Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
Tanzania Na Uongozi Unaotia Kinyaa Yaani Zimeanza Kuingia Maana Siku Yoyote Tatizo Liko Pale Pale. Mvua Tele Shida Eti Maji Machafu Yameingia Bwawani
Walitaka waingize majenereta kwanza ndipo wawashe mtambo.

Juzi tu jenereta limepelekwa Mtwara halafu wanasema mtambo namba 9 umewashwa.

Hawa mbwa wanatuchezea sana akili zetu.
 
Mtambo namba 9 na 8 mnasema ipo taýari k,Mtueleze mtambo namba 1 hadi 7 inashida gani?!mbona hakuna maelezo?!
 
Tanzania Na Uongozi Unaotia Kinyaa Yaani Zimeanza Kuingia Maana Siku Yoyote Tatizo Liko Pale Pale. Mvua Tele Shida Eti Maji Machafu Yameingia Bwawani
Mkuu uamini uongozi wa Yanga kamwe hutajuta...
 
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.

Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.

"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko

Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
Huyu biteko hebu akae kimya kwahiyo an0atufanya sie waTanzania wapumbavu? Upuuzi mtupu
 
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.

Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema uzalishaji huo wa megawat 235 utapunguza mgao wa Umeme kwa asilimia 85 na hivyo wananchi wataondokana na kero ya umeme.

"Hata hivyo uzinduzi rasmi wa mitambo miwili, mtambo namba nane na mtambo namba tisa utafanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwezi ujao wa tatu ambapo mitambo yote hiyo miwili itakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme megawati 470" amesema Dkt Biteko

Pia soma:
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
Apa tulipo Umeme Haupo Toka Mchana
 
Kutoka megawati 2000+ hadi megawati 470, hakika mama anaupiga mwingi
 
Yaani viongozi wa Kiafrika wanapenda kitu kinaitwa uzinduzi, ni muendelezo ule ule wa uswahili wa kucheza cheza ngoma na sherehe za kitamaduni...
Wanapenda shuguli aise
Utakuta hapo wasanii wataitwa
Kutumbuiza

Ova
 
Hivi Rusumo HEP nayo inafunguliwa lini? Taarifa nilizonazo ni kuwa mradi umeishakamilika.🤔
 
Back
Top Bottom