BMW series 1

BMW series 1

Ila BMW ni mnyama, hasa wale wapenda magari na trip ndefu. X series is better choice for our case, X1, X3, X5, X6 all are better cars, tatizo bongo wauza vipuli + mafundi wana discarage sana kumiliki hizi ndinga. Wakali tumeanzisha DIY system, you own it, you maintain it yourself. Bimmer forever
[emoji122] [emoji122]
 
Ila BMW ni mnyama, hasa wale wapenda magari na trip ndefu. X series is better choice for our case, X1, X3, X5, X6 all are better cars, tatizo bongo wauza vipuli + mafundi wana discarage sana kumiliki hizi ndinga. Wakali tumeanzisha DIY system, you own it, you maintain it yourself. Bimmer forever
Uzuri kuna manuals zake zote, owner's, service manual, repair and maintanance manual, yaani ni full documentation na mambo yanasonga. 2 yrs nimekuwa nikifanya hii.
 
Ni gari bora sana.Au unataka tukuchombeze kuwa spea zake siyo ghali sana na zinapatikana kirahisi na gari hii haiitaji uangalizi wa karibu?
 
Ni gari bora sana.Au unataka tukuchombeze kuwa spea zake siyo ghali sana na zinapatikana kirahisi na gari hii haiitaji uangalizi wa karibu?
Kadiri utakavyoona utakuwa umenisadia navutiwa sana na hii gari
 
Baada ya woga mwingi dhidi ya magari ya BMW ila hali sasa imebadilia naona wapenz wa baby walker wengi wamehamia kwenye BMW series 1.

Nini siri ya haka kagari spea sio adimu tena na wamepunguza size ya engine kwenye uaji wa mafuta?

Huko tuendako nadhan mindset zetu zitabadilika na tutaanza kununua magari ya ulaya ambayo wengi wamekua wakiyaogopa licha ya uimara wake.


View attachment 1681646View attachment 1681647View attachment 1681648
X series nazikubali sana
 
Spea sio adimu ila ni ghali. Aidha bei ya gari zenyewe nazo sio kubwa kivile ni vile maintenance yake inakua juu kidogo.

Mfano kuna 1 series ya mwaka 2005, nyeupe ina cc 1590 bei yake hadi bandari ya Dar es Salaam ni 2,986 USD (Tsh. 6,930,000). Ingawa bei hii inaweza kushuka hadi around 2700 USD (Tsh. 6,265,000) akiagiza mtu ambae ameagiza mara nyingi na ana offer.

Gharama za ushuru wa TRA kwa hii gari ni Tsh. 5,864,268.65 (20/1/2021, saa 2:40 asubuhi)

Kwa hiyo jumla ya bei ya gari na ushuru ni 6,265,000 + 5,864,268 ambayo ni 12,129,268/=

Sasa hii ongezea laki nane (800,000) za kulipia shipping line, wharfage, port charges, clearing agent fee, plate number na kadi ya gari. Hii ni makadirio ila najua haitacheza mbali na hapa na mimi nilitumia less than that. Jumla kuu itakua roughly 13,000,000/=. Sasa ukiangalia hii bei ni more or less the same na bei za IST ya mwaka huo huo baada ya ushuru kupanda.

References:
Bei na specifications za gari nimeziona hapa
Bei ya ushuru wa TRA nimeiona hapa pia
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Jana nilikuwa na rafiki amenunua BMW 320i wiki iliyopita,nimeitamani Sana hii gari ni very comfortable, powerful, handling na fastest...
Nilikaa kushoto nikiangalia jinsi gari ilivyokuwa inatambaa ingawa ground clearance yake IPO chini Sana Ila Kwenye lami hii ni kama ndege Tu.
speed 260 si mchezo
 
Zamani tunasikia pia ukimiliki Range Rover ukienda she'll wao ni kujaza tank zote.kumbe siku hizi nmeona mpk range rover zenye cc 1990.
Utagundua kua kwa Sasa gharama ni kuja kuitunza hiyo gari baada ya kuinunua.
Hizo ni range rover evogue mkuu ni ndogo rika moja na akina ra4,xtrail nk zile kubwa haziwezi kuwa na displacement ndogo kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom