Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Aisee hawa jamaa bado sana,wana kazi kubwa ya kufanya kama kipindi chao cha kwanza ndo hiki..
Contents ya hii show ni mbovu kupitiliza,wanapiga makelele,hawapeani time,wanataka kuonyesha wanajua,yaani hamna taste yoyote..
Kipindi cha redio ni lazima kiwe na flow nzuri ya segments,kwa bongo XXL ndo the best kwa flow nzuri ya contents..
Sio mbaya wajifunze kwa waliowatangulia na sio kujifanya wanashindana nao kwa kila kitu..
It's never late to learn something new
Contents ya hii show ni mbovu kupitiliza,wanapiga makelele,hawapeani time,wanataka kuonyesha wanajua,yaani hamna taste yoyote..
Kipindi cha redio ni lazima kiwe na flow nzuri ya segments,kwa bongo XXL ndo the best kwa flow nzuri ya contents..
Sio mbaya wajifunze kwa waliowatangulia na sio kujifanya wanashindana nao kwa kila kitu..
It's never late to learn something new