Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
sasa we unataka aliye vipi?Mimi nikajua nitakuta mtu analia huku anagalagala kumbe kichwa cha habari na uzi haviendani hata kidogo.
Maripota wa Bongo ni shida
Nakumbuka hii kauli aisee ilinishangaza sana.Anakatika nyonga huyu kama dada, halafu aliwahi kusema wanaume wengi wanamtaka kimapenzi kwa vile wanamuona ye mzuri
Hata mm nimeshangaaHiyo koteshen mbona ni tofauti na mada yako au kuna sehemu nyengine aliyasema hayo?
Hata mm sijaona alipopiga magoti mkuu
Labda anataka awe Mkata viuno wa Dai...Huyu alikuwa anaweza kukata mauno siyo muziki..afanye shughuli nyingine ya kujiongezea kipato,asilazimishe kitu asicho mudu/kuweza.
Naona hili litakuwa funzo kwa Ommy Dimpoz.
Ommy na Dai walikuwa marafiki wa kubwa sana ila tangu walipotofautiana kidogo wamekuwa maadui wakubwa kiasi kwamba Ommy amemtusi diamond kwa kumvimbia na kudai amelala na mama yake.
Diamond miaka ya nyuma alijitahidi kuondoa tofauti kati yao lakini Ommy akaendelea kuvimba.
Na Diamond walipokutana na Ommy South Africa kwenye Tuzo, Diamond alimsalimia Ommy ila Ommy akamvimbia Dai na kukataa mkono wake.
Dai tangu siku hiyo akampotezea mazima na Ommy akapotea ila naona anataka kurudi kupitia bifu la kimuziki kati ya Mondi na Kiba.
Mkuu HUYU jamaa apambane na hali yake aisee mana hakuna namna...kwani ukimsaidia mtu mpaka fadhila ilipwe..?Aliyekuwa anajiita rais wa masharobaro au ukipenda muite Mr Chocolate Flavor, Bob Junior hatimaye amlilia Diamond Platnumz na kumlaumu kwa nini amemtupa?
Bob Junior roho inamuuma kwa kuwa yeye ndiye aliyemuibua Diamond na kumfanya ang'ae
Sasa anashangaa kwa nini na yeye diamond asimsaidie kunyanyuka kimuziki kama yeye alivyofanya hapo awali?
Bob Junior aliwahi kutamba na nyimbo kama Nichumu, Oyoyo, na Kimbiji
View attachment 575559
View attachment 575560
Miaka ya nyuma kidogo bob junior alikuwa na ugomvi mkubwa na diamond na mara kwa mara alikuwa anamponda kwenye media, Diamond alijitahidi sana kujishusha ikiwemo kumualika kwenye party mbalimbali lakini bado bob Junior akazidi kumvimbia diamond, na mbaya zaidi akawa team kiba na kumkandia vilivyo Diamond.
Diamond akaona sio kesi akaamua kumpotezea mazima matokeo yake jamaa akasahauilika kabisa kwenye anga ya muziki mpaka sasa ambapo anamlilia Diamond amsaidie kumnyanyua na akumbuke walipotoka.
Kapotea njia huyoAliyekuwa anajiita rais wa masharobaro au ukipenda muite Mr Chocolate Flavor, Bob Junior hatimaye amlilia Diamond Platnumz na kumlaumu kwa nini amemtupa?
Bob Junior roho inamuuma kwa kuwa yeye ndiye aliyemuibua Diamond na kumfanya ang'ae
Sasa anashangaa kwa nini na yeye diamond asimsaidie kunyanyuka kimuziki kama yeye alivyofanya hapo awali?
Bob Junior aliwahi kutamba na nyimbo kama Nichumu, Oyoyo, na Kimbiji
View attachment 575559
View attachment 575560
Miaka ya nyuma kidogo bob junior alikuwa na ugomvi mkubwa na diamond na mara kwa mara alikuwa anamponda kwenye media, Diamond alijitahidi sana kujishusha ikiwemo kumualika kwenye party mbalimbali lakini bado bob Junior akazidi kumvimbia diamond, na mbaya zaidi akawa team kiba na kumkandia vilivyo Diamond.
Diamond akaona sio kesi akaamua kumpotezea mazima matokeo yake jamaa akasahauilika kabisa kwenye anga ya muziki mpaka sasa ambapo anamlilia Diamond amsaidie kumnyanyua na akumbuke walipotoka.
na wote wamemtelekezana mbaya zaidi akawa team kiba na kumkandia vilivyo Diamond.