Blue ticks za whatsapp: Ni kwamba huyo mtu yupo busy sana au ameamua tu kukuonesha dharau za waziwazi?

Blue ticks za whatsapp: Ni kwamba huyo mtu yupo busy sana au ameamua tu kukuonesha dharau za waziwazi?

Wiki moja mbona kidogo sana???
JamiiForums560065598.jpg
 
Kwani ni lazima nikujibu pindi tu ninavyosoma
Usumbufu huu ndio maana nimeamua kutoa option hiyo. Bora mtu asiwe na uhakika kama nimesoma ama bado
Na unajiona mjanja kutumia hizo unofficial WhatsApp?
 
Wangeweka option ya kukataa kuonesha kama umesoma au hujasoma text ingesaidia pia.

Kama walivyoweka option ya kuficha last time mtu alivyokuwa online.

Sasa mtu yupo katika mikutano yake muhimu, unataka akatishe mikutano kukujibu wewe message ya salamu Whatsapp?

Akianza kukujibu napo atapata lawama kutoka watu alio nao kwenye mkutano.

Huyu katudharau, yupo nasi hapa kwenye mkutano, lakini haweki attention hapa, anajibu messages za Whatsapp!
Hiyo option ipo
Unaenda kwenye setting
Then account
Then privacy
Then read recipient unaweka off
Hapo hataona blue tick zako .pia wewe hutaona blue tick zake
 
Kuna za ubize na za dharau pia, ila nyingi ni za dharau.

Mtu uko busy kwanini ufungue msg? Ni bora uache itiki ile ya kuonesha msg imefika vitiki viwili lakini mtu na madharau yake unakuta anafungua na hajisikii kukujibu.
Binafsi uwa najisikia vibaya, na ukiniblue tick kwangu lazima nikulipizie no matter vile utapokea
Acha ubabe mrembo
 
Wacha kila mmoja apambane na hali take, anaekukaushia nawekaushie


Ila kuhusu uchafuzi was nchi nzi was kijani wanahusika na ndo chanzo cha kupoteza uzalendo was watu kwa nchi yao🚶🚶🚶
 
Hiyo option ipo
Unaenda kwenye setting
Then account
Then privacy
Then read recipient unaweka off
Hapo hataona blue tick zako .pia wewe hutaona blue tick zake
Good looking out.

Nilishablock watu kuona kama nipo online ama la, hii nitawaachia tu kwa sasa maana isije kuwa too much.
 
Back
Top Bottom