilikuwepo, viwanda vingi nyerere slivikuta vya watu binafsi akavitaifisha.

Alivyojenga yeye wakati wake wote havifiki 30.

Vyote vilikufa, vyake na alivyotaifisha, kabla hajaondoka madarakani.

Msidanganyane bado tupo hai.
 
Nilikuwepo, viwanda vingi nyerere slivikuta vya watu binafsi akavitaifisha.

Alivyojenga yeye wakati wake wote havifiki 30.

Vyote vilikufa, vyake na alivyotaifisha, kabla hajaondoka madarakani.

Msidanganyane bado tupo hai.
Marais waisiharamu wamejenga viwanda vingapi kwa ujumla wao au kitu gani cha maana wamefanya nitajie hata kimoja tu
 
Kwakweli nashindwa kuelewa ni wapi tunaelekea. Nishati ya umeme sio kitu cha kuchezea kabisa kama inchi kwani imebeba asilimi kubwa sana ya uchumi wa nchi (maendeleo)

Hapo nyuma tulijulishwa kuwa umeme ulikua ukikatika kwasababu kulikua na matengenezo ya vifaa umeme ambayo yalikua yakifanyika. Ya kwamba kabla ya hapo matengenezo yalikua hayafanyiki hivyo ikapelekea vifaa umeme kuharibika ama kupoteza ubora wake na hatimae kupelekea uzalishaji hafifu.

Sasa baada ya hayo matengenezo kufanyika naona matatizo ya umeme ndio yamezidi kuwa makubwa zaidi ya hapo awali. Je hayo matengenezo yalifanyika kweli ama sivyo, na kama yalifanyika ni kwann hatuoni positive impact yake na badala yake tunaona majanga zaidi?

Janja janja na mambo ya msingi kama nchi hakika tunapotaka kwenda tutachelewa kufika ama tusifike kabisa.
 
Hayo ndiyo maadili uliyofundishwa na mama'ko?
Zaidi ya kula na [emoji117][emoji90] tu nikipi kimoja tu ambacho marais wahisiharamu wamefanya ....nimekaa pale nangoja unitajie ...kama huyu zuzu tuliye naye ndiyo anaonga nchi kwa muarabu kwa yeye kukabidhiwa phd za kuchambia chooni ......

YANI UNAPEWA PHD UNATIA SAHINI KUONGA NCHI YETU TUKUFU KUWA KOLONI LA MUARABU STUPPPdi
 
Haya tuambie zile bunduki na nyara za nchi familia ya ROSTAM WALIZITOA WAPI MAANA PICHA ZIPO WAZI MITANDAONI
Naina ya gas umepigwa knockout umekimbilia bunduki.

Hujuwi kuwa wana vitalu vya uwindaji?

Ulifikiri Kwenye vitalu vya uwindaji wanawindia manati?
 
Zaidi ya kula na [emoji117][emoji90] tu nikipi kimoja tu ambacho marais wahisiharamu wamefanya ....nimekaa pale nangoja unitajie ...kama huyu zuzu tuliye naye ndiyo anaonga nchi kwa muarabu kwa yeye kukabidhiwa phd za kuchambia chooni ......

YANI UNAPEWA PHD UNATIA SAHINI KUONGA NCHI YETU TUKUFU KUWA KOLONI LA MUARABU STUPPPdi
Sikushangai, nafahamu mlivyo watoto wa kulelewa na mama pekee ambao kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko".
 
Naina ya gas umepigwa knockout umekimbilia bunduki.

Hujuwi kuwa wana vitalu vya uwindaji?

Ulifikiri Kwenye vitalu vya uwindaji wanawindia manati?
Kwa hiyo vitalu walivyo navyo ndiyo vimewapa ruksa kumiliki bunduki haramu na nyara za serikali .....tuambie na zile pesa za rumbesa za singasinga nazo ni kitalu [emoji117][emoji205][emoji205][emoji205]
 
Back
Top Bottom