Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Mchawi kodi. Waondoe kama hatuleti 0 kmNiliwahi kutest. Miaka mitatu ya mateso. Sema tatizo tunadeal na magari ya zamani. 15+ years
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi kodi. Waondoe kama hatuleti 0 kmNiliwahi kutest. Miaka mitatu ya mateso. Sema tatizo tunadeal na magari ya zamani. 15+ years
mimi napenda sedan, vipi 5 series?Nilikuwa nayo hiyo X3 ya generation ya pili, nikachukua X5.
X3 is much lighter but X5 is more luxurious.
Nilikuwa nafikiria kuchujua X7, lakini naona ni kubwa sana.
Hahahahahaa hahahahaOii pamoja mkuu. Pamoja na shukrani umenipa moyo. Sio kama PureView zeiss ye anasema izo hatuziwezi bei kali.
Sijaendesha sedan, nikipeleka SUV yangu service huwa wananipa sedan za 7 series, it is soo smooth.mimi napenda sedan, vipi 5 series?
Dah Braza hizi hela mnatoa wapi nakuonea tamaaNilikuwa nayo hiyo X3 ya generation ya pili, nikachukua X5.
X3 is much lighter, I miss that, but X5 is more luxurious.
Nilikuwa nafikiria kuchukua X7, lakini naona ni kubwa sana.
HatariDah Braza hili hela mnatoa wapi nakuonea tamaa
Yeah. Ile naona ni kwa watu wenye familia kubwa. Nilikosa justification.X7 kubwa aisee. Kubwa sana.
Dah Braza hizi hela mnatoa wapi nakuonea tamaa
Dah hongera chief ndoto yangu ni kumiliki Ford explorer lakini naona kabisa maisha yananichekaKawaida sana mkuu.
Levels.
Mimi mwenyewe najiuliza watu wanaoendesha Bentleys na Lamborghinis wanapata wapi hela.
Hela ya mbogaKumbe sio bei sana milioni 230 na ushee tu
Wakali kutoka Munich juzi juzi wamezindua all new BMW X3 generation ya nne, wakiwa wameredesign kuanzia muonekano wa nje na ndani na driving experience.
View attachment 3079978
Pichani juu ni generations tatu zilizotangulia, ya kwanza ipo kushoto na ya pili kulia wakati ya tatu ndio iyo katikati.
Ikumbukwe BMW wanafanya major change ya generation ya X3 kila baada ya miaka saba, kwani walianza mwaka 2003 kama generation ya kwanza (E86) kisha 2010 ikaja ya pili (F25) then ikaja 2017 ya tatu (G01) na sasa 2024 imekuja ya nne (G45).
View attachment 3079973
Chuma itakuja na engine options tatu, kuanzia Petrol itakua kwa engine ndogo 2.0L yenye turbo charged inline 4 na M Power M50 yenyewe turbo charged inline 6.
View attachment 3079967
Kwenye Diesel kutakua na 20d (cc 2000).
View attachment 3079974
Na Plug-in hybrid 30e ambayo inaweza kutembea hadi 88km kwa battery pekee.
View attachment 3079968View attachment 3079969
Ndani pia wamefanya redesign kuanzia cockpit, seat za mbele na nyuma.
View attachment 3079971View attachment 3079972
Muonekano wa nje haujapisha sana na G01 ila imekua kubwa na infamous grille zinazidi kua kubwa.
View attachment 3079976
Kwakua bei haijatangazwa officially, inakadiriwa itakua $85,000 au zaidi pindi zitakapoanza kuuzwa.
Michongo ikikaa nitadaka hii 30e.
View attachment 3079975
Kabisa mkuuHela ya mboga
Kwahiyo Yanga na CCM kipi chanzo cha yote yanayotokea? Umesahau bado huku kwetu viongozi hutumia muda mrefu kumsifia raisi tena huku wamevaa tshirt zenye picha ya raisi?Wakati wenzetu wakifanya yote hayo sisi hapa nyumbani tunashangilia ubingwa wa Yanga kwa msimu .mwingine.