Boarding Schools 1970s-2000: Kambi za watu katili, wanaopenda masomo, mateso, ukakamavu, walokole na wazinzi

Sijui Joseverest amepatwa na nini huyu mdogo wangu aisee. He was a good boy before. But siku hizi unaweza sema ana mawenge au ameanza tena kupuliza.... Hakuwa hivi huko nyuma.

Comment zake zimekua zakuruka kuzisoma kama za wale wengine wawili...
 
Ulikuwa MTU asiejulikana[emoji12] [emoji12]
Nadhani sasa wewe ni unaejulikana.
 
Sijui Joseverest amepatwa na nini huyu mdogo wangu aisee. He was a good boy before. But siku hizi unaweza sema ana mawenge au ameanza tena kupuliza.... Hakuwa hivi huko nyuma.
Naanza kuhisi ile kupotea mwezi mzima yawezekana wasiojulikana walifanya yao.
 
Muendelezo wa hili dude wapi aseee
Cc; mtu asiyejulikana
 
Acha maneno ya kijinga dogo
Kuna mahali nimeandika ubaya hapo.
Unawashwa wewe sio bure
 
Una akili wewe au unalopoka tu
Unaita vitoto wazee ambao wanaweza kuoa bibi yako na kutembea nae barabarani bila tatizo.

Andika kinachoeleweka wakati mwingine.
 
Hata kiswahili hujui. UNALOPOKA ndo Lugha gan? Kwenye kiswahili kuna neno Ropoka au Unaropoka.

Utasoma tena au ndo umekata tamaa umeamua uwe unashinda tu humu JF? mtihan wenu wa form four mwaka jana haukuwa mgumu. Ukapata zero sasa hata maelezo rahisi huku yanakushinda. Nenda kasome tuition hata ya kiswahili

Una akili wewe au unalopoka tu
Unaita vitoto wazee ambao wanaweza kuoa bibi yako na kutembea nae barabarani bila tatizo.

Andika kinachoeleweka wakati mwingine.O
 
Pole sana naona ndio unaona comment yangu ya kwanza humu.

Ungekuwa na akili kidogo hata ya kuangalia michango yangu humu ungejua Mimi ni naweza kuwa babu yako.

Lakini bado unafikiri ni mdogo mwenzio eti
Kumbe umejiunga mwaka huu
 
Member mpya wa siku 10 na story za watoto wa shule ....zilipendwa hizo...

Ni kweli kwamba zilipendwa, lakini dhumuni la mtoa mada ni kukumbushana maisha ya shule yalivyokuwa miaka hiyo.
 
hao woote nimewakuta mkuu mi nimechomoka hapo 2005
mambo ya kupigia msuli msitu
water pump
na hizo mambo alizosema mleta uzi tumezikuta sanaa
 
Ni demu ila ni kama kachanganyikiwa flan hivi baada ya kutoswa na jamaa yangu ommy. So siku hizi anadandia dandia wanaume na hajielew... Smetme anajifanya ye mwanaume ili sijui iweje kwenye posts zake.
inaonekana una chuki binafsi na yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…