peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
January makamba alipinga mradi huu? Anazo taarifa kuwa mitambo imeanza kuwashwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa kwa wote JPM na Samia! Ila bado haiondoi uhalisia kuwa JPM ndo Kinara wa hilo!Bwawa lilipochelewa mlisema January anahujumu na Samia amefeli..... ila likikamilika ndio sifa kwa JPM!! Acheni unafiki nyie CCM kama mmefeli basi mmefeli sio tena akifeli mnamruka akifanikiwa mnajiungamanisha.
mamako ndiyo takataka kuzaa uozoTakataka TU
msanii mamako kukudanaganya kuhusu babakoBongo kila mtu ni msanii
mamako ndiyo anatia kinyaa, mbwege kweliTanzania Na Uongozi Unaotia Kinyaa Yaani Zimeanza Kuingia Maana Siku Yoyote Tatizo Liko Pale Pale. Mvua Tele Shida Eti Maji Machafu Yameingia Bwawani
we serikali yako ni ipiCCM Na Serikali Yake Imejaa Uongo Sana Na Haina Aibu Hata Hadharanu
nim kwamba we ni mjinga tangia kuzaliwa hakuna wa kukufanya uwe mjingaView attachment 2916172
Mlishatuona wajinga kitambo sana, wacha tukae kimya tu
km ulishindwa shule utaelewa mambo ya kitaalamnaona sinatajwa megawat ndogo ndogo kwan mpango ilikiwa megawat ngapi kutoka huko
ni kama 2100 sijui sijui
Hawa jamaa sijui wanatumia akili gani kuelewa jambo, imewashwa nambari 9, mwezi machi imewashwa namba 8, June inawashwa namba 7, ni hivyo mpaka namba MOJA, Kukamilisha MW2115.Wewe ndiye umemnukuu vibaya, au labda hukuelewa alichosema. Amesema kuanza kazi kwa mashine #9 kutapunfuza mgao wa umeme kwa asilimia 85. Kwa hiyo kuwashwa kwa mashine #8 mwezi March ndiko kunategemewa kumaliza kabisa upungufu wa umeme kunakosababisha mgao.
Akili nitatumia zako mremboKumbuka tubine huwashwa kwa awamu, mpaka kumaliza zote tisa (9).uwe unatumia akili.
Kwenye vitabu vya dini kuna kahaba aliwai kupata ufalme alifanya ushenzi mwingi ni kwenye bibliaKama bwawa la Nyerere limeshaanza kuzalisha umeme. Mama samia ametisha kwa kuendeleza magufuli alipoishia
Sawa mwerevu, ila mimi nimechagua kukaa kimya. Ukipata muda tafakari hili swali, kati ya Dotto Biteko na Jakaya Kikwete nani ni Senior?nim kwamba we ni mjinga tangia kuzaliwa hakuna wa kukufanya uwe mjinga
Matusi ya rejareja ya chadema hamna hoja tena nendeni kwenye maandamano arusha, lkn sidhani kama mna fungu la posho wameshgawana ma konki.Kwenye vitabu vya dini kuna kahaba aliwai kupata ufalme alifanya ushenzi mwingi ni kwenye biblia
Kuna bwana mkubwa mmoja aliwahi kusema, katika maisha ya leo, ogopa sana Mungu(kwa waamini) na TeknolojiaAisee ukiikumbusha hii ndo unajua kabisa tuna tatizo kubwa sana la kimfumo ktk uongozi wa taifa letu ambalo linahitaji ukarabati..
Kauli za uongo za kiongozi wa ngazi ya u - Rais kama huyu, hivi ni nani mwingine anaweza kusema kitu sasa akaaminika?
Yaani uongo uliosemwa mwaka 2012 unadumu na kutuathiri hadi leo na hawataki kutubu kabisa kukiri udanganyifu na uongo wao.
Kesho huyu mama (Rais Samia Suluhu Hassan) naye anakwenda kusema uongo wake juu ya umeme hivihivi mchana kweupe na tutawaacha bila ya kuwaadhibu..
Jamani ni wakati wa kusema HAPANA KWA UONGO toka Kwa hawa hayawani wa CCM wasio na aibu..!!
Lazima tuseme hatutaki kudanganywa tena. Lazima kwa umoja wetu tuseme enough is enough..
CC: Lucas mwashambwa - aione hii
Chadema tena siyo sukuma gangMatusi ya rejareja ya chadema hamna hoja tena nendeni kwenye maandamano arusha, lkn sidhani kama mna fungu la posho wameshgawana ma konki.
Sio kweli!! Zilikuwa plan za wizara.Hoja yako itakuwa ya msingi kama tumeamua kuongea siasa tu.Japokuwa Spika Dr Tulia amesema kuwaandamanisha Watu kilimita 16 kwa Miguu ni kuwachosha bila sababu mimi Naamini Naibu Waziri mkuu baada ya kukutana na yale Maandamano Roho Mtakatifu wa Mungu alimpa Hekima yake
Wote tunajua bungeni Wizara ya Nishati ilipewa hadi June kumaliza Mgao lakini ghafla Mgao umeisha
Tuyakatae Maandamano ya Shari yenye kuleta vurugu lakini haya ya amani yanamsaidia hata Rais wa JMT kupata Taarifa ambazo Wasaidizi wake wangependa asizijue tuyaunge mkono
Mimpongeze mbunge wa Arusha Mjini kwa kuyakaribisha Maandamano ya Chadema jimboni kwake kwani yatamsaidia hata yeye Wapiga kura wake wapate Sugar
Siasa ni Sayansi 😂