Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Birthday imegarimu milion 28 duuuu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameongeza zero tu ni milioni 9 banaaa si.unajua mjini pesa lazima iongezewe zero
utoto tu wakikua wataacha.sasa sijui birthday za mwakani watanunuliwa jets. ushambaaaa tu.ila elimu muhimu.maanake wamezungukwa na std 7.wamama ndo washajitoa akili.mama gani anaweza taniana na mkwewe na kuitana chizi wangu wakati inabidi kuwe na heahima.kukitokea tatizo si atashidwa kusuluhisha.anyways sio kosa lao ni kosa la kukosa hata elimu za dini ambazo ni free.Kwa level wanaojiweka wao hii ni takataka na huenda show off ya gari ya mtu hyo.Kisa mwenzie kapewa bmw na yeye eti kapewa.
Birthday imegarimu milion 28 duuuu
Yaani wanaongeza sofuri...
Kitu cha milioni 6 utaambiwa 60
Cha milioni 8 utaambiwa 28
Kweli hawa wasanii
Nimeona aiseee ni aibu! Hili gari limenunuliwa million 90
wapuuzi kweli hiyo gari siyo mpya.... cheap publicity
Yaani wanaongeza sofuri...
Kitu cha milioni 6 utaambiwa 60
Cha milioni 8 utaambiwa 28
Kweli hawa wasanii
Waongo tu wale......hyo nanii yake haifiki bei hyo.
Birthday imegarimu milion 28 duuuu
Afadhali hawa machakubanga wetu watuchekeshe tusahau changa la macho la katiba ya Ccm.
Mama yake Domo hajaongea kama mama Wema? ?
Mama yake Domo hajaongea kama mama Wema? ?
tofauti yeye hajatukana lakin ni mulemule...yaani shida tu hakuna kwa. afadhari
Hahaaaaa...mkuu una utani ee
By the way, hiv wasanii hawanaga zawad za maana za kupeana zaid ya magar?
wangepeana asset ingekuwa na mashko zaid
kwani asset ni vitu vya namna gani?? gari sio kitu cha maana kumbe??
Hivi huwa hakuna zawadi yenye thamani kuzidi gari?
Au hakuna zawadi nyingine nzuri na yenye manufaa zaidi ya gari?
Hamna loloote. Hilo ni promo tu la misifa. Gari kanunua mwenyewe kawapa wamzawadie.