Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
HP 707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mzee majibu yako yanakera kama manara vile anavyowakera mikia 😂Tz 11 mzee.
Mwaka jana mwishoni mwishoni nilinunua hiyo castrol kwa elfu 60,labda ndio niliuziwa fake,na zamani kidogo nakumbuka zilikua kwenye elfu 50Juzi kati nimeuziwa 118k Castrol. Au ndio kuibiwa?
Utaishia kuzi google na kuleta specs zake tu hapa jf.Haya wazee wa tozo karibuni tuendelee kujadili sae-40 oil.
Castrol 10w60 ndio 50,000-60,000Mwaka jana mwishoni mwishoni nilinunua hiyo castrol kwa elfu 60,labda ndio niliuziwa fake,na zamani kidogo nakumbuka zilikua kwenye elfu 50
Pambafuuu sana. Unanichekesha ingawa nina stress. Ongeza sauti kidoooogoUtaishia kuzi google na kuleta specs zake tu hapa jf.Haya wazee wa tozo karibuni tuendelee kujadili sae-40 oil.
Kuna baba mkwe na shangazi wa mjomba wa mke wa mdogo wa rafiki hununua za KU REFILL container la Castrol Edge 75K. Huwa namuangalia tu. Akibakisha huwa mazuri kupaka kwenye nywele. NatumiaJuzi kati nimeuziwa 118k Castrol. Au ndio kuibiwa?
Forza Horizon....Tukizidiwa sana tunaingia PlayStation mkuu kusukuma ndinga kali
Ipo opp . Karibu PSPSF HOUSEMlimani City hakuna Puma, kuna Total....
bongo gari zote wachumba tu
iyo car bali ni sysytem car jiniii.mnyamaaa
0-60 mph in 3.5 seconds, Trackhawk boasts a Supercharged 6.2L V8 engine
LC haiwezi fikia bei ya hio M Competition, hio inagonga $135K+ price... 0KM....Mkuu, hiyo V8 unamaanisha Land Cruiser? Kama ndio basi ukizilinganisha za mwaka mmoja, x6 haitii mguu.
Ipo opp . Karibu PSPSF HOUSE
Utaishia kuzi google na kuleta specs zake tu hapa jf.Haya wazee wa tozo karibuni tuendelee kujadili sae-40 oil.
yan hii gari kama huijui utaiona ya kawaida tuView attachment 1915106
nilifurahi kumuona mnyama kwenye FF9
Ukishagusha hizo M lineup ni habari nyingine. Bei zake sio za kitoto. Ila kwa standard X6, LC iko jui.LC haiwezi fikia bei ya hio M Competition, hio inagonga $135K+ price... 0KM....
Ooh. Imekaa vzrKafafanua juu ila pale sio Mlimani City, jina almaarufu Super star
Ni kweli... japo ukizungmzia x hio ni series za models... so chukua x series ya juu va LC ya juu....Ukishagusha hizo M lineup ni habari nyingine. Bei zake sio za kitoto. Ila kwa standard X6, LC iko jui.