kwa zero brain kama ninyi, nimekosa tu vuvuzela.
Hata share nazo zinaporomoka mbona marekani uchumi wake uliporomoka mwaka juzi lakini walikuwa wamejiashure mambo yapo safi mwacheni kijana sasa ni mda wake wa kukamua....
kwa zero brain kama ninyi, nimekosa tu vuvuzela.
MweeeeMawazo ya kimaskini kama haya nayachukia mimi basi tu. Nyumba nyumba nyumba nyumba nyumbaaaaaa unakuta mtu una miaka 35 unadai nyumba..life yenyewe kufika 50 ni ishu life is living once sio lazima kuwa na nyumba na hakuna aliewahi kujenga nyumba akamaliza..kula maisha tu sio lazima uwe na nyumba.
Gari ni asset pia!
Mbona Ringi zimepauka na tairi nazo kama zakubadilisha..................?
soma tena comment yangu vizuri, nimesema ukifanya good analysis unaweza kujua u-invest kwenye kampuni ipi... zikiporomoka shares kwenye soko lote, mi tatizo jingine kabisa, halihusiani na kampuni moja, na kama likitokea magari pia huwa ni part ya hiyo risk nayo huwa yanashuka thamani sana... lkn pia km ni mtu mwenye financial advisor mzuri, kuna jinsi ya kuhedge risk ya namna hiyo.
Hili gari ni mtumba, usikute hapo mileage kibaoooo rangi tu ndiyo mpya.
Nilijua ni gari jipya, kumbe ni used ya hapa hapa Bongo, hongera zake lakini.
Na ile nyumba yake nayo ndio bado haijaisha tu? Au anajenga nyumba kubwa sana kama ile ya Bakhressa ya Masaki iliyo jirani na nyumba ya Lowassa aliyompangisha Balozi wa SA?
Ova
Hii gari imeshashuka mpaka mil 60 hii tena ni ya 2005 lakini safi zawadi ni zawadi
kumbe kuna X6 za 2005....?
Hivi kiswahili watu wanajifunzia wapi?
Mtu kanunua gari, akawaagiza menejimenti yake wamkabidhi siku ya sherehe yake ya kuzaliwa, m
'Matokeo Makubwa Sasa' wanaona ni sawa na 'Amepewa na Menejimenti'
Such a lacking in observatory and analytical skills is ruining our nation
X6 zimeingizwa sokoni kwa mara ya kwanza mwaka 2008, kwa Mtanzania hii gari ni mpya na hautozwi uchakavu hata ukili-import leo.
gari ngapi tanzania sio mtumba?? hata yako mtumba
Huli gari linaonekana lilikuwa linatumiwa sana sio jipya lakini zawadi ni zawadi
Wewe umetoka usingizini au unaota? Umesikia alichosema Babu Tale au umeamuwa kuja kujambajamba tu hapa?