Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Hahaaaa..... Watu wamevamia na youtube kwa ujasiliamali wa makaratasi...usichoke kazanaBlog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote;
- Hamna hela
- Hamna viewer
- Hamna comment
- Hamna faida yeyote
Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker.
Naambulia kulipia tu domain
kaka sina hamuHahaaaa..... Watu wamevamia na youtube kwa ujasiliamali wa makaratasi...usichoke kazana
Unamiliki Azam tv kivipHata hapo ulipofika sio haba, endelea kupambana.
Hata mm nilianza kwa kumiliki Tv ya inch 1 na sasa namiliki Azam Tv.
Unanishaurije sasaCommunity is everything its take a whole lot of time and hard work....; and your competition is just a click away...
Ni nini unakiongelea na unaongea na kina nani ? (Tafuta Niche Market), na baada ya hayo yote fanya kama hobby sio necessarily kutajirika unless unatumia hio medium kuuza bidhaa zako nyingine na sio kutegemea matangazo ya clicks;
It's a jungle out there....
NB: It makes sense kwa mtu kama Masoud Kipanya kuwa na outlet yake ya kuonyesha kazi zake kwenye online media hata kama hana watu itakuwa online atakuwa anawaongezea outlet nyingine (Maana yangu ni kwamba anaongeza huduma kwa wateja wake) - Maybe look at these mediums in that limelight...
Nilitaka niseme hivi kaka watu hawasomi sikuiziBlog kwa sasa ni hasara sana. Wateja wamehamia Instagram, Twitter,tik tok,you tube etc
Wewe ndio Broadcast ya AzamHata hapo ulipofika sio haba, endelea kupambana.
Hata mm nilianza kwa kumiliki Tv ya inch 1 na sasa namiliki Azam Tv.
maaana ngoja tuulizeWewe ndio Broadcast ya Azam
matangazo ya kazi!Hiyo blog ina content gani
Hahahahaha...wamekua wajasiriamalimatangazo ya kazi!
sijui watu hawataki kazi tena
Labda awe anaandika kwa kidhunguBlog kwa sasa ni hasara sana. Wateja wamehamia Instagram, Twitter,tik tok,you tube etc
InakeraHahahahaha...wamekua wajasiriamali
ni kizungu hata ivoLabda awe anaandika kwa kidhungu
Duu hawatembelei?matangazo ya kazi!
sijui watu hawataki kazi tena