Michambo ya kizungu bana hata haileti hata shida...ukichambana na huyo kikaragosi wa kizungu unakunja nne na kijuisi cha ukwaju hakuna stress wala mshipa wa ---- haushtuki...raha ya mchambo ---- litikisike ka unatoa shahawa
Mwenzangu na alivyojichubua sijui itakuwaje hivyo vidonda
Alitukimbia vitu vimegeuka achali atalamba na kula hivyo hivyo asituchezeee
Halafu we ndo umeyataka, Mbeba pochi wako sijui umemficha wapi....huyu tungempa therapy ya kwapa wala asingekurupuka usiku wa mananee....
Mbeba pochii alinitorokaaa banaa,ila usijali tafuta mwinginee maana mgonjwa hali si shwariii
Huyu anapenda sana kurekodi watu. Hata email zako na text anaweka kukuchafualia, anakurekodi hata ukiingia naye chumbani alivyomrekodi Lemutuz akichezea bamia yake kwenye Sype !
si mlipa juisi ya ndimu,mkasugua kwa siki kwa nini mgonjwa asifufuke?? Na anahasira vibaya.
mi nilikua namuona innocent nkawa namuona mbuta nanga mkorofi kumbe hii ndo shida na nlikua mfuatliaji mzur wa blog yake kwa hili hanipati tena
chakubimbi yule,mnafki,mjaaruta!!
wazungu wanamtafuta mparamia ukutA
wacha tumpe valium huyu alale km ye@cocaindivaSamahan mi ni nesi wa zamu utaniulia mgonjwa naomba upunguzr dozii
Huyu anapenda sana kurekodi watu. Hata email zako na text anaweka kukuchafualia, anakurekodi hata ukiingia naye chumbani alivyomrekodi Lemutuz akichezea bamia yake kwenye Sype !
mi nilikua namuona innocent nkawa namuona mbuta nanga mkorofi kumbe hii ndo shida na nlikua mfuatliaji mzur wa blog yake kwa hili hanipati tena
chakubimbi yule,mnafki,mjaaruta!!
wazungu wanamtafuta mparamia ukutA
Umenichekeshaaa, raha ya mchambo mchambane kwa lugha ya taifa...uchambwe yakuingie...
aiseeee kumbe hafai hata kwa mbolea jestina apigwe tu l
Hahaha mim ananichosha tu na kizungu chake...kwanza anatunyemelea usiku tumelala ndo anaushusha ung'eng'e ka popo...anaboa na kimchambo chake arudi kwa lugha yetu kinoge..haha
Haupo mwenywe,
ngoja niwaeleweshe kuna mmbea na mfitini anapga box mamtoni huko sns blog pia
kina kajala na wenzie walikua wanamteta wema na ye sijui alikuwepo kawarekodi then yale mazungumzo kayarusha mtandaoni ndo wale rafiki za kajala wamemvizia wamempa kichapo cha mbwa mwizi
Nimesoma comments kule U Turn kwa Mange,kumbe huyu jestina jinga sana.kamtelekeza mwanae wa nchini ya 6yrs huko kwao morogoro.Yeye anakalia umbea,aisee nimemchukia mbaya,mwanzo nilikuwa sina data zake.Kumbe ana 37yrs.aisee halafu unaambiwa alikuwa team Penny huyu sasa yuko kwa wema.Anafuata nyuki ona anavyopata manundu.
Yaani anaona sifa kwenda kula dinner kwa Diamond,wakati mwanae yupo kijijini,aisee ustar wa kujilazimisha kazi,kumbe anaishi kwa benefits,mwe tax za wazungu wanaofanya kazi.ustaa njaa kaziDuuuuuuu mweeeeeeeee
Nimesoma comments kule U Turn kwa Mange,kumbe huyu jestina jinga sana.kamtelekeza mwanae wa nchini ya 6yrs huko kwao morogoro.Yeye anakalia umbea,aisee nimemchukia mbaya,mwanzo nilikuwa sina data zake.Kumbe ana 37yrs.aisee halafu unaambiwa alikuwa team Penny huyu sasa yuko kwa wema.Anafuata nyuki ona anavyopata manundu.