Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Grid ya bukoba na environs sio same na ya nchi nzima mko indepedent. Kuna ile solar plant kubwa ilijengwa 2 years ago ina supplement grid power hence hawakatiwi umemeIla Bukoba, Missenyi na maeneo mengine ya huko hawajawahi kuona mgao wa umeme, Tanesco wazenguaji sana kwenye maeneo mengine
Sisi Chadema wana kaskazini ndo wafanyabiashara wakubwa na ndo walipa kodi wakubwa ndo wa kupongezwa.Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi...
👉🌈 una vituko vya hatari, umepewa nafasi ya kuigiza kama cdm lakini unajimix vibaya. Kwamba unajiondoa cdm, lakini hapo hapo unawataka waipongeze ccm? Kwanini usiwapongeze na wanaccm wenzio?Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi...
Kumbe TZ bado kuna wajinga wa kuwapongeza wezi?Tuwapongeze CCM kwa hili.
..Vipi kuhusu maumivu na hasara ya kukosa umeme miaka na miaka?Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi.
Tunakwenda kunufaika Watanzania wote kwa ujumla.
Tuwapongeze CCM kwa hili.
Umeme ni muhimu kwa uchumi wa Taifa, mama ntilie, walimu na hata sisi wanaChadema tutanufaika.
Pimbi mburula👉🌈 una vituko vya hatari, umepewa nafasi ya kuigiza kama cdm lakini unajimix vibaya. Kwamba unajiondoa cdm, lakini hapo hapo unawataka waipongeze ccm? Kwanini usiwapongeze na wanaccm wenzio?
hilo nalo limewachomaee 🐒👉🌈 una vituko vya hatari, umepewa nafasi ya kuigiza kama cdm lakini unajimix vibaya. Kwamba unajiondoa cdm, lakini hapo hapo unawataka waipongeze ccm? Kwanini usiwapongeze na wanaccm wenzio?
CDM na ndrugu zao,Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi.
Tunakwenda kunufaika Watanzania wote kwa ujumla.
Tuwapongeze CCM kwa hili.
Umeme ni muhimu kwa uchumi wa Taifa, mama ntilie, walimu na hata sisi wanaChadema tutanufaika.
We phalla ni mdudu wa kijani 200%Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi.
Tunakwenda kunufaika Watanzania wote kwa ujumla.
Tuwapongeze CCM kwa hili.
Umeme ni muhimu kwa uchumi wa Taifa, mama ntilie, walimu na hata sisi wanaChadema tutanufaika.
Mradi bado haujakamilika wewe. Acha kupotosha. Wakamilishe kama ilivyo Tara jiwe then wapongezwe.Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi.
Tunakwenda kunufaika Watanzania wote kwa ujumla.
Tuwapongeze CCM kwa hili.
Umeme ni muhimu kwa uchumi wa Taifa, mama ntilie, walimu na hata sisi wanaChadema tutanufaika.
Chadema na wahuni wa ccm si mlimpinga jpm kwenye hii miradi vipi tena ?Ukweli lazima usemwe.
Huu mradi aliyekomaa na mpaka sasa unakamilika ni hayati JPM. Jembe la Africa na mwanamapinduzi.
Tunakwenda kunufaika Watanzania wote kwa ujumla.
Tuwapongeze CCM kwa hili.
Umeme ni muhimu kwa uchumi wa Taifa, mama ntilie, walimu na hata sisi wanaChadema tutanufaika.