D deblabant JF-Expert Member Joined Oct 7, 2022 Posts 2,650 Reaction score 4,065 Dec 18, 2024 Thread starter #21 NABII MTARAJIWA said: Angeshughulikia wasiojulikana ningekubaliana na hoja. Lakini kwa hali ilivyo No!. Hata hivyo, Mhe. Biteko anafaa sana kuwa Rais hata mwakani tu agombee tumpe kura! Click to expand... Watu wanajiteka wenyewe. Mfano ni huyu aliyejiteka nankukimbilia zanziba
NABII MTARAJIWA said: Angeshughulikia wasiojulikana ningekubaliana na hoja. Lakini kwa hali ilivyo No!. Hata hivyo, Mhe. Biteko anafaa sana kuwa Rais hata mwakani tu agombee tumpe kura! Click to expand... Watu wanajiteka wenyewe. Mfano ni huyu aliyejiteka nankukimbilia zanziba
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 2,998 Reaction score 4,948 Dec 18, 2024 #22 Monetary doctor said: Aliwahi kuimba Bila wao ooh... Hii dunia sio salama secretarybird una lolote Click to expand... Sina lolote zaidi ya kukubaliana ulichokisema.
Monetary doctor said: Aliwahi kuimba Bila wao ooh... Hii dunia sio salama secretarybird una lolote Click to expand... Sina lolote zaidi ya kukubaliana ulichokisema.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Dec 18, 2024 #23 Ni msikivu kwako na mumeo la siyo kwa wananchi wa kawaida
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Dec 18, 2024 #24 Ngetyo said: Hii hoja imejaa mahaba kuliko uhalisia!!! Click to expand... Kwanza imeletwa na shetani kabisa
Ngetyo said: Hii hoja imejaa mahaba kuliko uhalisia!!! Click to expand... Kwanza imeletwa na shetani kabisa
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 3,711 Reaction score 6,762 Dec 18, 2024 #25 secretarybird said: Sina lolote zaidi ya kukubaliana ulichokisema. Click to expand... Hahahaha kazi ipo kwakweli
secretarybird said: Sina lolote zaidi ya kukubaliana ulichokisema. Click to expand... Hahahaha kazi ipo kwakweli
M mbegunjema JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 221 Reaction score 246 Dec 18, 2024 #26 Alianza mwakilishi mmoja kwa sauti ya chinichini...."tutamlazimisha, atake asitake...." Na wengine wakaitikia kwa kishindo "atakuwa yeye milele".
Alianza mwakilishi mmoja kwa sauti ya chinichini...."tutamlazimisha, atake asitake...." Na wengine wakaitikia kwa kishindo "atakuwa yeye milele".
S sysafiri JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 6,845 Reaction score 10,071 Dec 18, 2024 #27 Kama Jeshi litampa kibali atakuwa Rais!
D deblabant JF-Expert Member Joined Oct 7, 2022 Posts 2,650 Reaction score 4,065 Dec 18, 2024 Thread starter #28 sysafiri said: Kama Jeshi litampa kibali atakuwa Rais! Click to expand... Kwani jeshi si ni hawa hawa tunashinda tunakunya matap tap mtaani na kugombe mademu au wake za watu. Halafu si ni hawahawa waliokuwa vilaza darasani
sysafiri said: Kama Jeshi litampa kibali atakuwa Rais! Click to expand... Kwani jeshi si ni hawa hawa tunashinda tunakunya matap tap mtaani na kugombe mademu au wake za watu. Halafu si ni hawahawa waliokuwa vilaza darasani
Choosen85 JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 1,143 Reaction score 2,475 Dec 18, 2024 #29 uNa mental illness ww