joe78
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 315
- 356
Huko UK mwisho wa matumizi Yale madungu ni 2025,yanapatikana kwa bei cheapest,ndio maana mshikaji anayaleta na kuyapigia promo.Chris Lukosi anawaaminisha madungu jeshi ndio kila kitu ,sio unamiliki kibakuli.
Wabongo kupenda fake life wameingia chaka mchana kweupeee,kwa akili ya kawaida kabisa discover,range, BMW kwa 50, mil!!
Mshikaji kawapata .