Blue ticks za whatsapp: Ni kwamba huyo mtu yupo busy sana au ameamua tu kukuonesha dharau za waziwazi?

Naweza nisijibu kwa muda huo kweli ila lazima niijibu hata baadae. Hata mimi sipendi mtu aignore text au call yangu akichelewa sio ishu. Ishu ni kuipuuza.
Mimi hata mtu akinipuuza nafurahi tu.

Ananisaidia kupunguza idadi ya watu ninaowasiliana nao ambao hata wa sasa tu sina muda wa kutosha kuwasiliana nao, na wanaongezeka kila siku.

Uki mind sana blueticks unaweza kukaa na kijiba cha roho mtu hajakujibu, kumbe mwenzako kashakata roho huko.
 
Kwa hiyo ni dharau sio?
 
Kuna baadhi ya jumbe zinahitaji "quick response" na zingine hazina ulazima wa kujibiwa haraka...
Kila mtu ana haki ya kuamua yeye mwenyewe ujumbe gani unahitaji quick response na upi uanweza kusubiri.

Usimpangie mtu mwingine ujumbe gani unahitaji quick response. Wala usiache yeye akupangie wewe hilo.

After all, hujui situation yake ikoje huko aliko. Na yeye hajui yako.
 
Mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…