BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

BMW X6 gari alilopewa Diamond kama zawadi ya Birthday

As for me nawaombea kheri tuu. Koz kiukwely katka couple ambayo inanikera ni hii. Wema ni msichana mrembo sana ila anazidiwa akili na watu ambao anawazidi iq. Yaan kitendo cha wema kutoka na diamond ni kujidharirisha hajui tu. Halafu nikiona mtoto kama lulu anaweka mambo yake private anafanya mambo kimya kimya jmn natamani ile akili angepewa wema. Hili li diamond hapana kiukwely i wish amuache wema ye aendeleze ujinga wake. Kwely penzi ni upofu jmn.
 
As for me nawaombea kheri tuu. Koz kiukwely katka couple ambayo inanikera ni hii. Wema ni msichana mrembo sana ila anazidiwa akili na watu ambao anawazidi iq. Yaan kitendo cha wema kutoka na diamond ni kujidharirisha hajui tu. Halafu nikiona mtoto kama lulu anaweka mambo yake private anafanya mambo kimya kimya jmn natamani ile akili angepewa wema. Hili li diamond hapana kiukwely i wish amuache wema ye aendeleze ujinga wake. Kwely penzi ni upofu jmn.

Ndege wafananao huruka pamoja.
 
weka hapa chasis number ya gari yako mpya uliyonunua hivi karibuni na useme umenunua wapi. i will trace it where it came from kama aliuziwa john smith miaka 7 iliopita?



Lol,,,,wewe ni mmoja wa wale wazee wa chasis? Ninaelewa kazi yenu, samahani sitoweza weka hiyo chasis namba.
 
Lol,,,,wewe ni mmoja wa wale wazee wa chasis? Ninaelewa kazi yenu, samahani sitoweza weka hiyo chasis namba.

gari mpya ya huko unakosema umenunua hata ukimpa mtu chasis number hawezi kufanya chochote......hata ukienda kwa fundi unatoa chasis number so whts the big deal??? kwa mafundi ziko nyingi tu kama zingekuwa deal watu wangezifuata huko.
 
Sijawahi kuwa na gari mtumba maishani mwangu...NEVER. Kila baada ya miaka 4 nakwenda chagua lingine show room majuu na wala si Dubai.

Wacha wee, watu wa mbwembwe kama wewe hata pikipiki sun lg huna.

Uende majuu kufanya nini wakati Bongo kuna show room za Toyota Tanzania na DT Dobie?

Kamdanganye mjinga mwenzako upuuzi huu.
 
Wacha wee, watu wa mbwembwe kama wewe hata pikipiki sun lg huna.

Uende majuu kufanya nini wakati Bongo kuna show room za Toyota Tanzania na DT Dobie?

Kamdanganye mjinga mwenzako upuuzi huu.

Kamata like maana kitufe cha like sikioni.
Watu wa hivi mara nyingi wanakuwa hawana.
 
hongera zako aiseee

weka hapa chasis number ya gari yako mpya uliyonunua hivi karibuni na useme umenunua wapi. i will trace it where it came from kama aliuziwa john smith miaka 7 iliopita?

gari mpya ya huko unakosema umenunua hata ukimpa mtu chasis number hawezi kufanya chochote......hata ukienda kwa fundi unatoa chasis number so whts the big deal??? kwa mafundi ziko nyingi tu kama zingekuwa deal watu wangezifuata huko.

Huyo ni fukara tu anajifariji, watu wanaoleta magari yao kwa Cargo plane hawana kelele.
 

Attachments

  • 1412838824995.jpg
    1412838824995.jpg
    65.5 KB · Views: 343
gari mpya ya huko unakosema umenunua hata ukimpa mtu chasis number hawezi kufanya chochote......hata ukienda kwa fundi unatoa chasis number so whts the big deal??? kwa mafundi ziko nyingi tu kama zingekuwa deal watu wangezifuata huko.

Tatizo humu Ndani kuna watu wanapost utumbo wakiwa bar wamelewa chakari.sasa pombe zikikata ndo anakuja kushtuka kapost utumbo na matokeo yake anaanzA kujidefend kwa kuendelea kubwabwaja upuuzi.yaan huyu jamaa utakuta ni mpanda daladala anajifariji tu hapa.me naona tumuache tu ajiliwaze
 
Wacha wee, watu wa mbwembwe kama wewe hata pikipiki sun lg huna.

Uende majuu kufanya nini wakati Bongo kuna show room za Toyota Tanzania na DT Dobie?

Kamdanganye mjinga mwenzako upuuzi huu.



Nilikuwa nasoma huko kwa miaka 5. Niliporudi nikaja na magari yangu, since then kwa kuwa mambo yananiendea vizuri huwa nakwenda kuchukua gari kama sina akili vile......ropoka tena.
 
Nilikuwa nasoma huko kwa miaka 5. Niliporudi nikaja na magari yangu, since then kwa kuwa mambo yananiendea vizuri huwa nakwenda kuchukua gari kama sina akili vile......ropoka tena.

unajitia gundu mwenyewe!utakosa hata huo mkopo unaofuatilia ili utafute gari la milioni tano.....
 
Nilikuwa nasoma huko kwa miaka 5. Niliporudi nikaja na magari yangu, since then kwa kuwa mambo yananiendea vizuri huwa nakwenda kuchukua gari kama sina akili vile......ropoka tena.

wewe usome wapi uje na gari mpya kwa hela gani uliyokuwa nayo?? hata scholarship huwezi kununua gari ya maana mpya uje nayo.....weka chasis number hapa unaogopa nini? ukachukue gari gani wewe acha stori za vijiweni huko
 
unajitia gundu mwenyewe!utakosa hata huo mkopo unaofuatilia ili utafute gari la milioni tano.....



Mkuu, ni vizuri hatujuani but my family background has my back....siyo kama najitia gundu mbona wanaonifahamu humu JF wanaona kawaida na hawasemi kitu?
 
wewe usome wapi uje na gari mpya kwa hela gani uliyokuwa nayo?? hata scholarship huwezi kununua gari ya maana mpya uje nayo.....weka chasis number hapa unaogopa nini? ukachukue gari gani wewe acha stori za vijiweni huko

Narudia, ni vizuri hunijuwi. My family background iko known hivyo sina haja ya ubishano, amini utakacho. Wenzako wanaonifahamu wanakucheka.
 
Back
Top Bottom