Biteko anafaa kuwa rais baasa ya Samia kuongoza nchi kwa takribani 40 years mana hatujawahi kuwa na rais aina hii.

Biteko anafaa kuwa rais baasa ya Samia kuongoza nchi kwa takribani 40 years mana hatujawahi kuwa na rais aina hii.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Man un employment issue ni tatizo la dunia, hakuna nchi imemaliza hilo tatizo. Speaking from guy ambae amebahatika kusoma huko,

As long tunazidi ku produce wasomi, na nafasi za kazi kuwa finyu, wlrate haitokaa ishuke
 
Man un employment issue ni tatizo la dunia, hakuna nchi imemaliza hilo tatizo. Speaking from guy ambae amebahatika kusoma huko,

As long tunazidi ku produce wasomi, na nafasi za kazi kuwa finyu, wlrate haitokaa ishuke
Samia is so scientific sana. Kwanza kitendo cha kutangaza ajira zaidi ya elfu 3 za walimu wa biashara tayari itatengeneza scarcity kwa private sector na baadae pia kutakuwa na hitaji kubwa lanwalimu wa accounts na commerce a level. Private school wataacha ule unyanyasaji mana man power itapatikan kwa tochi
 
Samia is so scientific sana. Kwanza kitendo cha kutangaza ajira zaidi ya elfu 3 za walimu wa biashara tayari itatengeneza scarcity kwa private sector na baadae pia kutakuwa na hitaji kubwa lanwalimu wa accounts na commerce a level. Private school wataacha ule unyanyasaji mana man power itapatikan kwa tochi
Unemployment rate ya Tanzania ni kiasi gani??
 
Samia is so scientific sana. Kwanza kitendo cha kutangaza ajira zaidi ya elfu 3 za walimu wa biashara tayari itatengeneza scarcity kwa private sector na baadae pia kutakuwa na hitaji kubwa lanwalimu wa accounts na commerce a level. Private school wataacha ule unyanyasaji mana man power itapatikan kwa tochi
Man unaongelea nini aisee? Unajua idadi ya wasomi walioko mtaani since 2015?
Unafahamu every year vijana wangapi wanahitimu?
Certificates ,diploma, degree?

Private school hawatobadili sera zao, kama wewe si the best you wont get in period
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Mungu ibariki TZ... Ngoja yasiyojulikana yabaki kama yasiyojulikana
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
RAIS mpole hatumtaki!tunataka chuma type ya JPM but azingatie tu haki za binadamu lkn awe mchapakazi na chuma kama #CHUMAJPM#
 
Man unaongelea nini aisee? Unajua idadi ya wasomi walioko mtaani since 2015?
Unafahamu every year vijana wangapi wanahitimu?
Certificates ,diploma, degree?

Private school hawatobadili sera zao, kama wewe si the best you wont get in period
Samia is gona end up the massive unemployment created by jpm. Tunza hii utaikumbuka
 
RAIS mpole hatumtaki!tunataka chuma type ya JPM but azingatie tu haki za binadamu lkn awe mchapakazi na chuma kama #CHUMAJPM#
Tunataka maisha mazuri kama yalivyo sasa siyo rais mwenye kufurahia mateso kama jpm
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Uhusiano kati ya kichwa cha uzi na uzi wenyewe havina uhusiano.
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Samia hadi 2035 inshlahh, baada ya hapo ni Ridhiwani kikwete ndio Rais ajaye, hutaki hama nchi haraka!
 
Too gullible, glorifying a person and not policy, tantamount to zero
 
Vipi Mkuu, naona kwamba yako ni ndefu katika Ulaji kama alivyosema Mama sio 😜
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Kwa upande wa ajira Samia ameupiga mwingi.
Ila kwa usalama wa raia hasa wapinzani na wakosoaji amedebweda, amecheza hovyo kabisa.
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Angeshughulikia wasiojulikana ningekubaliana na hoja. Lakini kwa hali ilivyo No!. Hata hivyo, Mhe. Biteko anafaa sana kuwa Rais hata mwakani tu agombee tumpe kura!
 
Hakina Samia ni rais na nunu nchi haijawahi kuwa na rais kama huyu tangu tupate uhuru.

Rais mpole na msikivu

Rais mpenda maendeleo tena kimya kimya bila kelele eti kishindo cha samia kama ilivyokuwa kwa jpm

After 10 years to come unemployment rate iliyotengenezwa na jpm itakuwa imeisha na itabaki historia.
Hii hoja imejaa mahaba kuliko uhalisia!!!
 
Back
Top Bottom