BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

Gari sio asset ndugu yangu.. linakugharimu kila kukicha na thamani yake inashuka daily.

Naweza kusema ni liability lolz
Asset ni kama kiwanja, nyumba n.k.

gari ni asset pia ila kwa kitaalam inafahamika kama asset liability na vitu kama nyumba inafahamika kama fixed asset
 
Gari sio asset ndugu yangu.. linakugharimu kila kukicha na thamani yake inashuka daily.

Naweza kusema ni liability lolz
Asset ni kama kiwanja, nyumba n.k.
Paula kilaki, kwa kuongezea tu, gari inafika muda value yake inafika zero, maana inadepreciate kila siku/ mwaka. ina life time, muda ukifika na thamani haina. kuna assets zisizohamishika na zinazohamishika pia (kama shares) ambazo kama unafanya analysis vizuri utagundua thamani zake hazishuki, bali zinaongezeka kila mwaka. Nyie watu na wasanii wenu mwahitaji shule kuhusu investments.
 
Last edited by a moderator:
Natafuta kiwanja cha kujenga makazi ya kuishi.
Bajeti yangu ni Tsh. 15 milioni

Sifa za kiwanja.
1. Kiwe kimepimwa na kina hati miliki na kisiwe na mgogoro wowote.
2. Kiwe mahala ambapo watu wameshaanza kujenga na- kuna huduma za kijamii, kama, maji na umeme.
3. Kisipungue ukubwa wa sqm 1000.

Maeneo ninayopenda zaidi.
1. Tabata, Wazo hill, Pugu, Kigamboni, Kibada, Toangoma, Kimara, mbezi, chanika, Ukonga, Goba
Mbeni,na maeneo mengine mazuri.

Email yangu ni woowtv@live.co.uk

NB.
Ningefurahi kama ningepata cha ukubwa wa sqm 1200 au zaidi, ninaweza kuongeza pesa kama- nitalidhika na kiwanja na mahala kilipo.


ASANTENI.
 
Paula kilaki, kwa kuongezea tu, gari inafika muda value yake inafika zero, maana inadepreciate kila siku/ mwaka. ina life time, muda ukifika na thamani haina. kuna assets zisizohamishika na zinazohamishika pia (kama shares) ambazo kama unafanya analysis vizuri utagundua thamani zake hazishuki, bali zinaongezeka kila mwaka. Nyie watu na wasanii wenu mwahitaji shule kuhusu investments.

Mawazo ya kimaskini kama haya nayachukia mimi basi tu. Nyumba nyumba nyumba nyumba nyumbaaaaaa unakuta mtu una miaka 35 unadai nyumba..life yenyewe kufika 50 ni ishu life is living once sio lazima kuwa na nyumba na hakuna aliewahi kujenga nyumba akamaliza..kula maisha tu sio lazima uwe na nyumba.
 
Last edited by a moderator:
Dah nilizani Wema kajibu mapigo! Mwanamke bana,,tehe tehe tehe
 
Tumeshawazoea maisha yao fekero tu halafu wa2 wanaona tunawachukia,hyo gari ni yke kajipa mwenyewe mimi nlitegemea jana anahamia kwake.
Hyo pati nimeona kuku watamu kibao cjui nae walewale

Kwake bado anamalizia swimming pool.
 
Tatizo wengi wao hawana financial advisors
 
Achana nae huyo Paula kilaki katumwa aje amjibie

sasa kinachowauma ninyi ni kwa vile wamempa gari badala ya kumpa nini mlichotaka nyie apewe???? wanafki wakubwaaaaa, hamjui hata muongee nini mnajing'atang'ata tu ili mradi tuu nanyi muonekane mmecoment.
Eti wahoji hakuna zawadi yenye thamani zaidi ya gari,??? kwa taarifa yako hakuna chenye dhamani zaidi ya PUMZI chini ya jua, na unachodhani kina dhamani kwako kwa mwingine ni useless. tena kwenye Bday unampangia mtu zawadi?? wewe yako ulipewa nini?? si ajabu hujawahi hata kufanya.

tena gari ni zawadi yenye thamani kubwa zaidi iliokwisha tolewa kwenye Bday wengi wao huishia kupewa maua, chocolate, chupi/boxer, na apples. mmekosa vya kuongea sasa mnahoji uthamani wa zawadi, rudini nyuma muwapishe watu wakae.
 
Last edited by a moderator:
Mawazo ya kimaskini kama haya nayachukia mimi basi tu. Nyumba nyumba nyumba nyumba nyumbaaaaaa unakuta mtu una miaka 35 unadai nyumba..life yenyewe kufika 50 ni ishu life is living once sio lazima kuwa na nyumba na hakuna aliewahi kujenga nyumba akamaliza..kula maisha tu sio lazima uwe na nyumba.

yaani humu kumejaa haters kibao!!!! kila kitu wanapondea......kwani lazima zawadi iwe mnayotaka nyinyi??? nyumba nyumba nyumba sijui kiwanja kwani amewaambia ana shida ya kiwanja!!!! mtoa zawadi kaona hio gari ndio itampendeza huyo diamond!!!! na huyu huyu diamond akitembelea corolla ndio mtakuwa wa kwanza humu kuja kumponda....na wenye X6 mtuambie zenu zimecost kiasi gani kama hii yake 90m ni usanii
 
sasa kinachowauma ninyi ni kwa vile wamempa gari badala ya kumpa nini mlichotaka nyie apewe???? wanafki wakubwaaaaa, hamjui hata muongee nini mnajing'atang'ata tu ili mradi tuu nanyi muonekane mmecoment.
Eti wahoji hakuna zawadi yenye thamani zaidi ya gari,??? kwa taarifa yako hakuna chenye dhamani zaidi ya PUMZI chini ya jua, na unachodhani kina dhamani kwako kwa mwingine ni useless. tena kwenye Bday unampangia mtu zawadi?? wewe yako ulipewa nini?? si ajabu hujawahi hata kufanya.

tena gari ni zawadi yenye thamani kubwa zaidi iliokwisha tolewa kwenye Bday wengi wao huishia kupewa maua, chocolate, chupi/boxer, na apples. mmekosa vya kuongea sasa mnahoji uthamani wa zawadi, rudini nyuma muwapishe watu wakae.

humu kumejaa haters kujiona bora kila kitu kuhusu wasanii wao ni kuponda tu.....zawadi mnataka mchague nyie,kamnunulieni hio nyumba basi mumpe
 
Paula kilaki, kwa kuongezea tu, gari inafika muda value yake inafika zero, maana inadepreciate kila siku/ mwaka. ina life time, muda ukifika na thamani haina. kuna assets zisizohamishika na zinazohamishika pia (kama shares) ambazo kama unafanya analysis vizuri utagundua thamani zake hazishuki, bali zinaongezeka kila mwaka. Nyie watu na wasanii wenu mwahitaji shule kuhusu investments.

unamwambia nani asiejua hayo unayosema??? shares huwa hazishuki??? zinaonezeka kila mwaka??? kweli hata mimi nahitaji shule ya investment tusaidie njoo jukwaa la biashara na uchumi utupe shule....
 
Back
Top Bottom