Blog ina miaka 2 lakini hali mbaya!

Blog ina miaka 2 lakini hali mbaya!

Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote;
  • Hamna hela
  • Hamna viewer
  • Hamna comment
  • Hamna faida yeyote
Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker.

Naambulia kulipia tu domain

Unaandika vitu ambavyo havina mvuto, au huitangazi, SEO yako mbovu labda haitokei kwenye search, hujainvest vya kutosha. Haya yote yanaweza kwua majibu.
Blogging kwa watu waliofanikiwa ni passion
 
Matangazo ya kazi then content ni 360 around hii inamaanisha kwa miaka miwili kila baada ya siku mbili ulikuwa una post tangazo moja la kazi this is not serious.

Tangazo Content ambayo already cooked wewe kazi yako kupost tu then unapost moja kwa siku...Mosi.

Pili kwa traffic hio inaonesha haukua na group la WhatsApp la ajira, traffic kwa Niche ya kazi inabidi uwe na group la ajira hata matano wewe unapost matangazo na kuweka link per day lazima ufikishe Viewer wengi hata 10,000
 
Matangazo ya kazi then content ni 360 around hii inamaanisha kwa miaka miwili kila baada ya siku mbili ulikuwa una post tangazo moja la kazi this is not serious.

Tangazo Content ambayo already cooked wewe kazi yako kupost tu then unapost moja kwa siku...Mosi.

Pili kwa traffic hio inaonesha haukua na group la WhatsApp la ajira, traffic kwa Niche ya kazi inabidi uwe na group la ajira hata matano wewe unapost matangazo na kuweka link per day lazima ufikishe Viewer wengi hata 10,000
Heeh magrup yote hayo ‘!!

Mkuu kupost kazi moja ni kazi kweli kweli
 
Mkuu inamaana umeshindwa kabisa kuusoma upepo wa wateja ulipo kwa sasa? Ukweli ni kwamba kwa upepo wa sasa ni ngumu sana kutoboa kupitia Blog, ukiwaona watu kama Millard Ayo/Mange/Global Publishers, nk ambao ni mablogger nguli wameamua kuwekeza nguvu Instagram na YouTube stuka hapo
 
Mi nimewekeza kwenye online radio napata wasikilizaji adi 60k kwa siku
Screenshot_20231005-132841.jpg
 
Back
Top Bottom