Aisee karma is a bitch. Huyu Jestina angepigwa kweli kweli. Naona kama vile wamemkuna tu. Mwanamke mbea utafikiri karogwa????. Alipokuwa hapa UK maneno yalikuwa hayaishi, mara hili mara lile. Mtu anaishi London lakini anajua maisha ya kila mtu kila kona ya dunia. Betina mchonganishi sijawahi ona, mbea kama shetani. Sishangai mbuta nanga alimpa kipigo.
Muhogo andazi mbona alikoma, mara wallstreet kamnunulia muhogo andazi nyumba mbezi, mara, wallstreet kamfungulia biashara dar, mara ameenda newyork business class, mara kachomoa mimba ya walstreet, na wewe kumuua mumeo ili uendeleze ufuska? Haloo??????
Betina rudini kwa babako mchungaji mwanamke wewe yatakushinda. Uislamu kisa kula hela za hubuyu???
Timu kajala, wamempapasa tu maana bado ana nguvu kwenda kumtukana shosti yake chaggabarbie.