Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Maana karibia wamalize maduka yote ya pete hhhhaaaa
Hahahaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana karibia wamalize maduka yote ya pete hhhhaaaa
Yap nimeponda kweli haiwezekani msanii kama diamond kuwa na toyota,nachosema hapa ni sifa za kijinga kuazima gari la mtu kuja kurusha team za instagram,hiyo gari bmw x6 sio la diamond ni maigizo kama v8 la chief kiumbe,auze prado lake aende brands za masupa star aachane na matoyo hayo matoyo ni kwa sie pangu pakavu tia mchuzi.
Sijui umejibiwa???teh teh
duh una hasira
Mawazo ya kimaskini kama haya nayachukia mimi basi tu. Nyumba nyumba nyumba nyumba nyumbaaaaaa unakuta mtu una miaka 35 unadai nyumba..life yenyewe kufika 50 ni ishu life is living once sio lazima kuwa na nyumba na hakuna aliewahi kujenga nyumba akamaliza..kula maisha tu sio lazima uwe na nyumba.
Hahaaaaa...mkuu una utani ee
By the way, hiv wasanii hawanaga zawad za maana za kupeana zaid ya magar?
wangepeana asset ingekuwa na mashko zaid
Kama kila mtu atakuwa na definition yake then hutakiwi kusema gari sio asset........
Siamini ninayoyaskia kutoka kwako, kwani nyumba lazima uishi wewe??
ila sina wivu kama wewe.
Kwan gari sio asset??
Nilijua ni gari jipya, kumbe ni used ya hapa hapa Bongo, hongera zake lakini.
Na ile nyumba yake nayo ndio bado haijaisha tu? Au anajenga nyumba kubwa sana kama ile ya Bakhressa ya Masaki iliyo jirani na nyumba ya Lowassa aliyompangisha Balozi wa SA?
Ova
Mmmmhh we dada kwa ubuyu unaongoza jamii forum sijui unatumia jina gani huko IG na Facebook na twirrah..........Hawajavalishana pete tena? ???
Hata share nazo zinaporomoka mbona marekani uchumi wake uliporomoka mwaka juzi lakini walikuwa wamejiashure mambo yapo safi mwacheni kijana sasa ni mda wake wa kukamua....Paula kilaki, kwa kuongezea tu, gari inafika muda value yake inafika zero, maana inadepreciate kila siku/ mwaka. ina life time, muda ukifika na thamani haina. kuna assets zisizohamishika na zinazohamishika pia (kama shares) ambazo kama unafanya analysis vizuri utagundua thamani zake hazishuki, bali zinaongezeka kila mwaka. Nyie watu na wasanii wenu mwahitaji shule kuhusu investments.
sasa kinachowauma ninyi ni kwa vile wamempa gari badala ya kumpa nini mlichotaka nyie apewe???? wanafki wakubwaaaaa, hamjui hata muongee nini mnajing'atang'ata tu ili mradi tuu nanyi muonekane mmecoment.
Eti wahoji hakuna zawadi yenye thamani zaidi ya gari,??? kwa taarifa yako hakuna chenye dhamani zaidi ya PUMZI chini ya jua, na unachodhani kina dhamani kwako kwa mwingine ni useless. tena kwenye Bday unampangia mtu zawadi?? wewe yako ulipewa nini?? si ajabu hujawahi hata kufanya.
tena gari ni zawadi yenye thamani kubwa zaidi iliokwisha tolewa kwenye Bday wengi wao huishia kupewa maua, chocolate, chupi/boxer, na apples. mmekosa vya kuongea sasa mnahoji uthamani wa zawadi, rudini nyuma muwapishe watu wakae.
Take it very easy..hata usipopayuka tutakuelewa tu.