njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
BM 3 kwenye madai yake alipohojiwa na saleh jembe alisema aliitwa ofisini na CEO na kuambiwa posho na mshahara wake utapunguzwa kama anataka kusaini mkataba mpya
Inasemekana posho zimepunguzwa ili kubalance mahesabu yapendeze kwenye vitabu, so what you pay is what you get MSISHANGAZWE KUONA WACHEZAJI WANACHEZA KAMA WAMELAZIMISHWA. KIFAZA ZAIDI YAANI NA HAKUNA WA KUWAFANYA KITU KUDAADEEEEEKI
*Ieleweke jamani watu hawalalamiki draw au kufungwa wnalalamika team imechezaje ? kwa nini wachezaji wanacheza kama wanalazimishwa?
simba aliwahi mpiga 3-0 kaizer chiefs akatolewa kwa aggregate 4-3 lakini watu walishangilia hadi kusukuma bus sababu waliona juhudi
Jana utopolo kabebwa na bahasha lakini ulikuwa unaona juhudi za wachezaji wao kutafuta magoli walikuwa kama mbogo waliojeruhiwa
SIMBA KWA SASA KUNA MAFAZA KWELI MAMAEEEEE, KHA YAANI HADI KI MWENDA NI KIFAZA KIPYA
Inasemekana posho zimepunguzwa ili kubalance mahesabu yapendeze kwenye vitabu, so what you pay is what you get MSISHANGAZWE KUONA WACHEZAJI WANACHEZA KAMA WAMELAZIMISHWA. KIFAZA ZAIDI YAANI NA HAKUNA WA KUWAFANYA KITU KUDAADEEEEEKI
*Ieleweke jamani watu hawalalamiki draw au kufungwa wnalalamika team imechezaje ? kwa nini wachezaji wanacheza kama wanalazimishwa?
simba aliwahi mpiga 3-0 kaizer chiefs akatolewa kwa aggregate 4-3 lakini watu walishangilia hadi kusukuma bus sababu waliona juhudi
Jana utopolo kabebwa na bahasha lakini ulikuwa unaona juhudi za wachezaji wao kutafuta magoli walikuwa kama mbogo waliojeruhiwa
SIMBA KWA SASA KUNA MAFAZA KWELI MAMAEEEEE, KHA YAANI HADI KI MWENDA NI KIFAZA KIPYA