Bobby Blake mcheza pono maarufu wa zamani aliyeamua kutubu

Bobby Blake mcheza pono maarufu wa zamani aliyeamua kutubu

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
WanaJF tusijione wakosefu sana kwenye maisha yetu tunaweza kubadilika. Bobby Blake ni raia wa Marekani mwenye historia ya kutisha kwa kiasi chake. Huyu jamaa alikuwa kwenye kiwanda cha pono za jinsia moja tangu ujana wake.
Alikuwa ni mcheza pono maarufu sana Marekani kwa miongo kadhaa. Huyu jamaa ni Bisexual tangu ujana wake.

Baada ya kucheza pono kwa miaka mingi roho ya uadilifu ikamuingia akaacha ule mchezo akaoa mke na sasa ni mchungaji mzuri wa Baptist Church.

Historia yake inatufundisha jambo kuwa kumbe tunaweza kuacha mambo mabaya na tukawa mfano mzuri kwa Taifa letu.
Reference:
images (2).jpeg
 
Yesu Kristo hakuja kwa ajili ya walio wanyoofu mbele za Mungu.

Bali alikuja kwa ajili ya wote wenye dhambi, nao wapate kutubu na kumkiri na wapate ondoleo la dhambi.

Aina ya watu hao ndiyo Yesu aliwafia Msalabani.
 
WanaJF Bobby Blake ni raia wa Marekani mwenye historia ya kutisha kwa kiasi chake. Huyu jamaa alikuwa kwenye kiwanda cha pono za jinsia moja tangu ujana wake.
Alikuwa ni mcheza pono maarufu sana Marekani kwa mingo kadhaa. Huyu jamaa ni Bisexual tangu ujana wake.

Baada ya kucheza pono kwa miaka mingi roho ya uadilifu ikamuingia akaacha ule mchezo akaoa mke na sasa ni mchungazi mzuri wa Kanisa Katoliki.

Historia yake inatufundisha jambo kuwa kumbe tunaweza kuacha mambo mabaya na tukawa mfano mzuri kwa Taifa letu.
Reference: View attachment 2677404
Mchungaji wa Kanisa Katoliki?
Siku hizi Baptist church limekua Catholic Church?
 
WanaJF tusijione wakosefu sana kwenye maisha yetu tunaweza kubadilika, Bobby Blake ni raia wa Marekani mwenye historia ya kutisha kwa kiasi chake. Huyu jamaa alikuwa kwenye kiwanda cha pono za jinsia moja tangu ujana wake.
Alikuwa ni mcheza pono maarufu sana Marekani kwa miongo kadhaa. Huyu jamaa ni Bisexual tangu ujana wake.

Baada ya kucheza pono kwa miaka mingi roho ya uadilifu ikamuingia akaacha ule mchezo akaoa mke na sasa ni mchungaji mzuri wa Baptist Church.

Historia yake inatufundisha jambo kuwa kumbe tunaweza kuacha mambo mabaya na tukawa mfano mzuri kwa Taifa letu.
Reference: View attachment 2677404
Amewachakaza Amechoka ndio anajifanya kuokoka,na uhakika Waumini watakuwa wanatafuta x zake Ili wamtafute ,hapa nazungumzia wanawake
 
Back
Top Bottom