Mnaoelewa muwe mnatutafsiria.Alimaanisha kunamikoa mbembezoni mwa inch ambayoaijaungwa nagrade yataifandio inaunganishwa naichihizondowanaotoa uduma ilatukumalizakuungnisha gradeyataifa inchizimahatutaija kununuumemeinje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaoelewa muwe mnatutafsiria.Alimaanisha kunamikoa mbembezoni mwa inch ambayoaijaungwa nagrade yataifandio inaunganishwa naichihizondowanaotoa uduma ilatukumalizakuungnisha gradeyataifa inchizimahatutaija kununuumemeinje
Uchumi wa nchi za Afrika, ukiondoa Afrika Kusini na zile za Kiarabu (kaskazini) umeshikwa na magabacholi kwa asilimia kubwa. Serikali na taasisi za kidola hufikiria na kuelekeza nguvu nyingi kulinda viongozi huku wakisahau umiliki wa uchumi na teknolojia.Nchi za kiafrica zote zina akili sawa jambo la kushangaza Zambia imekumbwa na sakata la ukame na matokeo ya ukame yamesababisha kuwepo na upungufu mkubwa wa umeme na kusababisha ya mgao kwa watumiaji na mbaya zaidi serikali ya zambia nao wameenda kununua umeme ktk nchi ya msumbiji ili kipunguza makali ya mgao.
The scene22.04.2024 Tumezima mitambo 4 umeme umezidi.
24.04.2024 Tunaazima umeme Uganda na Zambia.
Hiyo mikoa inayonunuliwa umeme kutoka nje haiko kwenye gridi ya taifa. Kwa hiyo lile ongezeko la umeme kwenye gridi ya taifa haliwezi kuwanufaisha kwa kuwa hawajaunganishwa!22.04.2024 Tumezima mitambo 4 umeme umezidi.
24.04.2024 Tunaazima umeme Uganda na Zambia.
Hii dhana ya utegemezi wakati uwezo upo huwa hainiingii sana akilini. Sasa tutauza gesi asili Kenya ili watuuzie umeme? Hapana.kama diseli na petroli tunaagiza nje ili uchumi na shughuli za kijamii zisisimame kwanini tunakuwa na choyo kwa nishati ya umeme kutoka nchi jirani
Nadhani ni kwa mjibu wa masharti ya mikataba tuliyoingia nao huko nyuma. Huwezi ukaisitisha kabla ya muda wa mkataba kumalizika la sivyo utashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.Kama tunao hadi umezidi matumizi huu wa kununua wa kazi gani?
Songas mkataba unaisha lini?Nadhani ni kwa mjibu wa masharti ya mikataba tuliyoingia nao huko nyuma. Huwezi ukaisitisha kabla ya muda wa mkataba kumalizika la sivyo utashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.
Hata yeye hajielewi.Huyu jamaa huwa hata simwelewi kabisa!
Hii dhana ya utegemezi wakati uwezo upo huwa hainiingii sana akilini. Sasa tutauza gesi asili Kenya ili watuuzie umeme? Hapana.
Kama kawaida ya siku zote, naona maneno mengi tu... Haya yote hayataleta umeme.Umeme ni nishati sawa na nishati ya petroli pia dizeli ambayo tunanunua nje kwa kuwa haipatikani nchini.
Vivyo hivyo kwa kuwa nishati ya umeme kwa kipindi hiki na miaka kadhaa mbele hatujitoshelezi inabidi kununua nishati
Kimbembe ni kuufikisha kwa mlaji, umeme huko Rufiji unadhani kuufikisha Rukwa au Kagera ni mchezo? wa Kagera kuufikisha Ngara na Rusumo imekuwa shughuli imebidi kutafuta chanzo kingine hukohuko.Kama tunao hadi umezidi matumizi huu wa kununua wa kazi gani?
Na Kwa taarifa yenu tuu hiyo Mikoa ambayo inapata umeme wa Nje haijawahi kuwa na mgao.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko bungeni jijini Dodoma, wakati akisoma hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2024/2025 amesema:
Katika mwaka 2023/24 Serikali iliendelea kuchukua hatua za kuimarisha uzalishaji na upatikanaji wa umeme nchini ambapo hadi kufikia Machi 2024, uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa ulifikia jumla ya megawati 2,138 ikiwa ni ongezeko la asilimia 14.2 ikilinganishwa na megawati 1,872.1 za Mei 2023. Katika kiasi hicho megawati 836.3 sawa na asilimia 39.1 ni umeme unaotokana na nguvu ya maji, megawati 1,198.8 sawa na asilimia 56.1 ni gesi asilia, megawati 92.4 sawa na asilimia 4.3 ni mafuta mazito na megawati 10.5 sawa na asilimia 0.5 ni umeme wa tungamotaka (biomass)”- Dkt. Biteko.
Ongezeko la uwezo wa uzalishaji wa umeme limetokana na kuanza kwa uzalishaji wa umeme katika Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (megawati 2,115) ambapo megawati 235 zimeanza kuzalishwa kupitia mtambo namba 9 pamoja na kukamilika kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Rusumo ambao unachangia megawati 26.7 katika Gridi ya Taifa.
Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Machi 2024, uwezo wa mitambo ya kuzalisha umeme ambayo haijaungwa katika Gridi ya Taifa ni megawati 33.4 ambazo zinajumuisha mitambo inayomilikiwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) yenye uwezo wa kufua megawati 28.4 na megawati 5 zitokanazo na nguvu ya jua kutoka kwa mzalishaji binafsi.
TANESCO na kununua Umeme
Wizara kupitia TANESCO inanunua umeme wa megawati 31 kati ya hizo megawati 21 kutoka Uganda kwa ajili ya Mkoa wa Kagera na megawati 10 kutoka Zambia kwa ajili ya Mkoa wa Rukwa.
PIA SOMA
- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
- Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji
Ambacho huelewi ni nini? Na Kwa taarifa Yako tuu Hadi Sasa Bado Tanesco inatumia mitambo ya Mafuta ya diesel Kwa Baadhi ya Mikoa Kuzalisha umeme.Huyu jamaa huwa hata simwelewi kabisa!
Vijiji vipi hivyo ikiwa 97% ya Vijiji vyote Tzn vina umeme?Haya ni maajabu, yaani vijijini watu hawana umeme bado watu wako gizani alafu serikali inasema umeme umezidi? CCM wanakera sana Watanzania bila kuchukua hatua CCM itatesa hadi vitukuu vyetu
Unaongea kama mjingaSiku ya kwanza mtu kujiunga na wizi, au siku hiyo hiyo ndo ameiba then akadakwa, hakuhitaji akili kubwa kumhoji ili upate ukweli
Kwa maelezo hayo tu, inatosha kusema, kuna watu wageni wamekaribishwa kwenye makundi ya upigaji na bahati mbaya hawajapewa semina ya kuelezea ili kuondoa wasiwasi kwa wananchi kugundua kuwa wanatupiga!
Hapo kumeelezwa nini na nani kaelewa anyoshe mkono juu??
Wapi huko Kuna mgao wa umeme?Huyu Rais Samia ki ukweli, anakazi ngumu sana!
Mawaziri wake wanapotangaza umeme umekuwa mwingi kuliko mahitaji, huku tukishuhudia mgao wa umeme nchi nzima, Makonda ananza bipi kuitwa kwenye maadili huko ccm?
Kwa nini wasiitwe hawa mawaziri wanaotoa maelezo yasiyoeleweka?
Umeme tunanunua kutoka nje, halafu mgao wa umeme uko palepale, hii ni nini..!?
Shida sio wao shida ni akili Yako Ginyu yenye uelewa mdogo.Hii Nchi Siku raia wake wakijielewa ndiyo Siku ambayo Viongozi wetu wataanza kuwa serious kutuhudumia.
Haiwezekani Nchi hiyo hiyo Moja, Kunatolewa taarifa mbili tofauti na Viongozi tofauti.
Wanakwambia Umeme tunaozalisha ni ziada hivyo tunaanza kuwauzia Nchi jirani za Zambia/Msumbiji n.k
Leo wanakwambia Umeme wetu hautoshi hivyo kama Nchi tunapaswa kununua Nchi za Jirani za Uganda na Zambia
Hii Nchi aliyeturoga amekufa haki ya nani 🙌
Shida Iko wapi hapa kwenye maelezo Yako?Nchi za kiafrica zote zina akili sawa jambo la kushangaza Zambia imekumbwa na sakata la ukame na matokeo ya ukame yamesababisha kuwepo na upungufu mkubwa wa umeme na kusababisha ya mgao kwa watumiaji na mbaya zaidi serikali ya zambia nao wameenda kununua umeme ktk nchi ya msumbiji ili kipunguza makali ya mgao.
Kwa hiyo hapa umeandika nini?Hii dhana ya utegemezi wakati uwezo upo huwa hainiingii sana akilini. Sasa tutauza gesi asili Kenya ili watuuzie umeme? Hapana.
Kwanza umeme wa Kenya, kwa mfano ni ghali sana kwa sababu zinazojulikana vizuri. Tuagize umeme kama huo utatusaidia kitu gani kiuchumi.