BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

Mawazo ya kimaskini kama haya nayachukia mimi basi tu. Nyumba nyumba nyumba nyumba nyumbaaaaaa unakuta mtu una miaka 35 unadai nyumba..life yenyewe kufika 50 ni ishu life is living once sio lazima kuwa na nyumba na hakuna aliewahi kujenga nyumba akamaliza..kula maisha tu sio lazima uwe na nyumba.
and I didn't mention nyumba... wenyewe waliongelea gari kama investments... mi nikasema nimesema kuna asstes nyingi zinazohamishika na zisizohamishika ambazo zinaongezeka values kila kukicha.

wakiwa na different assets na wakazimanage vizuri, hizo assets zitawasaidia kununua magari yenye matairi yasiyo na vipara. Angalia Chameleon wa Uganda alivyojiongea kipato kwa ku-invest kwenye real assets.

hapo kwenye bold..... kuwa na other assets au good diversification strategy kwenye investments zako haimaanishi kwamba hauli maisha
 
unamwambia nani asiejua hayo unayosema??? shares huwa hazishuki??? zinaonezeka kila mwaka??? kweli hata mimi nahitaji shule ya investment tusaidie njoo jukwaa la biashara na uchumi utupe shule....

Kaka, nilikuwa natoa mawazo yangu tu. Ila nyie kwa kuwa mnacomment kwa mahaba mliyonayo kwa msanii wenu siwezi kubishana. Soma tena comment yangu.... nimesema kama utafanya analysis vizuri...
Yes, nafikiri tukutane jukwaa la bashara na uchumi.... hapa si mahali pake
 
Ukiwa na degree zako halafu unazeekea kwenye madaladala lazima ukaze makalio kuonyesha X6 sio ishu. Kumchukia Diamond kwa sasa ni kujitafutia presha tu.
 
Hivi hiyo bethdei ya 28 mil ikoje? Maana naona keki ni kama zile za royal bekariz, ambazo haizidi laki. Au ni pamoja na kukodi hilo gari kwa muda fulani?

Acha wivu wewe hiyo party. ni ya budget kubwa ata kama uwapendi huwezi kuondoa huo ukweli.....Fatilia ukumbi, mapambo na kila kitu.
 
Ukiwa na degree zako halafu unazeekea kwenye madaladala lazima ukaze makalio kuonyesha X6 sio ishu. Kumchukia Diamond kwa sasa ni kujitafutia presha tu.

The guy is doin good kwa kweli ila kuna mambo anayofanya ni kutafuta kiki ambazo mkoloni mgosi anaita sifa za kijinga,kuonyesha x6 ya mwaka 1947(fifth hand) ambayo ina matairi vipara body iliyooshewa maji chumvi mpaka imepauka ya nini? Kama hela unazo unazo tu haina haja ya ku-impress watu waone kwamba unazo,juzi Dismas Llyasa Muelimimishaji rika alikuwa anafanya mahojiano na bosi wa BBC,huyo boss analipwa £ 200,000 kwa mwezi(Zaidi ya 500m Tsh) jamaa alikuja na noah kama ya le mutuz kwenye interview hadi Lyassa akawa anashangaa,iweje jamaa millionea asije na Maybach au Aston Martin,Lambo,Phantom Royce Rolls?
 
sasa kila mtu anatoa zawadi birthday gari hawawezi kuumiza kichwa wakatoa zawadi ingine yenye thamani ya hilo gari

Wao ndio wameamua hivyo labda ungeanza wewe kuwapelekea zawadi uliyopenda apate.
 
humu kumejaa haters kujiona bora kila kitu kuhusu wasanii wao ni kuponda tu.....zawadi mnataka mchague nyie,kamnunulieni hio nyumba basi mumpe

Wanaboa sana yani, mi nahisi wanaumia sana kuona kijana amepewa X6.Ukute mtu aneponda hata kababy walker hana...
 
The guy is doin good kwa kweli ila kuna mambo anayofanya ni kutafuta kiki ambazo mkoloni mgosi anaita sifa za kijinga,kuonyesha x6 ya mwaka 1947(fifth hand) ambayo ina matairi vipara body iliyooshewa maji chumvi mpaka imepauka ya nini? Kama hela unazo unazo tu haina haja ya ku-impress watu waone kwamba unazo,juzi Dismas Llyasa Muelimimishaji rika alikuwa anafanya mahojiano na bosi wa BBC,huyo boss analipwa £ 200,000 kwa mwezi(Zaidi ya 500m Tsh) jamaa alikuja na noah kama ya le mutuz kwenye interview hadi Lyassa akawa anashangaa,iweje jamaa millionea asije na Maybach au Aston Martin,Lambo,Phantom Royce Rolls?


Wewe ni mara ngapi umekuwa ukiponda Dai kutembelea Toyota?? nikikwambia una wivu sibaahatishi leo ana x6 napo unaponda.

sifia basi na hii nyumba aliyomjengea mamake

CBBBBBBB.jpg
 
yan watu wana wivu ad wanaumwa hamuez kuona kitu kimuhusu platnum mkasifia au mkakaa kimya. inaonesha mngekua nae karibu mngemwekea sumu afe wallah. most of u ukute hamna hata mia bora yy anaweza kumiliki hyo gari ya milioni hzo wengne ata mkichanga ukoo mzma hamuwez afford jifunzeni kuappreciate na mengine yote mtapewa kwa imani. wabongo bana wivu tu na roho mbaya adi kinyaa nyambafu zenu
 
yan watu wana wivu ad wanaumwa hamuez kuona kitu kimuhusu platnum mkasifia au mkakaa kimya. inaonesha mngekua nae karibu mngemwekea sumu afe wallah. most of u ukute hamna hata mia bora yy anaweza kumiliki hyo gari ya milioni hzo wengne ata mkichanga ukoo mzma hamuwez afford jifunzeni kuappreciate na mengine yote mtapewa kwa imani. wabongo bana wivu tu na roho mbaya adi kinyaa nyambafu zenu

Samahanii we ni Mzungu??
 
Wewe ni mara ngapi umekuwa ukiponda Dai kutembelea Toyota?? nikikwambia una wivu sibaahatishi leo ana x6 napo unaponda.

sifia basi na hii nyumba aliyomjengea mamake

CBBBBBBB.jpg

Yap nimeponda kweli haiwezekani msanii kama diamond kuwa na toyota,nachosema hapa ni sifa za kijinga kuazima gari la mtu kuja kurusha team za instagram,hiyo gari bmw x6 sio la diamond ni maigizo kama v8 la chief kiumbe,auze prado lake aende brands za masupa star aachane na matoyo hayo matoyo ni kwa sie pangu pakavu tia mchuzi.
 
Back
Top Bottom