BMW X3 Fourth Generation: Hawa Wajerumani hawataki mchezo aisee!

BMW X3 Fourth Generation: Hawa Wajerumani hawataki mchezo aisee!

Ntatulia sana na Volvo, Kwa sasa nipo kwenye XC60 T5. Tatizo kubwa ni mafundi wetu. Bado sijashawishika kuhama.

Niliwahi kuwa na BMW 320i series ila ndio kama Kiranga hizi gari za chini Bado hazijanishawishi. Lakini ndio ilikua chachu ya kuhamia magari ya Ulaya.
Ulaya naogopa aisee
 
Inatafutwa Transfer Motor ya X6
IMG_2129.jpeg
 
Ntatulia sana na Volvo, Kwa sasa nipo kwenye XC60 T5. Tatizo kubwa ni mafundi wetu. Bado sijashawishika kuhama.

Niliwahi kuwa na BMW 320i series ila ndio kama Kiranga hizi gari za chini Bado hazijanishawishi. Lakini ndio ilikua chachu ya kuhamia magari ya Ulaya.
Mkuu,

Volvo sijazijaribu, umeshajaribu XC90 kuona tofauti yake na XC60?
 
X7 unaweza ipaki tairi moja iko juu ya passo
Hahaaa. Yani kutoka kwenye X3 kwenda X5 tu niliona X5 ni kubwa, sasa imagine X7 unaweza kujisikia unaendesha ki mini bus fulani hivii.

Ile ni gari ya familia kubwa. Kuna jirani yangu kamnunulia mkewe X7, watoto kibao wanaenda kucheza mpira wanakaa humo wanatosha. Ina row 3 za viti.
 
Mkuu,

Volvo sijazijaribu, umeshajaribu XC90 kuona tofauti yake na XC60?

XC90 ni kubwa kidogo ukilinganisha na XC60, viti vya ziada viwili kufany jumla ya viti saba.
Kuna kampuni ya wachina maarufu sana kwa magari yanayotumia umeme wanashirikiana kutoa Volvo za Umeme.
Sioni nikihama siku za karibuni mkuu, ziko vizuri sana. Kuna toleo gear box zilikua zinasumbua sana naona wamerudi kwenye za zamani ni mkataba.
 
Back
Top Bottom