BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

kwa zero brain kama ninyi, nimekosa tu vuvuzela.

Aisee nmekupendaje..kuna watu wanaroho mbaya humu kama wauwaji Wa albino.kutwa kuwaombea wwnzao mabaya.yaaan wanaenda kuwa wachawi tu.yaaan umewapga jiwe mchana kweupe.lililompata awahi hospital pambaf
 
Hata share nazo zinaporomoka mbona marekani uchumi wake uliporomoka mwaka juzi lakini walikuwa wamejiashure mambo yapo safi mwacheni kijana sasa ni mda wake wa kukamua....

soma tena comment yangu vizuri, nimesema ukifanya good analysis unaweza kujua u-invest kwenye kampuni ipi... zikiporomoka shares kwenye soko lote, mi tatizo jingine kabisa, halihusiani na kampuni moja, na kama likitokea magari pia huwa ni part ya hiyo risk nayo huwa yanashuka thamani sana... lkn pia km ni mtu mwenye financial advisor mzuri, kuna jinsi ya kuhedge risk ya namna hiyo.
 
Mweeee
Mkuu..samahani. na wewe ni msanii?
 

wewe unahitajika sana jukwaa la uchumi na biashara utusaidie, siku ukiwa unatoa hii shule kwenye lile jukwaa niite please.
 

wewe kweli mdakuzi, sasa haya yote ya nini???
 
Hivi kiswahili watu wanajifunzia wapi?
Mtu kanunua gari, akawaagiza menejimenti yake wamkabidhi siku ya sherehe yake ya kuzaliwa, m
'Matokeo Makubwa Sasa' wanaona ni sawa na 'Amepewa na Menejimenti'

Such a lacking in observatory and analytical skills is ruining our nation
 

Wewe umetoka usingizini au unaota? Umesikia alichosema Babu Tale au umeamuwa kuja kujambajamba tu hapa?
 
Hatutaki aje afe mtu tuanze kuchangishwa, mara tigo pesa mara M-Pesa hata Airtel Money hatutaki.
 
X6 zimeingizwa sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 2008, kwa Mtanzania hii gari ni mpya na hautozwi uchakavu hata ukili-import leo.

si ndio namshangaa huyo MJUAJI anaesema hilo gari la 2005....
 
Huli gari linaonekana lilikuwa linatumiwa sana sio jipya lakini zawadi ni zawadi

Jamani hata kama zawadi ni zawadi ndo gari watudanganye ni sh mil 90....mbona wasanii wa kibongo wanapenda kujipa ujiko wa kipuuzi sana, hapo ni kagari tu matangazo hivyo ni vp cku akinunua ndege ka Davido itakuwaje
 
Wewe umetoka usingizini au unaota? Umesikia alichosema Babu Tale au umeamuwa kuja kujambajamba tu hapa?

Watu wengine bhana,unalipwa bei gani?

Logically my conclusion supported by the following facts,dispute them if you can (what Babu Tale et al might have said is irrelevant)
1. Diamond kawazidi kipato/salio members wote wa management team yake (if 90m price tag is true,nobody is better suited to cough up that figure better than Diamond himself)
2. Hakuwahi kumiliki BMW before
3. Amemshukuru Mungu (not management team yake kwa kumpa) kwa kumiliki BMW now (which tells me its a dream came true for him)

Consider those few facts (which are available for public consumption so far) and take a look at my conclusion. Then compare to the wild stories going around
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…