Kwan inaandia website isn't ready to show adsKama unaamua kuifanya blog kuwa sehemu ya kipato ni Bora ununue domain (25,000/= au zaidi).
Lakin pia domain ya .blogspot inachukua muda mrefu sana kuikonekt na Adsense na pia haifany vzur sana Google. (Yan Kupata organic traffic)
Kuikonekt na Adsense ingia kwenye dashboard yako ya blogger bonyeza Earnings kisha Connect Blog.
Kuna ka hela anataka akamueKama issue Ni kuwa na blog na mtu tayari ana blog kwanini asipige hela Hadi akucheki inbox
mkuu niaje.Blogging, kupitia Adsense inalipa mnoo, kuna watu wanapiga dollars kila mwezi Tar 22 wanakunja kibunda ila hutakaa usikie wakikupa madini. This issue is real mm pia ni mnifaika, Adsense ilinitoa pabaya mno, nilikua kwenye kipind kigum I earned $200 nkaweka mambo sawa nikarudi kwenye mstari.
Mtoa mada acha kuita watu Inbox toa elimu hapa hapa, How to earn with your blog. Watu wapate madini watakaofanyia kazi wataona matunda yake.
Unaamini njia ngumu kwani Forex njia rahisi??Forex vipi wakuu wangu? Kuna jamaa hapa anashawishi nijitupe huko kuwa naweza vuna hata million 100 per one week nikitrade vzuri.
Ijapokuwa mimi naamini kwenye njia ngumu za mafanikio
Vitu gn vya kuzingatia ili AdSense waikubal blog?Blogging, kupitia Adsense inalipa mnoo, kuna watu wanapiga dollars kila mwezi Tar 22 wanakunja kibunda ila hutakaa usikie wakikupa madini. This issue is real mm pia ni mnifaika, Adsense ilinitoa pabaya mno, nilikua kwenye kipind kigum I earned $200 nkaweka mambo sawa nikarudi kwenye mstari.
Mtoa mada acha kuita watu Inbox toa elimu hapa hapa, How to earn with your blog. Watu wapate madini watakaofanyia kazi wataona matunda yake.
Ntakuchek tupeane tips mkuumkuu niaje.
Me nina blog yangu lakini bado sijaanza kupiga dollar, nakucheki inbox lakini inazingua
Unakuwa fursa....Ukishaona tu njoo inbox basi hapo jua unaenda kugeuzwa dili.
Tengeneza site yako, weka custom domain, weka vipengele muhim kama About page, Terms of use, Privacy Policies, Contact Page.Vitu gn vya kuzingatia ili AdSense waikubal blog?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hii ni sawa na Mtu kaokota pesa alafu anakushawishi mkagawane nae.
Kwa lugha rahisi ni kusema kwamba ili uanzishe blog unapaswa kuwa vizuri kwenyeye kiingereza. Hakuna kuungaunga,si ndiyo mkuu?Tengeneza site yako, weka custom domain, weka vipengele muhim kama About page, Terms of use, Privacy Policies, Contact Page.
Language: Adsense hawakubal lugha ya kiswahili hivyo the moment unaomba make sure 100% ya content yako ipo kiingereza au lugha ambao wao wanakubali.
Copyright: andaa content zako usicopy paste kwa mtu, ikatokea umechukua content za mwngne uwe vzuri kwenye kingereza means ubadilishe misamiat yan isiwe exactly kama ulivoitoa kwenye site flan.
Zingatia hivyo weka content nzuri kwa muda apply adsense, mda mwingine hua wanataka ufukishe miezi sita ndo uombe ila sometimes before miez sita unaweza kubaliwa endapo wamereview wakaona una vigezo vyote.
Kabisa mkuu kwenye lugha ya Kimombo uwe vizuri mno, na pia unapoedit article zako unaweza tumia site kama Grammarly kusaidia kuiweka sawa grammar ya article yako.Kwa lugha rahisi ni kusema kwamba ili uanzishe blog unapaswa kuwa vizuri kwenyeye kiingereza. Hakuna kuungaunga,si ndiyo mkuu?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Forex ni njia ngumu zaidi kufikia kwenye mafanikio, 95% wanapoteza pesa zao zoteForex vipi wakuu wangu? Kuna jamaa hapa anashawishi nijitupe huko kuwa naweza vuna hata million 100 per one week nikitrade vzuri.
Ijapokuwa mimi naamini kwenye njia ngumu za mafanikio
Anataka akupige hela...si ndiyo zinavyopigwa hela?Kama issue Ni kuwa na blog na mtu tayari ana blog kwanini asipige hela Hadi akucheki inbox
Mbona Millard Ayo anaandika kwa Kiswahili mkuu?Kabisa mkuu kwenye lugha ya Kimombo uwe vizuri mno, na pia unapoedit article zako unaweza tumia site kama Grammarly kusaidia kuiweka sawa grammar ya article yako.
Wanategemea matangazo ya wadhaminMbona Millard Ayo anaandika kwa Kiswahili mkuu?
Au Michuzi na blog zingine kubwa za kibongo?
Unaamanisha wao hawapigi hela za AdSense?