zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Acha unafiki, akifeli huwa mnasema Samia kafeli. Akifanikisha jambo ndio mnamhusianisha na JPM!!Kama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
Vipi ile miundombinu ya Chalamila Dar imetengenezwa?Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko
Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
Umekatika kwa masaa zaidi ya matano....Ulipo umeme umekatika leo?
Amechelewa sana kuwasha hiyo mitambo kwasababu ya kumuamini bwana kipara......Acha unafiki, akifeli huwa mnasema Samia kafeli. Akifanikisha jambo ndio mnamhusianisha na JPM!!
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu
Kwani aliyekamilisha bwawa hadi mageti kushushwa na maji kujazwa alikua nani? Acheni chuki January aliwapisha ila bado mgao mmefeli kuumaliza, sasa mkishindwa bado lawama kwake?Amechelewa sana kuwasha hiyo mitambo kwasababu ya kumuamini bwana kipara......
Huu ujinga apeleke kwa wasukuma wenzakeKama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
Kama jpm asingeanzisha huo mradi sijui mngekimblia wapi .serikali isiyojua chochote cha kufanyaNaibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko
Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
wapi uko binti yanguUsituchambe na makaratasi wamekata saivi
Jomon!zimeingia na UBER au
Najiuliza kama Magufuli asingelazimisha mradi ule leo ingekuwaje?Kama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
Na wewe na akili yako unaamini?Kama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.
"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko
Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania