Bob Junior ampigia magoti Diamond Platnumz na kumlilia kama mtoto

Bob Junior ampigia magoti Diamond Platnumz na kumlilia kama mtoto

Mimi nikajua nitakuta mtu analia huku anagalagala kumbe kichwa cha habari na uzi haviendani hata kidogo.
Maripota wa Bongo ni shida
sasa we unataka aliye vipi?


Bob Junior anajipendekeza sana kwa dai siku hizi ili arudi kwenye chati sema ndio hivyo dai ameshamfungia vioo .
 
Anakatika nyonga huyu kama dada, halafu aliwahi kusema wanaume wengi wanamtaka kimapenzi kwa vile wanamuona ye mzuri
 
Huyu jamaa nilimuona juzi anahojiwa Na Clouds TV. Inaonekana anaumwa Na anahitaji msaada mkubwa.
 
Huyu alikuwa anaweza kukata mauno siyo muziki..afanye shughuli nyingine ya kujiongezea kipato,asilazimishe kitu asicho mudu/kuweza.
 
Naona hili litakuwa funzo kwa Ommy Dimpoz.

Ommy na Dai walikuwa marafiki wa kubwa sana ila tangu walipotofautiana kidogo wamekuwa maadui wakubwa kiasi kwamba Ommy amemtusi diamond kwa kumvimbia na kudai amelala na mama yake.


Diamond miaka ya nyuma alijitahidi kuondoa tofauti kati yao lakini Ommy akaendelea kuvimba.

Na Diamond walipokutana na Ommy South Africa kwenye Tuzo, Diamond alimsalimia Ommy ila Ommy akamvimbia Dai na kukataa mkono wake.


Dai tangu siku hiyo akampotezea mazima na Ommy akapotea ila naona anataka kurudi kupitia bifu la kimuziki kati ya Mondi na Kiba.

hahaha mkuu acha utani bana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe kelele zotee ulikua unavuta attention kwa media, ume andika huo utumbo post za mbele anaweka vipande vya video ya nyimbo mpya ndio mwenye akili uelewe kila mtu anatafuta kiki kwa diamond bila simba nyimbo inaishia studio alikorekodia mond hongera bila wewe hakuna bongo flava !!tonya boy nae kelele zote za zilipendwa anatoa nyimbo pia hahaa diamond hongeraaa visanii vyote vilivyopotea vitatelezea kiki kwako ili vifufuke.
 
Aliyekuwa anajiita rais wa masharobaro au ukipenda muite Mr Chocolate Flavor, Bob Junior hatimaye amlilia Diamond Platnumz na kumlaumu kwa nini amemtupa?

Bob Junior roho inamuuma kwa kuwa yeye ndiye aliyemuibua Diamond na kumfanya ang'ae


Sasa anashangaa kwa nini na yeye diamond asimsaidie kunyanyuka kimuziki kama yeye alivyofanya hapo awali?


Bob Junior aliwahi kutamba na nyimbo kama Nichumu, Oyoyo, na Kimbiji


View attachment 575559


View attachment 575560


Miaka ya nyuma kidogo bob junior alikuwa na ugomvi mkubwa na diamond na mara kwa mara alikuwa anamponda kwenye media, Diamond alijitahidi sana kujishusha ikiwemo kumualika kwenye party mbalimbali lakini bado bob Junior akazidi kumvimbia diamond, na mbaya zaidi akawa team kiba na kumkandia vilivyo Diamond.


Diamond akaona sio kesi akaamua kumpotezea mazima matokeo yake jamaa akasahauilika kabisa kwenye anga ya muziki mpaka sasa ambapo anamlilia Diamond amsaidie kumnyanyua na akumbuke walipotoka.
Mkuu HUYU jamaa apambane na hali yake aisee mana hakuna namna...kwani ukimsaidia mtu mpaka fadhila ilipwe..?
 
Aliyekuwa anajiita rais wa masharobaro au ukipenda muite Mr Chocolate Flavor, Bob Junior hatimaye amlilia Diamond Platnumz na kumlaumu kwa nini amemtupa?

Bob Junior roho inamuuma kwa kuwa yeye ndiye aliyemuibua Diamond na kumfanya ang'ae


Sasa anashangaa kwa nini na yeye diamond asimsaidie kunyanyuka kimuziki kama yeye alivyofanya hapo awali?


Bob Junior aliwahi kutamba na nyimbo kama Nichumu, Oyoyo, na Kimbiji


View attachment 575559


View attachment 575560


Miaka ya nyuma kidogo bob junior alikuwa na ugomvi mkubwa na diamond na mara kwa mara alikuwa anamponda kwenye media, Diamond alijitahidi sana kujishusha ikiwemo kumualika kwenye party mbalimbali lakini bado bob Junior akazidi kumvimbia diamond, na mbaya zaidi akawa team kiba na kumkandia vilivyo Diamond.


Diamond akaona sio kesi akaamua kumpotezea mazima matokeo yake jamaa akasahauilika kabisa kwenye anga ya muziki mpaka sasa ambapo anamlilia Diamond amsaidie kumnyanyua na akumbuke walipotoka.
Kapotea njia huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom