BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Tatizo ni mafundi

Hizo gari hazina shida, Mafundi wetu ni tatizo, wote waongo na wapigaji
We fundi wa gari anatembea na nyundo ya kupasulia kokoto [emoji23][emoji23][emoji23] tena anajiita fundi wa umeme wa gari
 
Hizo gari ni nzuri ila usiwe na mfuko wa mawazo ilee km mtoto mchanga.
Kuna Ford moja combi wife alipiga msumari anaitaka nikapigizana nae makelele kakomaa nikamwambia chukua.
Kaibeba.
Kavimba nayo
Miezi kadhaa tu ikagima.
Mapenzi yakarudi mume wangu ,mume wangu.
Tukakomaa euro 500+ ikarudi road.
Imepiga kazi tena nikasahau siku naona mama anabadilisha night dress tu
Malovee km yote nikajua kuna shida mahali hapa.
Nikaambiwa chombo imetaga tena ipo garage.
Sikufanya makosa nikaenda chukua picha zote weka tangazo inauzwa.
Bei ya screpa.
Demu kashangaa tu watu hao wamejaa tukakabidhiana hapo hapo garage.
 
Hizo gari ni nzuri ila usiwe na mfuko wa mawazo ilee km mtoto mchanga.
Kuna Ford moja combi wife alipiga msumari anaitaka nikapigizana nae makelele kakomaa nikamwambia chukua.
Kaibeba.
Kavimba nayo
Miezi kadhaa tu ikagima.
Mapenzi yakarudi mume wangu ,mume wangu.
Tukakomaa euro 500+ ikarudi road.
Imepiga kazi tena nikasahau siku naona mama anabadilisha night dress tu
Malovee km yote nikajua kuna shida mahali hapa.
Nikaambiwa chombo imetaga tena ipo garage.
Sikufanya makosa nikaenda chukua picha zote weka tangazo inauzwa.
Bei ya screpa.
Demu kashangaa tu watu hao wamejaa tukakabidhiana hapo hapo garage.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ndo ilee Gari nzimaa lakini haiwaki labda uiwashee motoo
 
Mwezi wa 6 hii imenikuta na Boss wangu mmoja ana Land Rover 110 hapendi kuitumia akiwa mjini. Simu ikapigwa tupo Samora street twende Hotel moja jina kapuni kuna mteja alikuwa na boti inatakiwa kufanyiwa Engine Overhaul na anataka mrejesho wapi vifaa vitaagizwa na muda kazi itapokamilika.

Jioni kutokana na foleni tuka request Bolt tuwahi, tukamwambia tupo karibu tunakuja kumbe yeye katoa order pale wageni wake wanakuja akaweka reserves parking karibu na gari yake. Tumefika getini tunapiga simu anauliza mpo wapi sioni mkiingia nipo parking maagizo nimeacha wawape reserved parking tukamwambia mkuu tumeshuka na pikipiki tupo hapa tumevuka banda la mlinzi.
Sasa maelezo yote ya nini ndugu? Umeulizwa hayo yote? Ila anyway sijauliza kwa ubaya.
 
Siku nikinunua gari nasoma kwanza user manual yake yote ndio naanza kuliendesha. Kanuni yangu kuu ni kufahamu gari lako kuliko mtu mwingine yeyote kwa sababu linabeba dhamana ya maisha yako unapoliendesha na pia linawakilisha taswira ya jinsi ulivyo.
Ndiyo kabisa. Mafundi wengi wanayabaka magari yao. Service 0 halafu huduma wanataka.
 
nakubaliana na wewe mkuu na imenitokea mara nyingi, kuna aina za tender au pesa huwezi shika kisa haumiliki usafiri/gari, na hii inasababisha watu kuwa underrated sana.

kuna tukio liliwahi tokea(japo haihusiani na gari) nilichukuliwa poa sana katika moja ya taasisi ya kifedha baada ya kuonekana na kiswaswadu changu cha nokia tochi ila nilipotoa macbook kufanya presentation maongezi yakabadilika ghafla.

Macbook ni kiasi gani dukani.
 
We fundi wa gari anatembea na nyundo ya kupasulia kokoto [emoji23][emoji23][emoji23] tena anajiita fundi wa umeme wa gari
Sa nan kakwambia umfate fundi wa namna hio kama sio huna hela. Au fanya nenda wheny companies kama toyota workshops ukiwakuta wa hovyo nipo pale. Mnaenda kwa mafund wa mchongo hana hata chet cha veta automotive au automobile na unaexpect good service. [emoji706]
 
Bado napata shida sana kuwaamini mafundi wetu, kwani sio gari za ulaya tu kwao tatizo, hata ukitaka kununua Xtrail unakutana na hadithi hizo hizo, yaani gari hapa ni Toyota tuu! lazima tukubali tunahitaji kubadilika na kuachana na mafundi uchwara, fundi ambaye hakubali kubadilika kwendana na teknologia tumkimbie kama ukoma!
mwaka 1998 niliagiza Mercedec 190 C ilipofika nilichekwa sana na mafundi, lakini gari nilitumia zaidi ya miaka kumi bila changamoto kubwa, sasa tatizo liko wapi?
Kwa kweli nimesoma maelezo ya Jitumiraba4 nimemwelewa vizuri sana, na kwa kweli sasa natamani kuagiza Volvo XC 90 ambayo miaka karibia mitatu naiwaza! naomba ushauri hapo pia!
Nadhani ushauri mzuri ni kununua gari brand new, kuna range ya marehemu Erasto Msuya ilinunuliwa brand new 2013. Baada ya kufariki ile gari aliuziwa tajiri mmoja shabiki wa yanga hapa mjini. Mpaka leo ile gari inadunda mifano ipo mingi. Tatizo sisi watanzania tunanunua luxury car za mitumba. Gari ukinunua brand new huwa kuna kawarranty unakuwa nacho na hata dealers hapa Tanzania wanafanya service kwa bei ya chini. Discovery 4 ni gari ya 2009–2016, lakini leo ndozimejaa mjini. Gari zinazoweza kununuliwa mtumba na kuwa nzuri ni ambazo zinaweza kuendesheka mpaka 1000000 kms. Gari kama landcruiser au Mark II zipo na zinadumu toka enzi zile. Kuna siku nilienda mbeya na kukuta taksi Mark II ina 700000 kms kwenye odometer. Ukienda kilimanjaro utakuta toyota stout mpaka leo zinapiga kazi. Kwa hio hizi gari kama una hela nunua mpya. Maana kuna watu wana hela lakini wamezitelekeza kwa sababu ya usumbufu kila siku kuna kitu kinakufa. Anaona bora alipaki nyumbani. Na anavuta Prado akiacha Discovery kuku watagie mayai.
 
Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi

View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
BMW walikuja TZ,mojawapo wa obstacle kubwa waliyoiona ni kwamba TZ hakuna qualified Fundis wa magari yao

So,mojawapo wa strategies yao ni kwamba wata establish official maintenance cornerstones TZ na pia watapenyeza know how yao kwenye magereji TZ watu waelewe.

Hilo ndio tatizo kubwa lililopo TZ hasa kwa magari yote ya watu wa middle class and upper class wealthy people!
 
BMW walikuja TZ,mojawapo wa obstacle kubwa waliyoiona ni kwamba TZ hakuna qualified Fundis wa magari yao

So,mojawapo wa strategies yao ni kwamba wata establish official maintenance cornerstones TZ na pia watapenyeza know how yao kwenye magereji TZ watu waelewe.

Hilo ndio tatizo kubwa lililopo TZ hasa kwa magari yote ya watu wa middle class and upper class wealthy people!
Mafundi wetu wengi NGUMBARU
 
Sisi ni watu wenye roho ndogo sana ndio maana tuna hizi mind set za ku underrate mtu kwa sababu ya material things eneo flani bila kujali kila mtu ana life style flani yani ni shida.

Hii mikasa mimi imenikuta sana mara kibao lakini nilivyo ji upgrade mambo yamebadilika lakini mimi nimeshindwa kabisa kumu underrate mtu kwakweli napenda sana kumchukulia mtu vile alivyo mimi vitu vyake haviniusu napenda ku mind own business.
Mimi ilinitokea kwenye duka la viatu mwaka huu..hiyo siku nilikua namsaidia mshikaji wangu kuhamisha vitu ili vipelekwe mkoani tukasaidiana kubeba pale tukavipelekea ilala kwenye yard ya Aifola(nilivaa bukta,flana iliyokatwa mikono na viatu vya kimasai) na jamaa angu alivaa bukta na flana na yebo yebo [emoji16]. Basi baada ya kutoka pale nikamwambia mwana anisindikize K/Koo nikanunue viatu tukafika kwenye duka moja hivi nikakuta watu kadhaa tukaingia(mimi nina mguu mkubwa navaa 45 hivyo najijua ili nipate kiatu super dukani lazima niwe na mpunga).

Sasa ile tushaingia nikaanza kuangaza huku nikaona mikwaju mitatu matata nikamwita jamaa aje anitolee akawa kama hanisikii nikamfuata nikamshika bega nikamwambia nataka kile na kile jamaa akajibu "oya utaviweza bei yake vile laki na 10 na kile kingine 90",huku ananiangalia vizuri nikamwambia oya mzee nimekwambia lete viatu au hauuzi?

Jamaa ndo akashusha viatu pea 3 pale nikajaribu ziko safi nikatoa keshi 290 kabaki katoa macho na wala sikutaka kubageni.

Hii nchi kuchukuliana poa kupi sana kuanzia muonekano hadi life style mtu anayoishi.
 
Mimi ilinitokea kwenye duka la viatu mwaka huu..hiyo siku nilikua namsaidia mshikaji wangu kuhamisha vitu ili vipelekwe mkoani tukasaidiana kubeba pale tukavipelekea ilala kwenye yard ya Aifola(nilivaa bukta,flana iliyokatwa mikono na viatu vya kimasai) na jamaa angu alivaa bukta na flana na yebo yebo [emoji16]. Basi baada ya kutoka pale nikamwambia mwana anisindikize K/Koo nikanunue viatu tukafika kwenye duka moja hivi nikakuta watu kadhaa tukaingia(mimi nina mguu mkubwa navaa 45 hivyo najijua ili nipate kiatu super dukani lazima niwe na mpunga).

Sasa ile tushaingia nikaanza kuangaza huku nikaona mikwaju mitatu matata nikamwita jamaa aje anitolee akawa kama hanisikii nikamfuata nikamshika bega nikamwambia nataka kile na kile jamaa akajibu "oya utaviweza bei yake vile laki na 10 na kile kingine 90",huku ananiangalia vizuri nikamwambia oya mzee nimekwambia lete viatu au hauuzi?

Jamaa ndo akashusha viatu pea 3 pale nikajaribu ziko safi nikatoa keshi 290 kabaki katoa macho na wala sikutaka kubageni.

Hii nchi kuchukuliana poa kupi sana kuanzia muonekano hadi life style mtu anayoishi.

Pole sana ndugu,Lakini hatupasi kuchukuliana poa hakuna mtu muhimu zaidi ya mwenzake.

Pili maisha huwa awamu tu ,unaweza ukafanikiwa leo haraka wenzako wakawa bado hawajafanikiwa hatupaswi kuwa dharau huwa ni wakati tu.

Mimi najitahidi sana kuheshimu watu na kutowadharau bila kujali wao wananionaje.
 
Sa nan kakwambia umfate fundi wa namna hio kama sio huna hela. Au fanya nenda wheny companies kama toyota workshops ukiwakuta wa hovyo nipo pale. Mnaenda kwa mafund wa mchongo hana hata chet cha veta automotive au automobile na unaexpect good service. [emoji706]
Mimi gari langu maswala yote ya umeme nisimamia mwenyewe narekebisha... Raha ya Youtube
 
Back
Top Bottom