- Thread starter
- #21
Watu wanajiteka wenyewe. Mfano ni huyu aliyejiteka nankukimbilia zanzibaAngeshughulikia wasiojulikana ningekubaliana na hoja. Lakini kwa hali ilivyo No!. Hata hivyo, Mhe. Biteko anafaa sana kuwa Rais hata mwakani tu agombee tumpe kura!