Bonge Mpya
Member
- Jul 6, 2021
- 39
- 136
Mwaka huu 2022 Mwezi wa 5 nilipost Uzi mmoja kuhusu blog (Usome hapa).
Kuna baadhi walinicheki niwape msaada nilifanya ivyo ingawa ni wachache tu waliofanya kweli na sasa wanapiga pesa.
Hivyo basi, huu ni mwendelezo wa mada Ile ambayo kwa kipindi kile nilikuw napata 400k Hadi 600k kwa Mwezi lakn sasa hivi ni mwendo wa milion tu kwa Mwezi. Angalia picha hiyo Kisha thibitisha mwenyew. Dola 1 = Tsh2330.
Kama tayari una blog na unataka kupiga pesa nicheki inbox ila kama Hauna blog nakushauri tembelea YouTube tazama video ujifunze.
Kuna baadhi walinicheki niwape msaada nilifanya ivyo ingawa ni wachache tu waliofanya kweli na sasa wanapiga pesa.
Hivyo basi, huu ni mwendelezo wa mada Ile ambayo kwa kipindi kile nilikuw napata 400k Hadi 600k kwa Mwezi lakn sasa hivi ni mwendo wa milion tu kwa Mwezi. Angalia picha hiyo Kisha thibitisha mwenyew. Dola 1 = Tsh2330.
Kama tayari una blog na unataka kupiga pesa nicheki inbox ila kama Hauna blog nakushauri tembelea YouTube tazama video ujifunze.