Nilimfahamu Bob Makani kwa mara ya kwanza miaka ya nyuma enzi za uenyekiti wake CHADEMA (sikumbuki mwaka) alihutubia viwanja vya bonde nyasi Uyole-Mbeya
Mzee Makani makini, tangulia kwa aman, daima wajukuu zako tutakukumbuka..tunakuahidi kuendeleza vuguvugu la mabadiliko ulilo liasisi enzi za uhai wako
Ndugu wanachadema wenzangu...njia pekee ya kumuuenzi Mzee wetu ni kutoisalit M4C kwa gharama yoyote ile
Huyu Mzee Wangu sijawahi pata Jibu hadi leo Hii Ndugu zake ni Wakristu ila yeye ni Muislam na Watoto wake wote kama sikosei Ismail na Medi wale Wahezaji Mpira Wa Kikapu Misukuma ile Mirefu mirefu sana kama Baba yao...
Mwenyezi Mungu aiweke Roho ya Marehemu Panapo Stahili...
Bageshi...