Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndio balesaTokuu tokuu saundii!!🎼🎼🎼
Blogs ni 2007 hadi 2010's huko.Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote;
Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker.
- Hamna hela
- Hamna viewer
- Hamna comment
- Hamna faida yeyote
Naambulia kulipia tu domain
hii inakuajeMi nimewekeza kwenye online radio napata wasikilizaji adi 60k kwa siku View attachment 2935266
kwakweliBlog mambo ya 2012 huko wakati Kanumba bado hajafariki, now hazina deal.
Hapa kama naelewa hiviBlog mambo ya 2012 huko wakati Kanumba bado hajafariki, now hazina deal.
sikwendaHukwenda kwa mganga wa kusafishia njia wakati unaianzisha
Nielekeze mkuu nammMi nimewekeza kwenye online radio napata wasikilizaji adi 60k kwa siku View attachment 2935266
Online radioNielekeze mkuu namm
Nielekeze mkuu namm
Nilitaka kufanya hii ishu ila nika kumbuka sasa hivi kila kitu kipo kwenye social media apps kama instagram, facebook, twitter n.k so nika achana nayo...Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote;
Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker.
- Hamna hela
- Hamna viewer
- Hamna comment
- Hamna faida yeyote
Naambulia kulipia tu domain
Ni lini blogs ziliwahi kuwa sehemu ya kupatia fedha kwa kutumia viewers?Blog kwa sasa ni hasara sana. Wateja wamehamia Instagram, Twitter,tik tok,you tube etc
Ni lini blogs ziliwahi kuwa sehemu ya kupatia fedha kwa kutumia viewers?
Namiliki kisimbuzi cha Azam TvWewe ndio Broadcast ya Azam
Walipiga sana maana mitandao mingine ilikuwa haipo au kwa kiwango kidogo sana.Enzi za mkapa na JK. Matangazo yaliwalipa sana wana bloggers