Blue ticks za whatsapp: Ni kwamba huyo mtu yupo busy sana au ameamua tu kukuonesha dharau za waziwazi?

Ila kutuma msg whatsapp na kusubiri jibu wakati issue ni ya haraka ni uzwazwa. Wengine anaona kabisa msg haijawa delivered ila bado tu anasubiri mtu aingie online ili amjibu

Kwanini usitume SMS tu isiyohitaji internet au upige simu kabisa?
 
Hii ipo kwenye WhatsApp Business
 
USHAURI WANGU: Hao Whatsapp kama wanaweza pale katika emoji zao waweke "quick text" ambayo mtu akibonyeza mara moja itaandika "Nimepokea ujumbe wako ila nitakujibu nikipata nafasi, kwa sasa nipo busy sana"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…