Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Invoice bei ya passo 🤣,hii umeua kiongozi 🤣Hahahahah si wanasemaga dunia kijiji mkuu wacha wamiliki vyuma tu 🤣🤣 🤣 mwisho wake ndio huo!
Invoice ikija ni bei ya Passo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Invoice bei ya passo 🤣,hii umeua kiongozi 🤣Hahahahah si wanasemaga dunia kijiji mkuu wacha wamiliki vyuma tu 🤣🤣 🤣 mwisho wake ndio huo!
Invoice ikija ni bei ya Passo!
Ukibamiza hata LC200 tu kama hela ya mawazo itakaa garage miezi japo ni gari ya kijapani.Ndio hao sasa wameyatelekeza.
Utawaambia nini?
ni kweli "huwaambii kitu"
Sinza Kumekucha pale Soprano Garage asimilia 85% ya magari yaliotelekezwa pale (tuseme yanayokaaga miezi mpaka yapone) ni European Cars.
Toyota zilizopata ajali zinaletwa hazichukui hata siku tatu zinarudi kwa Road.
Niponipo nimefika kujibu mashambulizi
Hakuna mafundi na ukienda Land Rover center Bei yake ya service labda uwe fisadiAcha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo
Sasa ukipanda passo na ukipanda hilo dude huwezi kufeel the same.Hahahahah si wanasemaga dunia kijiji mkuu wacha wamiliki vyuma tu 🤣🤣 🤣 mwisho wake ndio huo!
Invoice ikija ni bei ya Passo!
Tena passo ya Japan na unabaki na chenji.Invoice bei ya passo 🤣,hii umeua kiongozi 🤣
Hahahah noma kweli wakati ukinunua engine yako ya 1NZ used dubai haifiki ata million 3Sasa ukipanda passo na ukipanda hilo dude huwezi kufeel the same.
BMW X1 ya Cc1990 unaweza ukanunua hata kwa 10M, Ikitokea gari imezingua engine uwe na 15M kama utanunua engine hapa.
Na hata kama ni kuagiza mswaki utaupata kwa 5M roughly.
Kama ulinunua kwa hela ya mawazo kwanini usilipaki?
Ahida sio kutelekeza tu shida ni kuzifanyia maintenance bana mostly wananunua magari kwa showoff sasa zinawashinda matengenezo ni sawa na hawa wanao nunua crown athlete zinawashinda kuweka mafuta wanaziuza bei ya supuAcha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo
Eeh sasa kurekebisha gari gharama 10M si bora ununue mjapan used tu. Kwa Mark 2 utapata yenye hali nzuri sana.Invoice bei ya passo 🤣,hii umeua kiongozi 🤣
Ni kweli kabisa kakaEeh sasa kurekebisha gari gharama 10M si bora ununue mjapan used tu. Kwa Mark 2 utapata yenye hali nzuri sana.
Hatari sana mkuu,ndio maana now m 15 unaweza kupata mercedes yako c class kumbe umenunua bombTena passo ya Japan na unabaki na chenji.
Kuna dogo kazini kachukua mkopo mil20, kaenda kumvua mtu BMW X1 kwa 15mil anavimba nalo hatari. Wahuni tunamzoom tu [emoji23]Hatari sana mkuu,ndio maana now m 15 unaweza kupata mercedes yako c class kumbe umenunua bomb
Ngoja mataa taa kwenye dash yaanze kuwaka ndio atanyooka 😄Kuna dogo kazini kachukua mkopo mil20, kaenda kumvua mtu BMW X1 kwa 15mil anavimba nalo hatari. Wahuni tunamzoom tu [emoji23]
Inaweza kuwa sababuSio kwamba zimekosa mafundi?
Hakika. Umiliki wa magari Una levels! Basic (baby walker JAPAN) - Intermediate (sedan JAPAN) - Advanced (European/American)Eeh sasa kurekebisha gari gharama 10M si bora ununue mjapan used tu. Kwa Mark 2 utapata yenye hali nzuri sana.
Hahahah ni swala la muda tu 🤣Kuna dogo kazini kachukua mkopo mil20, kaenda kumvua mtu BMW X1 kwa 15mil anavimba nalo hatari. Wahuni tunamzoom tu [emoji23]